Utenguzi tu Hautoshi, Pauline Gekul afikishwe Mahakamani kwa hii jinai aliyoitenda

Utenguzi tu Hautoshi, Pauline Gekul afikishwe Mahakamani kwa hii jinai aliyoitenda

Tunaposema Sheria ni msumeno ni lazima ionekane !!.

Siwezi kufurahia Hatua ya Rais Samia , hatua inayofata ,SHERIA ICHUKUE MKONDO WAKE.


Hii tabia wanao hawa watu wanaojiita Viongozi, ni vile hayasemwi yaliyo yao.


GEKUL ashitakiwe !!.
namuonea huruma, angetumia hekima asingefika kote huku. ila sheria ni msumeno.
 
Sabaya alitenda ukatili yuko nje sasa, Makonda alisemwa kwa mengi karudi kwenye system tayari

Huyu nae jipeni muda mtamuona anarudi kwenye system akiwa ngangari kama hakuna kilichotokea

Nchi yetu viongozi ni wale wale kana kwamba hakuna wanaozaliwa. Mungu ibariki Tanzania
 
hivi kama ana watoto wa kiume, angejisikiaje kusikia kuna mtu kamwingiza chupa kwenye haja kubwa? angeumiaje, na anadhani huyo mtoto hana wazazi wenye uchungu kama yeye alivyo na uchungu kwa watoto wake, na kwa mwanaume hiyo ni embarrassment mbaya kuliko zote anafikiri yule dogo anajisikiaje. though naiomba serikali ichunguze kwa makini, hiyo ni tuhuma kubwa, lazima ukweli ujulikane. ila najua hadi mama kamsimamisha, majasusi wake watakuwa wamempelekea taarifa kwamba ni kweli kafanya, asingemsimamisha kama asingekuwa na uhakika.
 
Changamoto ya afya ya akili🤣🤣🤣🤣💺💺💺
 
Sabaya alitenda ukatili yuko nje sasa, Makonda alisemwa kwa mengi karudi kwenye system tayari

Huyu nae jipeni muda mtamuona anarudi kwenye system akiwa ngangari kama hakuna kilichotokea

Nchi yetu viongozi ni wale wale kana kwamba hakuna wanaozaliwa. Mungu ibariki Tanzania
Kabisaa
 
Na kama hatachuliwa hatua za kisheria basi ndugu wa huyo kijana wamshughulikie wenyewe. Mtu mwenye roho mbaya namna hiyo hastahili kuishi
 
Tunaposema Sheria ni msumeno ni lazima ionekane !!.

Siwezi kufurahia Hatua ya Rais Samia , hatua inayofata ,SHERIA ICHUKUE MKONDO WAKE.

Hii tabia wanao hawa watu wanaojiita Viongozi, ni vile hayasemwi yaliyo yao.

GEKUL ashitakiwe !!.
Kazi itakuwa kubwa kuthibitisha hilo….
Mambo ya mahakamani yasikie tuu
Unaweza kukuta akashinda kabisa hiyo case….
 
Back
Top Bottom