Utenguzi: Rais Samia atengua nafasi za Viongozi wafuatao

Utenguzi: Rais Samia atengua nafasi za Viongozi wafuatao

Watu wanamdharau mama eti siyo mkali. Wanasahau kuwa alishaweka wazi kwamba makuzi na Imani yake havimuruhusu kumfokea mtu mzima, na kwamba yeye anatumia kalamu.

Huwezi kufanya Kazi za utawala majukwaani, huko ni kutafuta political popularity ambayo Rais wa nchi haiitaji kwa sababu tayari ni popular kwa nafasi yake.

Mama yuko kazini wanaobisha wataendelea kuumia tu.
Mbona alimfokea ndugai, au siyo mtu mzima yule...
 
Back
Top Bottom