Utengenezaji wa Sabuni za Aina Mbalimbali: Fahamu Mahitaji, Mchakato wa Uzalishaji na Masoko

Utengenezaji wa Sabuni za Aina Mbalimbali: Fahamu Mahitaji, Mchakato wa Uzalishaji na Masoko

habari za leo wakuu nafundisha jinsi ya KUTENGENEZA sabuni ya mche , sabuni za maji , sabuni ya unga ,mafuta ya kujipaka , na nk masomo haya yote nafundisha kwa njia ya EMAIL AU WHATSAPP KWA MCHANGO WA SH 5000 TU nitakufundisha kutengeneza vitu vyote pia nitakuunganisha na wauzaji wa malighafi za kutengeneza hizo bidhaa karibuni , ,,,,,kwa atakaye hitaji nichek whatsp kwa no 0753606603
Haya mafunzo kwa email bado ipo?
 
Sabuni ya maji ni Sabuni inayopendwa na watu wengi sana katika shughuli mbalimbali kama vile kufulia,kuoshea vyombo,magari ,kutumika katika shughuli za usafi na mambo mengine mbalimbali na Sabuni hii inaweza kumletea MTU faida Mara mbili hadi tatu kulingana na kuwa Sabuni hii mtaji wake mkubwa ni maji .
NOTE:Sabuni nyingi za maji zimekosa ubora kwa sababu ya watengenezaji wake kutozingatia hatua na vipimo maalumu Vya utengenezaji wa bidhaa hiyo hivyo basi na kufablnya Sabuni hiyo ikose ubora wake na kubakia kuwa kama maji yaani Sabuni isiyokuwa na uzito unaofaa

NINI KIFANYIKE ILI KUPATA SABUNI YENYE UBORA?

fuatana nami hatua kwa hatua jinsi ya utengenezaji wa bidhaa hii adhimu

MALIGHAFI ZINAZO HITAJIKA
1.Maji Lita nane
2.salphoniki asidi vijiko sita Vya chakula
3.sodash vijiko viwili Vya chai changanya na maji robo lita koroga
4.CMC vijiko viwili Vya chai changanya na maji robo Lita koroga
5.silesi nusu Lita
6.formalin kijiko kimoja cha chai
7.grycerlin vijiko 12 Vya chakula
8.rangi ya Sabuni ya maji robo kijiko cha chai
9.perfume kijiko kimoja cha chai au viwili
10 .chumvi maalumu au waweza tumia ya kawaida ukiikosa hiyo chumvi maalum kipimo ni robo Lita au zaidi weka polepole kwa kunyunyiza mpaka itakapokuwa nzito.mwisho koroga dakika nane mfululizo kuelekea upande mmoja tu
NOTE: Unapoweka kitu kimoja baada ya kingine zipishane dakika tatu tatu ,na koroga kwa kuelekea upande mmoja tu bila ya kugeuza au kusimama mpaka utakapomaliza .baada ya hapo Sabuni yako itakuwa tayari kwa matumizi


Kwa maswali mbalimbali na VITABU Vya utengenezaji bidhaa hizo wasiliana na 0743550599 kitakufikia ulipo kwa email au njia ya whatsap
 
Kwa kutumia mahitaji hayo uliyoorozesha. Itagharimu bei gani kutengeneza sabuni ya maji lita 5?!!
 
HAPO ni automatic itoke Kuanzia Lita nane na zaidi may be reduce ratio kwa mbili NA jinsi ya kukadilia bei ni ngumu coz hakuna sehemu watakubali kukuuzi Malighafi kijiko cha chai,au kijiko cha chakula kama umezamilia kufanya hio biashara unaweza kununua Malighafi kwa Lita,kilo ,au vichupa ikiwa package tayari
 
Sabuni ya maji ni Sabuni inayopendwa na watu wengi sana katika shughuli mbalimbali kama vile kufulia,kuoshea vyombo,magari ,kutumika katika shughuli za usafi na mambo mengine mbalimbali na Sabuni hii inaweza kumletea MTU faida Mara mbili hadi tatu kulingana na kuwa Sabuni hii mtaji wake mkubwa ni maji .
NOTE:Sabuni nyingi za maji zimekosa ubora kwa sababu ya watengenezaji wake kutozingatia hatua na vipimo maalumu Vya utengenezaji wa bidhaa hiyo hivyo basi na kufablnya Sabuni hiyo ikose ubora wake na kubakia kuwa kama maji yaani Sabuni isiyokuwa na uzito unaofaa

NINI KIFANYIKE ILI KUPATA SABUNI YENYE UBORA?

fuatana nami hatua kwa hatua jinsi ya utengenezaji wa bidhaa hii adhimu

MALIGHAFI ZINAZO HITAJIKA
1.Maji Lita nane
2.salphoniki asidi vijiko sita Vya chakula
3.sodash vijiko viwili Vya chai changanya na maji robo lita koroga
4.CMC vijiko viwili Vya chai changanya na maji robo Lita koroga
5.silesi nusu Lita
6.formalin kijiko kimoja cha chai
7.grycerlin vijiko 12 Vya chakula
8.rangi ya Sabuni ya maji robo kijiko cha chai
9.perfume kijiko kimoja cha chai au viwili
10 .chumvi maalumu au waweza tumia ya kawaida ukiikosa hiyo chumvi maalum kipimo ni robo Lita au zaidi weka polepole kwa kunyunyiza mpaka itakapokuwa nzito.mwisho koroga dakika nane mfululizo kuelekea upande mmoja tu
NOTE: Unapoweka kitu kimoja baada ya kingine zipishane dakika tatu tatu ,na koroga kwa kuelekea upande mmoja tu bila ya kugeuza au kusimama mpaka utakapomaliza .baada ya hapo Sabuni yako itakuwa tayari kwa matumizi


Kwa maswali mbalimbali na VITABU Vya utengenezaji bidhaa hizo wasiliana na 0743550599 kitakufikia ulipo kwa email au njia ya whatsap

Jamn hvo v2 ata cjui navipata wp
 
Habari kaka biashara. Ile njia uliyonifundisha ya kutumia mafuta machafu ya kupikia yaliyoshatumika imefanya kazi. Sabuni imefaa. Pia ile njia ya kugeuza sabuni ya Maji kuwa ya Miche kwa kutumia salt deformation pia sio mbaya ila inabidi niendelee na kuiboresha zaidi.
 
Ahsante sana. Mahitaji hayo yote yanapatikana wapi? Pia gharama zake kwa kutengeneza sabuni ya maji lita 5.







Sabuni ya maji ni Sabuni inayopendwa na watu wengi sana katika shughuli mbalimbali kama vile kufulia,kuoshea vyombo,magari ,kutumika katika shughuli za usafi na mambo mengine mbalimbali na Sabuni hii inaweza kumletea MTU faida Mara mbili hadi tatu kulingana na kuwa Sabuni hii mtaji wake mkubwa ni maji .
NOTE:Sabuni nyingi za maji zimekosa ubora kwa sababu ya watengenezaji wake kutozingatia hatua na vipimo maalumu Vya utengenezaji wa bidhaa hiyo hivyo basi na kufablnya Sabuni hiyo ikose ubora wake na kubakia kuwa kama maji yaani Sabuni isiyokuwa na uzito unaofaa

NINI KIFANYIKE ILI KUPATA SABUNI YENYE UBORA?

fuatana nami hatua kwa hatua jinsi ya utengenezaji wa bidhaa hii adhimu

MALIGHAFI ZINAZO HITAJIKA
1.Maji Lita nane
2.salphoniki asidi vijiko sita Vya chakula
3.sodash vijiko viwili Vya chai changanya na maji robo lita koroga
4.CMC vijiko viwili Vya chai changanya na maji robo Lita koroga
5.silesi nusu Lita
6.formalin kijiko kimoja cha chai
7.grycerlin vijiko 12 Vya chakula
8.rangi ya Sabuni ya maji robo kijiko cha chai
9.perfume kijiko kimoja cha chai au viwili
10 .chumvi maalumu au waweza tumia ya kawaida ukiikosa hiyo chumvi maalum kipimo ni robo Lita au zaidi weka polepole kwa kunyunyiza mpaka itakapokuwa nzito.mwisho koroga dakika nane mfululizo kuelekea upande mmoja tu
NOTE: Unapoweka kitu kimoja baada ya kingine zipishane dakika tatu tatu ,na koroga kwa kuelekea upande mmoja tu bila ya kugeuza au kusimama mpaka utakapomaliza .baada ya hapo Sabuni yako itakuwa tayari kwa matumizi


Kwa maswali mbalimbali na VITABU Vya utengenezaji bidhaa hizo wasiliana na 0743550599 kitakufikia ulipo kwa email au njia ya whatsap
 
Ahsante sana. Mahitaji hayo yote yanapatikana wapi? Pia gharama zake kwa kutengeneza sabuni ya maji lita 5. Tusaidie ili tujaribu ujasiriamali, maana ajira sasa hivi hakuna tena!!!
 
Sabuni ya maji ni Sabuni inayopendwa na watu wengi sana katika shughuli mbalimbali kama vile kufulia,kuoshea vyombo,magari ,kutumika katika shughuli za usafi na mambo mengine mbalimbali na Sabuni hii inaweza kumletea MTU faida Mara mbili hadi tatu kulingana na kuwa Sabuni hii mtaji wake mkubwa ni maji .
NOTE:Sabuni nyingi za maji zimekosa ubora kwa sababu ya watengenezaji wake kutozingatia hatua na vipimo maalumu Vya utengenezaji wa bidhaa hiyo hivyo basi na kufablnya Sabuni hiyo ikose ubora wake na kubakia kuwa kama maji yaani Sabuni isiyokuwa na uzito unaofaa

NINI KIFANYIKE ILI KUPATA SABUNI YENYE UBORA?

fuatana nami hatua kwa hatua jinsi ya utengenezaji wa bidhaa hii adhimu

MALIGHAFI ZINAZO HITAJIKA
1.Maji Lita nane
2.salphoniki asidi vijiko sita Vya chakula
3.sodash vijiko viwili Vya chai changanya na maji robo lita koroga
4.CMC vijiko viwili Vya chai changanya na maji robo Lita koroga
5.silesi nusu Lita
6.formalin kijiko kimoja cha chai
7.grycerlin vijiko 12 Vya chakula
8.rangi ya Sabuni ya maji robo kijiko cha chai
9.perfume kijiko kimoja cha chai au viwili
10 .chumvi maalumu au waweza tumia ya kawaida ukiikosa hiyo chumvi maalum kipimo ni robo Lita au zaidi weka polepole kwa kunyunyiza mpaka itakapokuwa nzito.mwisho koroga dakika nane mfululizo kuelekea upande mmoja tu
NOTE: Unapoweka kitu kimoja baada ya kingine zipishane dakika tatu tatu ,na koroga kwa kuelekea upande mmoja tu bila ya kugeuza au kusimama mpaka utakapomaliza .baada ya hapo Sabuni yako itakuwa tayari kwa matumizi


Kwa maswali mbalimbali na VITABU Vya utengenezaji bidhaa hizo wasiliana na 0743550599 kitakufikia ulipo kwa email au njia ya whatsap
Kwa mwanza ntapata wapi hizo maligafi
 
Back
Top Bottom