Utenguzi: Rais Samia ametengua Uteuzi wa Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Nadhifa Sadiki Kemikimba

Eng. Nadhifa S. Kemikimba


Engineer Nadhifa Sadiki Kemikimba holds a Master of Science Degree in Water Management specialised on Water Quality Management from the UNESCO-IHE in Delft, the Netherlands (2006) and Advanced Diploma in Environmental Engineering from Ardhi Institute Dar es Salaam – 1994 (Currently known as Ardhi University).

N.B
MAJI YASISUBIRI WIZARA ILIYOPO DODOMA WALA MWEKEZAJI TOKA DUBAI

Masuala ya maji yanatakiwa kugatuliwa siyo kusimamiwa kutoka Dodoma kuwa serikali kuu ihakikishe upatikanaji maji Mikindani Mtwara au Tarime vijijini, Heru Juu Kasulu.

Masuala hayo yatekelezwe na mkurugenzi wa Halmashauri za wilaya ili kuondoa kero ya huduma za uhakika wa maji kona zote za nchi hii kubwa badala ya kusubiri waziri wa maji akifike Namanyere kijiji cha Nkasi Rukwa kutatua shida ya maji.

Tujiulize mababu zetu visima vya maji walisubiri watu wa mbali au waliamua wenyewe kuchimba visima. Hivyo wakuu wa wilaya na halmashauri wawe wanabanwa kutimiza azma ya kuwatua ndoo maji kina mama katika maeneo yao kwa kutumia fedha za kodi wanazokusanya au kugawiwa na serikali kuu kufikisha maji kwa wananchi.
 
kafanyaje binti jamani , mrembo. Wa dini yngu tena imekuwaje. Nshomile kutoka wapi? Katoro?
 
Anafanya spinning ya kitoto haina vibe na haiezi enda viral, ama kweli wa mpito ana ubwete embe chini ya mpapai haiendi mbali
Kwamba wewe ndio unajikuuta unajuaa na info za wikipedia. Umegoogle spinning bas hatulali. Wewe yna faili lake? Mpaka ukajua nini kilijiri.
 
Alitolewa eng Antony Sanga,now huyu,hapa lazima kuna tatizo kubwa linaendelea. Why hatuoni waziri akiwajibishwa,zaidi ya makatibu ambao ni kama pambo ndani ya wizara wakati kiuhalisia wao ndio watendaji? Yaani waziri amepewa power kubwa inayomlewesha na kujiona mmiliki halali wa hiyo wizara.

Raisi anatakiwa kujitafakali na haya maamuzi ya "kukurupuka" anayochukua,watanzania zaidi ya 40% hawapati maji Safi na salama,miradi kila siku inazinduliwa lakini baada ya muda mfupi inakufa.
Ubora wa mitambo inayofungwa ni chini,wahusika fuatilieni hili,msiishie kusikiliza maneno bila kuingia field
 
Wizara ilijaa Ijumaa matokeo yake ndiyo haya👋
 

Attachments

  • AD9D5D52-D83F-4176-9450-B3E0D0EE6C39.jpeg
    43.7 KB · Views: 2
Duuu. Ikifikia mpaka sa100 anakutengua basi wewe utakuwa lofa kweli. Sa100 Hana muda mtu piga Dili zako tu na ule kwa urefu wa kamba yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…