kuduman201036
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 4,058
- 2,175
safi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu naweza pata chupa za kisasa kama hio hapo juu lakini ndogo? una contact za supplier yoyote?Soko la sabuni ya Maji liko vizuri kwa wale wanaotumia vifungashio vya kisasa km hiki
![]()
Sasa unakuta wajasiriamali wetu wa natumia vile vidumu huwa tunaweka maziwa ambayo huwezi peleka hata supermarket wakuizie kwa kuwa having hadhi. Unapowrka sabuni yako ktk kifunngashio km hicho hapo juu, ukaweka barcode na jina na nembo hata supermarket wataokubali kukuuzia kwa kuwa bidhaa yako INA hadhi ya kimataifa
Mkuu naomba namba yako haraka!Mashine hii pia inatumia ktk utengenezaji wa sabuni ya Miche pia. Ukishachanga caustic soda ktk Maji kisha ikishapoa na kuwa tayari kuchanganya na mafuta mashine hii hutumika kuchanganya kwa kuwa kuchanganya kwa mkono husumbua hivyo mashine hii hupendwa
0715 445 486 mpigie huyo mwalimu umuulize alipo uendeNapenda kujifunza jinsi utengenezaji sabuni za maji pamoja na sabuni ngumu, kwa anayejua tafadhali anicheki kwa 0675663282, nipo dar napenda kujiajiri
Ingia katika thread zangu utapata kila unachohitaji,Au 0673114461 Au www.mjasiriamali.heck.inNapenda kujifunza jinsi utengenezaji sabuni za maji pamoja na sabuni ngumu, kwa anayejua tafadhali anicheki kwa 0675663282, nipo dar napenda kujiajiri
Asante sana. Nimekuelewa, shukranSabuni ipi hiyo ya mche ya maji?
Kama ni ya mche ikikauka tu ipo tayari kutumia, kwanini uiache muda wote huo?
naomba kuelekezwa somo hilo ... namba yangu ya whats app 07687883030753606603