Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Viongozi wote wanafanana tu huyo ni bahati mvayA tuTunaposema Sheria ni msumeno ni lazima ionekane !!.
Siwezi kufurahia Hatua ya Rais Samia , hatua inayofata ,SHERIA ICHUKUE MKONDO WAKE.
Hii tabia wanao hawa watu wanaojiita Viongozi, ni vile hayasemwi yaliyo yao.
GEKUL ashitakiwe !!.
Kuna uzi humu ulikuwepo wa matendo ya aibu kwa mtotoKafanya nini?
Kafanya nini?
Chupa chupaKafanya nini?
Vipi kuhusu Bashite??Tunaposema Sheria ni msumeno ni lazima ionekane !!.
Siwezi kufurahia Hatua ya Rais Samia , hatua inayofata ,SHERIA ICHUKUE MKONDO WAKE.
Hii tabia wanao hawa watu wanaojiita Viongozi, ni vile hayasemwi yaliyo yao.
GEKUL ashitakiwe !!.
Bora tu kumbe aliondoka CHADEMA.si aliwasaliti CDM? akale alikopeleka mboga
Kamuingiziaa mtu chupaa mkuu Kwa nyumaa yaaan n fedheaaaa...Kafanya nini?
Hawa wahini waliolelewa na Machadema ni hovyo sana si Huwa unaona kina Lisu wanavyotukana?Tunaposema Sheria ni msumeno ni lazima ionekane !!.
Siwezi kufurahia Hatua ya Rais Samia , hatua inayofata ,SHERIA ICHUKUE MKONDO WAKE.
Hii tabia wanao hawa watu wanaojiita Viongozi, ni vile hayasemwi yaliyo yao.
GEKUL ashitakiwe !!.
Ni muda wa waganga kumpiga hela nyingi ๐๐๐๐Hapo RPC lazima ajiongeze, akizembea analiwa kichwa yeye