Uterine Fibroids (Myoma): Preventing, Shrinking and Avoiding Surgery

Mm najua km uvimbe sio mkubwa sana kuna dawa unapewa ili usikue.kuna mtu namfahamu yeye alichomwa sindano....mwaka sasa sijamsikia kulalamika
Km ni mkubwa no option operation inahusu..haina haja ya kuogopa km kuzaa atazaa tu...lkn akiuacha itakua shida baadae
 
Mie nilipata hilo tatizo mwaka 2011, nilienda hospitali wakashauri nipewe dawa za kurudisha uvimbe nikatumia ndani ya wiki mbili nikarudi tena kwenye ultrasound ikaonekana viuvimbe havipo. Mpaka na leo niko mzima wa afya
Ulipatiwa dawa gani mkuu?
 
Nenda hospitali uonane na Dr bingwa wa wanawake. Matibabu ya uvimbe yanategemea vitu vingi, afya yako, mahali ulipo na size ya uvimbe, mipango yako ya baadae etc. Hiyo ya kutoa uvimbe bila kupasua kabisa hata agha khan wanafanya na ni salama zaidi na kidonda kinapona upesi sana. Wapo waliotolewa wakapona, wapi walioambiwa na Dr hawatazaa na wamezaa. Mungu ndio ana final verdict. Nenda hospitali kwa imani
 
Reactions: bht
Ahsante sana kwa ushauri ndugu yangu na je ni hospitali gani aliopata huo msaada ndugu yangu?

Nitashukuru saa kwa msaada wako
 
Mie nilipata hilo tatizo mwaka 2011, nilienda hospitali wakashauri nipewe dawa za kurudisha uvimbe nikatumia ndani ya wiki mbili nikarudi tena kwenye ultrasound ikaonekana viuvimbe havipo. Mpaka na leo niko mzima wa afya
Kama hautojali tafadhali tutajie hiyo hospitali.
 
Hii nimesoma juzi kati kwenye kijarida cha ''What is happening in Dar'' na wanasema procedure inachukua an hr or so.
 
Pole kama una hilo tatizo.uvimbe umefikia hatua gani? Kama ndiyo unaanza kuna sindano ambazo zinachomwa kwenye kitovu mara moja kwa miezi mitatu mfululizo.ila unatakiwa kufanyiwa vipimo kwa kina. Ila kama vimeshakuwa vikubwa basi itabidi ufanyiwe upasuaji na upasuaji wenyewe uende hospital za maana siyo za vichochoroni kwani katika kuondoa huo uvimbe wasipofanya kwa uangalifu unaweza usipate mtoto tena. Hivyo fanya jitihada mapema
 
Ulipotelea wapi jamani? Nimefurahi kukuona ukiwa bukheri wa afya.

Inaitwa endoscopy. Kuna shosti alikuwa na epictopic pregnancy. Akafanyiwa hii procedure, baada ya siku 7 akarudi kazini. Dr ananiambia kanyaga twende, ndani ya miezi 2 alikuwa na mimba tena. Keshapata kababy kake siku nyingi.

Kwa issue za uzazi nadhani inachukua muda mrefu. Operation za moyo na tumbo pia wanafanya hii nayo imepunguza muda hata wa kuugua.
Hii nimesoma juzi kati kwenye kijarida cha ''What is happening in Dar'' na wanasema procedure inachukua an hr or so.
 
Reactions: bht
Nipo mpendwa ni uzee tu majukumu vinashika kasi.
Happy to 'see' u here !
 
Mkuu kuna mmoja alikuwa na tatizo hilo na uvimbe mkubwa lakini alishauriwa afanye au azingatie mambo fulani ili uvimbe huo unywee.
KABLA SIJA KUELEKEZA JIBU MASWALI HAYA-:
UNA UMRI GANI
UNA WATOTO WA NGAPI
JE UNAPATA ADA YA MWANAMKE KWA WAKATI SAHIHI?
JE UNAPATA MAUMIVU YA TUMBO KIPINDI CHA ADA YAKO?
JE UNATUMIA.DAWA ZA.KUZUIA UZAZI?.KWA MUDA GANI SASA!
 

Izuie Fibroid kwa kutumia bidhaa ya Refined_Yunzhi_Essence
Ambayo inazuia na kuondoa kabisa vimbe hizo bila kuhitaji kufanyiwa upasuaji

1.Kuondoa maumivu ya tumbo wakat wa hedhi
2.Huleta hamu ya Tendo la ndoa (Wanawake)
3.Huongeza Kinga za Mwili
4.Huweka Homon kuwa sawa ndani ya mwili
5.Huongeza hamu ya kula na kuuweka mwili sawa
6.Huweka siku za mwanamke kuwa sawa katika mzunguko sahihi.
7.Ni nzuri kwa walio pigwa na mionzi ya Chemotherapy
8.Huondoa Seli za kansa haraka sana
9.Husaidia katika Upumuaji hasa watu wenye (Pumu)
10.Ni nzuri kwa wanawake wa umri wotee.
kwa bei tsh 120,000/=
mawasiliano
0788389149
Karibu Upate utatuzi bila Upasuaji
 
Reactions: BAK
Hongera kumbe siku hizi umeshakuwa mfamasia...
 
Kwanza Shkamoo babu
Asante kwa pongezi
Marahabaaaa

Hongera mjukuu kwa kuwa mjasiriamali. Ukipata za kuongeza nguvu za kiume ntakuunga mkono, si unajua umri ushaenda huu??

Ila usipotee tena sana bhana.

Kila la kheri na baraka tele.
 
Marahabaaaa

Hongera mjukuu kwa kuwa mjasiriamali. Ukipata za kuongeza nguvu za kiume ntakuunga mkono, si unajua umri ushaenda huu??

Ila usipotee tena sana bhana.

Kila la kheri na baraka tele.
hahah nipoo huwa nawasoma tu.
za kuongeza nguvu za kiume na tenzi dume zinakuhusu kwa sasa, zipoo tena utapewa bure babu
Amen, asante kwa baraka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…