UTENGUZI: Rais Samia awatumbua Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi TASAC, Posta na Posta Masta. Avunja Bodi ya Wakurugenzi Posta

No hurry in Africa.
 
Huku mjumbe wa bodi ya bandari, huku tena mjumbe wa wa bodi nyingine.Africa inachekesha sana kwa kweli.yani mtu mmoja ana nafasi zaidi ya 10.
 
Na kuna wasimamizi wa mitihani ya Oral kwa mabaharia hapo Tasac ni kama Miungu watu , wao sifa yao wanaipenda ni kufelisha wanafunzi tuuu wanamfaulisha wanaemtaka, hasa upande wa Wahandisi mitambo ya meli ndio kabisaa wanaroho mbaya sana hawataki kabisa kuona wanafunzi wakifaulu wao wanaenjoy sana kufeli, inasikitisha sana lakini bado mamlaka zinawalinda tuu..
 
Sura zao tu zinaonyesha ni very ineffective.. Yaani mzee mkinga ni mjumbe wa Bodi, eeehh, Hongera Mh. Rais, kwa kuvunjia mbali bodi na wakurugenzi type ya hawa posta, natumaini siku za karibuni, atavunja bodi ya ATCL na kumpiga chini mkurugenzi wake haraka sana, sbb sio mtaalam wa aviation, as well bodi nzima haina wataalam wa aviation.. Ndio maana ATCL inakuwa na hali ngumu kama CAG alivyosema.
 

Huyo mzee Mkinga ni mtapeli fulani aliyekuja kupata ulaji uzeeni. Huwa anarusha sana mate anapokuwa anaoongea. Ni bingwa wa personal attack na kujifanya mju aji, huku akiigiza kuwa ni mzalendo. Magufuli alimpa hiyo nafasi maana alikuwa anaongea kwa hisia sana na kuelezea kuhusu mambo ya bandari na jinsi inavyoweza kuleta faida, kumbe ni mpigaji.
 
Mbona wote ni wazee tu tena wenye sura nzito balaa palikuwa na ubunifu kweli hapo!

Hizo sura zinaonyesha ni watu waliokulia kwenye shida sana, kisha kwa kupitia elimu zao ndio wakaja mjini. Ila ukifanikiwa kuwaona watoto wao utakuta wana sura nzuri maana unakuta wamekulia kwenye msosi mzuri, na kupata virutubisho vyote.
 
12 May 2021
Dar es Salaam, Tanzania

Waziri Mkuu atinga bandarini kujua sababu ya mamia ya malori kuchelewa kuchukua / kuingiza mizigo bandari
WAZIRI MKUU 'ASHTUKIZA' NA TRA ''Wanazima System WAPITISHE MAKONTENA YAO 500'' WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, ametembelea katika ofisi za mamlaka ya mapato Nchini (TRA)..
Changamoto za TASAC, TPA, TTCL zinavyosababisha huduma ya "dirisha moja" (One Stop Shop)kukosa tija bandarini DSM ni pamoja na mtandao wa intaneti kusuasua, mfumo wa computer kuelemewa na wateja wa TICTS, TPA Bandari, Mawakala wa Meli na Mizigo, TRA. Umeme kukatika katika hivyo kutibua huduma n.k
 
12 May 2021
Dar es Salaam, Tanzania

WAZIRI MKUU USO kwa USO na TASAC - "NYIE NDIYO MNASABABISHA MSONGAMANO WA MELI, NIPENI MAELEZO"

Source : Global TV online
 
TASAC hatakiwi kuendelea kuwa yeye mtoa huduma, ataiua hii bandari hata kama mtaiwekeza kiasi gani.

TASAC anatakiwa kubaki kama Msimamizi wa masuala ya bandari. Aache yeye kuwa Wakala wa meli (Port Agent).

Wakati wa Mwendazake, Serikali ilipitisha bungeni sheria (maarufu kama section 7) ambayo inawapa Tasac mamlaka ya wao kuwa Agent pekee wa meli zote zinazofika Tanzania kasoro meli za containers tu. Kwa sheria hii, Tasac wanazidiwa na kwa kuwa wao ndio agent wa pekee na hawana ufanisi. Wanafanya kazi wanavyojisikia, hawana majadiliao na wateja, wanachosema wao ndio hicho hicho, wanaweka bei kubwa na mteja hana cha kufanya lazima awasubiri watakapofanya.

Tasac alianza kuwa mtoa huduma mwaka jana April, tunaomba sheria ibadilishwe kazi za uwakala zirudi kwa private sector ambao wanatoa hata kodi, na ajira nyingi kwa wananchi. Tasac abaki kama msimamizi.
 
Hivi tasac anaweza kujipiga offence kweli

Ova
 
Naunga mkono hoja

Ova
 
13 May 2021
Dar es Salaam, Tanzania

Madereva wa malori raia wa kigeni na watanzania watoa maoni huduma bandarini


Source : millard ayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…