Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Angeandika hivyo basi kuwa Dakar, Senegal. Siyo kuandika kisela kwani ana haraka gani.Ndipo mtoa barua alipo kwa sasa! Dakar, Senegal!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angeandika hivyo basi kuwa Dakar, Senegal. Siyo kuandika kisela kwani ana haraka gani.Ndipo mtoa barua alipo kwa sasa! Dakar, Senegal!
Mbona alimfokea ndugai, au siyo mtu mzima yule...Watu wanamdharau mama eti siyo mkali. Wanasahau kuwa alishaweka wazi kwamba makuzi na Imani yake havimuruhusu kumfokea mtu mzima, na kwamba yeye anatumia kalamu.
Huwezi kufanya Kazi za utawala majukwaani, huko ni kutafuta political popularity ambayo Rais wa nchi haiitaji kwa sababu tayari ni popular kwa nafasi yake.
Mama yuko kazini wanaobisha wataendelea kuumia tu.