The Tomorrow People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 2,675
- 2,807
Kazi iendelee Asante sana Mama [emoji1317]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakukubali mwamba Kwa habar nyeti kutoka maktabaToka maktaba :
Ruangwa, Lindi
MKUU WA WIILAYA YA MBARALI AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KESI YA UHUJUMU UCHUMI
Video toka maktaba : Mkuu wa wilaya wa Mbarali Mheshimiwa Reuben Mfune
TAKUKURU imemfikisha Mkuu wa wilaya wa Mbarali Mheshimiwa Reuben Mfune (58) mahakamani kwa kesi ya uhujumu uchumi namba 1 ya mwaka 2023.
Baada ya kusomewa mashtaka, mtuhumiwa alikana tuhuma za makosa na amepewa dhamana. Na kesi hiyo kusikilizwa tena mwezi February 2023 mbele ya Mahakama ya Wilaya.
TOKA MAKTABA :
30 Oktoba 2013
View attachment 2494263
DC Ruangwa kusaka mchawi anayekwamisha maendeleo ya ...
30 Oct 2013 — Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo,Reuben Mfune aliahidi kufanyia kazi malalamiko hayo ya watumishi .....
TOKA MAKTABA :
18 May 2016
KESI YA DAVID KAFULILA KUPINGA MATOKEO YA UCHAGUZI 2015
Aidha katika kipengele cha pili ambacho Kafulila alikuwa anamlalamikia Msimamizi wa Uchaguzi katika jimbo hilo, Reuben Mfune; aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza kuwa alishinikizwa kumtangaza Mwillima kuwa mshindi wakati msimamizi huyo akijua kwamba yeye Kafulila ndiye.
Kafulila alikuwa anamlalamikia Msimamizi wa Uchaguzi katika jimbo hilo, Reuben Mfune; aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza kuwa alishinikizwa kumtangaza Mwillima kuwa mshindi wakati msimamizi huyo akijua kwamba yeye Kafulila ndiye ......
Hapa meunga mkonoWatu wanamdharau mama eti siyo mkali. Wanasahau kuwa alishaweka wazi kwamba makuzi na Imani yake havimuruhusu kumfokea mtu mzima, na kwamba yeye anatumia kalamu.
Huwezi kufanya Kazi za utawala majukwaani, huko ni kutafuta political popularity ambayo Rais wa nchi haiitaji kwa sababu tayari ni popular kwa nafasi yake.
Mama yuko kazini wanaobisha wataendelea kuumia tu.
Mtangulizi ndo aliharibu nchi aliwahi fukuza mkurugenz kwa kugombea naye demu .hawa wote wana kesi mahakaman mama anafanya kazi kwa kalamu na ripoti .yule alikuwa anaaibisha watumishi hadharani kwa umbea wa nyokaMama ameanza kufuata njia safi ya utendaji kazi iliyoachwa na mtangulizi wake ili kuongeza ufanisi kazini. Wale wote wanaofanya kazi kwa mazoea, kama kina januari, piga chini; hakuna kubembelezana.
Mbona na hawa wamewekwa hadharani mpaka na huku jf tumewaona? Au kuanikwa jf siyo kuwekwa hadharani? Tena wametenguliwa mama akiwa ugenini, lakini huku home tukajua, hivi hiyo siyo hadharani?Mtangulizi ndo aliharibu nchi aliwahi fukuza mkurugenz kwa kugombea naye demu .hawa wote wana kesi mahakaman mama anafanya kazi kwa kalamu na ripoti .yule alikuwa anaaibisha watumishi hadharani kwa umbea wa nyoka
Hawajawekwa jf ,jf wamecopy kutoka taarifa za ikulu.magu alikuwa anaweza kukufukuza kazi kisha umeulizwa idadi ya vifaranga vya samaki ziwan .ukamjibu mkuu mpaka nisome takwimu unafukuzwa kwa tv tena anauliza nimtumbue nisitumbue hapo mke na watoto wako wanakuangalia baba live wakiwa kwako sebuleniMbona na hawa wamewekwa hadharani mpaka na huku jf tumewaona? Au kuanikwa jf siyo kuwekwa hadharani? Tena wametenguliwa mama akiwa ugenini, lakini huku home tukajua, hivi hiyo siyo hadharani?
Btw, issue ya msingi ni kupigwa chini watumishi wasiowajibika.
Hahahaha dah noma sana 😂😂😂Hizi kazi za uteuzi nazo ni utumwa kabisa, imagine mmoja wapo kati ya hao,leo alikuwa na kikao na amefoka sana kwa wale anaowasimamia 😂😂........mchana alikuwa anafoka saizi anachekwa
Yuda 1.Toa makafir tuweke wa dini yetu
Kwa mawazo yangu mimi ni kwamba taarifa imeriporiwa tarehe 24, na labda Rais amefanya utenguzi tarehe 22 Januari akiwa Dakar.Sijaelewa
Dakar
24 January 2023
Hio Dakar Ina maana gan?
Kwakuwa waliotenguliwa ndio wenye haki ya kuongoza nchi hii kama ilivyoandikwa kwenye katiba.Nafasi zao zitashikwa na wafuatao
Bwana Idd Mrisho
bwana Juma Khamis
bi husna Rajabu
Na bi Shamsa nasoro
Jamani, nabashiri tuu
Nami nimejiuliza same questionSijaelewa
Dakar
24 January 2023
Hio Dakar Ina maana gan?
Siku zote Nabii huwa hakubaliki kwao.Hii nchi ilifikia shimoni kabisa. Eti Mwageni naye alikuwa Mkurugenzi wakati ualimu Mkuu tu ulimshinda? Kajichulia kidigrii chake kapewa uAfisa Elimu taaluma akafeli zaidi. Akachomoka kwenda kugombea ubunge baada ya kuanguka kura za maoni eti Mkurugenzi. Mwageni huyu huyu??
Hii ni tafsiri yako naiheshimuKwakuwa waliotenguliwa ndio wenye haki ya kuongoza nchi hii kama ilivyoandikwa kwenye katiba.
P.MayalaDah kuna jina nalisubiri kila siku mwaka wa saba huu bila bila, sio jina langu bali la chawa fulani
Umewaza mbali, yaweza kuwa. Ila poti wangu Paskali Manjaa asikose maana kapambania sana.....Nafasi zao zitashikwa na wafuatao
Bwana Idd Mrisho
bwana Juma Khamis
bi husna Rajabu
Na bi Shamsa nasoro
Jamani, nabashiri tuu