Uterine Fibroids (Myoma): Preventing, Shrinking and Avoiding Surgery

Uterine Fibroids (Myoma): Preventing, Shrinking and Avoiding Surgery

Wewe ndiyo nimekuelewa Sasa..maana huko juu watu wamen'gan'gana na mavidonge na uzazi wa mpango na Kuna watu nawajua hawajawahi Tumia ivyo vitu na hizo chemicals lakini wamepata hizo vimbe.
Sijawahi Kutumia njia yoyote ya kizungu ya uzazi wa mpango, niko na watoto wawili wanapishana miaka saba, ajabu mwaka juzi nilikutwa na uvimbe kwa kizazi
 
Sijawahi Kutumia njia yoyote ya kizungu ya uzazi wa mpango, niko na watoto wawili wanapishana miaka saba, ajabu mwaka juzi nilikutwa na uvimbe kwa kizazi

Kupishana sana kwa watoto ni tatizo kubwa, kuzaa watoto wachache pia ni tatizo... sina maelezo mazuri kuhusu hili ila ni kwa mujibu wa utafiti.
 
Mnabishana na miuzazi wa mpango huyo caren ni ni kunywa midawa ya kuongeza weupe ndio maana anashonwa inakataa kwa sababu ngozi ishakuwa laini sana
 
Sijawahi Kutumia njia yoyote ya kizungu ya uzazi wa mpango, niko na watoto wawili wanapishana miaka saba, ajabu mwaka juzi nilikutwa na uvimbe kwa kizazi
vipi ulipata matibabu gani yaliyokusaidia?
 
View attachment 506382
Izuie Fibroid kwa kutumia bidhaa ya Refined_Yunzhi_Essence
Ambayo inazuia na kuondoa kabisa vimbe hizo bila kuhitaji kufanyiwa upasuaji

1.Kuondoa maumivu ya tumbo wakat wa hedhi
2.Huleta hamu ya Tendo la ndoa (Wanawake)
3.Huongeza Kinga za Mwili
4.Huweka Homon kuwa sawa ndani ya mwili
5.Huongeza hamu ya kula na kuuweka mwili sawa
6.Huweka siku za mwanamke kuwa sawa katika mzunguko sahihi.
7.Ni nzuri kwa walio pigwa na mionzi ya Chemotherapy
8.Huondoa Seli za kansa haraka sana
9.Husaidia katika Upumuaji hasa watu wenye (Pumu)
10.Ni nzuri kwa wanawake wa umri wotee.
kwa bei tsh 120,000/=
mawasiliano
0788389149
Karibu Upate utatuzi bila Upasuaji
Hii imetumika na haijawa na msaada wowote
 
Alifanyiwa operation mkuu.....yupo sawa kwa sasa
Hongera sana mkuu. Mgojwa wangu alifanyiwa operesheni MNH lakini imerudi. Meza mitishamba lakini wapi. Mlienda hospitali gani? Naweza pata contacts za doctor aliyemsaidia?
 
Hongera sana mkuu. Mgojwa wangu alifanyiwa operesheni MNH lakini imerudi. Meza mitishamba lakini wapi. Mlienda hospitali gani? Naweza pata contacts za doctor aliyemsaidia?
Pole mkuu...sie tulichukua option ya kutoa kabisa kizazi...sababu docta alitwambia hakifai tena hizo fibros zimekuwa kubwa sana...dawa za mitishamba kwa uzoefu wangu hazisaidii asee...wangu alimeza sana hizo makitu bila msaada wowote...me ilikuwa arusha mkuu
 
FIBROIDS NI NINI?

Ni vimbe ambazo hutokea katika sehemu za uzazi wa mwanamke. Ni vimbe zinazotokea katika kizazi (uterus). Vimbe hizi hazimaanishi kuwa ni kansa. Zinatengenezwa na kambakamba zilizofungamana (muscle fibre) Fibroids huanza kwa ukubwa kama wa njegere, lakini huweza kukua kwa ukubwa wa tikiti maji. Inakadiriwa kwamba asilimia kati ya 20-50% ya wanawake wana hili tatizo au watakuwa na hili tatizo katika kipindi Fulani cha maisha yao. Fibroids hupatikana zaidi kwa wanawake wenye umri kati ya miaka 30-40 na hupungua ukubwa mara baada ya umri wa utu uzima. Uchunguzi uliofanyika huko Marekani unaonesha kwamba Fibroids huwapata wanawake wa Kiafrika mara tisa zaidi ya wanawake wa kizungu.

Nini kinachosababisha Fibroids?

Ingawa sababu/chanzo hasa cha Fibroids hakijulikani, utafiti unaonesha kwamba fibroids huchochewa na oestrogen mwilini. Mara nyingi fibroids hukua kwa mwanamke pale ambapo kiwango cha oestrogen kimeongezeka mwilini, na pia fibroids hupungua pale ambapo kiwango cha oestrogen nacho kikipungua.

Oestrojen ni nini?

Ni mkusanyiko wa homoni ambazo ndizo zinazoukuza mwili wa mwanamke kijinsia, mfano ukuaji wa viungo kama matiti na kupata hedhi.

Pia wanawake ambao wana uzito zaidi ya kg.70 wana hatari kubwa zaidi ya kupata fibroids, pia hii ni kutokana na kiwango kikubwa cha oestrogen katika umri huu. Wakati wa zamani fibroids ingeweza kusababishwa na matumizi ya vidonge vya uzazi wa mpango. Hii ni kwa sababu vidonge hivi vilikua na kiwango kikubwa cha oestrogen. Lakini kwa hivi sasa vidonge hivi vya uzazi wa mpango havina kiwango kikubwa cha oestrogen kama ilivyokuwa hapo awali.

Aina za Fibroids

Fibroids zinatofautishwa kutokana na sehemu ambapo imetokea. Yapo makundi mawili yanayoweza kugawanya aina za fibroids.

1) Fibroids zinazotokea ndani ya mji wa mimba,
2) Fibroids zinazotokea kwenye kuta za nje ya mji wa mimba.

Dalili za Fibroids

Inakadiriwa kwamba, asilimia 75% ya wanawake wenye fibroids hawana dalili zozote na wala hawajui kama wana fibroids. Kuweza kujua dalili za fibroids, inategemea na ukubwa wa fibroid na wapi zilipo kwenye kizazi. Hii pia inachangia aina ya dalili atakazopata mtu. Mfano: Fibroid ndogo ambayo ipo kwenye kuta za kizazi haitakuwa na dalili sawa na Fibroid kubwa inayoota kuelekea nje ya kizazi. Dalili kubwa inayofahamika ni ile ya kutokwa na damu nyingi sana wakati wa hedhi. Dalili nyingine ni kama maumivu ya tumbo, inaathiri mfumo wa haja (kubwa na ndogo), kuhisi mkojo mara kwa mara, mkojo kutoka kidogokidogo/kuvuja, mkojo kushindwa kutoka kirahisi, kukosa choo (constipation), kuwa tasa (kutoshika ujauzito), maumivu wakati wa tendo la ndoa.

Fibroids na Ujauzito

Fibroids zinaweza kusababisha matatizo yafuatayo kwenye ujauzito:
1. Kuharibika kwa mimba/ujauzito
2. Inachangia kwa mwanamke kutoshika mimba kutokana na kubanwa kwa mirija ya uzazi.
3. Pia kutokana na msukumo unaosababishwa na fibroids, mirija ya uzazi hubanwa na hivyo kushindwa kupitisha mayai kuelekea kwenye kizazi (uterus)
4. Mwanamke anapokuwa mjamzito na pia akawa na fibroids kwa wakati huo, mwili unaweza ukasitisha kupeleka damu kwenye fibroids na kuifanya fibroid kusinyaa. Kama hili likitokea husababisha maumivu makali ya tumbo, na pia kufanya kizazi kutanuka na kusinyaa, baadae mimba huweza kutoka kabla ya wakati wake.
5. Wakati wa kujifungua, kama fibroid itakuwa kwenye njia ya kutolea mtoto inaweza kusababisha damu nyingi kutoka, au ikishindikana mama hufanyiwa upasuaji ili kumtoa mtoto.

Utaweza vipi kugundua kama una Fibroids?

Kama hakuna dalili inawezakana tu kwa kufanya vipimo. Dalili zikiwepo na kuhisi unalo tatizo la fibroids, mwone daktari kwa ajili ya kupata vipimo ili kujua kama una fibroids au la.

Vipimo vya Fibroids

Daktari huweza kufanya uchunguzi kwa vipimo kati ya hivi vifuatavyo:-
  • Ultrasound scan (Mionzi)
  • Hysteroscopy (kifaa kidogo ambacho huingizwa kwenye kizazi kupitia sehemu ya uke (vagina)
  • Laparoscopy (upasuaji wa sehemu ndogo ya tumbo pamoja na kuwekewa kifaa kidogo sehemu ya uke (vagina)

Kuishi na Fibroids (wanavyoshauri hospitali)

Njia iliyozoeleka ya kuishi na fibroids zinazotoa damu nyingi ni kuzilinda na si kuzitibu. Utashauriwa kupata uangalizi/uchunguzi wa mara kwa mara lakini bado utahisi unahitaji msaada zaidi kwa jinsi unavyojisikia

Matibabu ya Fibroids (Hospitali)

Zipo njia kuu mbili za kihospitali za kutibu fibroids:-

1. Kutumia dawa (drug treatment)
2. Kufanyiwa upasuaji (surgical procedures)

1. Kutumia Dawa

Mkusanyiko wa dawa zijulikanazo kama GnRH analogues hupunguza kiwango cha oestrogen mwilini na hivyo kusababisha fibroid kusinyaa. Uchunguzi unaonesha kwamba dawa hizi zikitumika kwa miezi sita hupunguza ukubwa wa fibroid kwa asilimia 50%. Pia dawa hizi husitisha mzunguko wa mwezi (hedhi). Inashauriwa kwamba matumizi ya dawa hizi (GnRH analogues) yasitumike zaidi ya miezi sita kwani dawa hizi huweza kuleta madhara makubwa. Pia mara baada ya kuacha kutumia dawa hizi, wiki chache baadae fibroids huanza kukua tena, na mwanamke huanza kupata hedhi tena kama awali, ikiambatana na maumivu makali. Kwa baadhi ya wanawake huwa hawapati tena hedhi hadi kifo.

2. Kufanyiwa upasuaji

Upasuaji unahusisha mambo yafuatayo:-
  • Kuiondoa fibroid yenyewe na kuacha kizazi(Myomectomy)
  • Kukiondoa kizazi kabisa (Hysterectomy)
  • Kuzuia damu kwenda kwenye fibroids (Uterine artery embolisation)

Ipo njia ambayo haijazoeleka sana, ambayo mtu huchomwa sindano nne tumboni zikielekea ilipo fibroids kwa ajili ya kuiua kwa kemikali maalum.

Hii ni elimu kwa ajili ya afya yako pia usiwe mchoyo uipatapo mshirikishe na mwingine aweze kupata uelewa. Kwa msaada pia kuepuka hali hiyo kukupata kuna food supplements ambazo zipo.

SOMA PIA: TAHADHARI: Dawa za nywele zinasababisha uvimbe wa kizazi kwa wanawake

========

Natural remedies:

Not too long ago, a 35-year-old housewife walked into a hospital in Festac Town, Lagos. The once lively lady had suddenly become a bundle of worries. After giving birth to two beautiful daughters, she was finding it difficult to be pregnant again.

The family had gone through thick and thin and now the problem was threatening the marriage.Apart from painful menstruation, she regularly had symptoms of pregnancy: missed periods, swollen breasts and protruding stomach.

She had come to this clinic hoping to find a cure.After physical examination, the doctor recommended that she should go through scan. And then the bubble burst. She had a growth right inside her womb. She had fibroid.

Fibroid is not a new disease, but it is a development that is bringing tears into the lives of many women and it is wrecking marriages. Even when surgery is recommended, very few ever get pregnant again. In fact, according to experts, surgery for fibroid could involve the removal of the patient's womb. It is that bad and the number of carriers is growing.

It had no known cure, that is, until now.So, it was a call to arms when, while responding to complaints from its independent distributors on the prevalence of this condition, Forever Living Products (Nigeria) Limited, engaged a man versed in the field of clinical sexology, a medical doctor with knowledge in herbal medicine and a marriage counselor, Dr. Taiwo Fadeyi - to throw light into this dreaded disease, its causes, its management and eventual cure.

For three hours, the Faculty of Medicine, University of Cairo, Egypt - trained medical director of F&G Clinic & Laboratory Services, Lekki, Lagos, Dr Fadeyi, held a Lagos audience that had defied the early morning rains of Saturday, September 17, to listen to him, at the FLP Eagle Hall, spell bound.

Dr. Fadeyi described fibroid as a non-cancerous tissue that is found in the womb of women. "It is a mass which creates a lot of problems for women in terms of fertility, menstrual problems and frequent abdominal pains." According to him, fibroid has become rampant in the Nigerian society due to modern lifestyle. "The causes of fibroid can be traced to the type of lifestyle that our people now live.

Such lifestyles cannot be compared with the natural lifestyles of the people of old," he said.He added: "There are so many things that are bringing in a lot of oestrogen into the body systems now, like plastics, pesticides and even the foods and the processes under which we breed animals for consumption".

He continued: "Most of these things, including fishes, are bred artificially. So they store those hormones that we are imbibing and that is what is causing some of these problems".The Eagle Hall was silent. "What to do?" It was like he was responding to FLP history statement: "to offer the finest and healthiest products to the public that are proven to promote lasting health and wellness, and do it in a personal way""You need supplements; they do help and they will continue to help", Fadeyi assured.

"Normally, Forever Living Products and other herbal supplements are holistic things, they go into the body and try to reverse whatever bad that had been done inside the body and they want to do that holistically. That is the way they help," he said, displaying to the audience, two live specimen of fibroid extracted from the womb of patients from his clinic recently.

Dr Fadeyi said FLP range of supplements was capable of not only managing the ailment, but they provide permanent cure, recommending supplements like Aloe Vera Gel, Arctic Sea, Aloe Berry Nectar as foundation supplements that could take care of fibroid and even help to restore and check re-growth for those who had undergone surgery for the disease."Definitely, a surgery for fibroid is recommended for cases which cannot be managed.

In cases of surgery, where you have a patient that is bleeding uncontrollably, or you have a patient who has a big fibroid mass, I will personally suggest surgery for such cases and thereafter they can go back and use these supplements to prevent reoccurrence.".Fadeyi stressed that Forever supplements are natural products which have been accepted all over the world as a check to contamination that today's living has brought.

To those with fibroid, he advised, "For each particular case, I would just normally say, herbal supplements."



Source: Nigerian Tribune - Fibroids: Supplements provide permanent cure -Dr. Fadeyi

Very fortunate this herbal supplements are available in Tanzania!

Sisi tuna tiba lishe inaondoa kabisa tatizo la fibroids(myoma)bila kufanyiwa upasuaji hata kama mtu hazai anazaa kwa kutumia tiba lishe yetu nipigie 0714267658
 
Hongera sana mkuu. Mgojwa wangu alifanyiwa operesheni MNH lakini imerudi. Meza mitishamba lakini wapi. Mlienda hospitali gani? Naweza pata contacts za doctor aliyemsaidia?
Ila madaktari wengine bwana!
Wanajua kabisa hizi mambo za vimbe kwenye kizazi sio guarantee kuwa zikitolewa ndo umepona,lazima zinarudi ,sijui kwann wanawafanyia operation jmn!
 
Pole mkuu...sie tulichukua option ya kutoa kabisa kizazi...sababu docta alitwambia hakifai tena hizo fibros zimekuwa kubwa sana...dawa za mitishamba kwa uzoefu wangu hazisaidii asee...wangu alimeza sana hizo makitu bila msaada wowote...me ilikuwa arusha mkuu
daah noma mkuu. mimi najaribu option ya mwisho. ikigoma inabidi kutoa tu hakuna namna
 
Ila madaktari wengine bwana!
Wanajua kabisa hizi mambo za vimbe kwenye kizazi sio guarantee kuwa zikitolewa ndo umepona,lazima zinarudi ,sijui kwann wanawafanyia operation jmn!
daktari nilimwelewa sana,alisema yote hayo kwa ushauri wake alitaka tupate gap la mimba. ili ikirudi tena inakuaa tayari umeshapata mtoto. Bahati mbaya imeshindikana
 
Sisi tuna tiba lishe inaondoa kabisa tatizo la fibroids(myoma)bila kufanyiwa upasuaji hata kama mtu hazai anazaa kwa kutumia tiba lishe yetu nipigie 0714267658
nina imani haba na tiba lishe. wameshanilia zaidi ya laki 3 matokeo bila bila. ukiwarudia wanahamisha magoli tu
 
FIBROIDS NI NINI?

Ni vimbe ambazo hutokea katika sehemu za uzazi wa mwanamke. Ni vimbe zinazotokea katika kizazi (uterus). Vimbe hizi hazimaanishi kuwa ni kansa. Zinatengenezwa na kambakamba zilizofungamana (muscle fibre) Fibroids huanza kwa ukubwa kama wa njegere, lakini huweza kukua kwa ukubwa wa tikiti maji. Inakadiriwa kwamba asilimia kati ya 20-50% ya wanawake wana hili tatizo au watakuwa na hili tatizo katika kipindi Fulani cha maisha yao. Fibroids hupatikana zaidi kwa wanawake wenye umri kati ya miaka 30-40 na hupungua ukubwa mara baada ya umri wa utu uzima. Uchunguzi uliofanyika huko Marekani unaonesha kwamba Fibroids huwapata wanawake wa Kiafrika mara tisa zaidi ya wanawake wa kizungu.

Nini kinachosababisha Fibroids?

Ingawa sababu/chanzo hasa cha Fibroids hakijulikani, utafiti unaonesha kwamba fibroids huchochewa na oestrogen mwilini. Mara nyingi fibroids hukua kwa mwanamke pale ambapo kiwango cha oestrogen kimeongezeka mwilini, na pia fibroids hupungua pale ambapo kiwango cha oestrogen nacho kikipungua.

Oestrojen ni nini?

Ni mkusanyiko wa homoni ambazo ndizo zinazoukuza mwili wa mwanamke kijinsia, mfano ukuaji wa viungo kama matiti na kupata hedhi.

Pia wanawake ambao wana uzito zaidi ya kg.70 wana hatari kubwa zaidi ya kupata fibroids, pia hii ni kutokana na kiwango kikubwa cha oestrogen katika umri huu. Wakati wa zamani fibroids ingeweza kusababishwa na matumizi ya vidonge vya uzazi wa mpango. Hii ni kwa sababu vidonge hivi vilikua na kiwango kikubwa cha oestrogen. Lakini kwa hivi sasa vidonge hivi vya uzazi wa mpango havina kiwango kikubwa cha oestrogen kama ilivyokuwa hapo awali.

Aina za Fibroids

Fibroids zinatofautishwa kutokana na sehemu ambapo imetokea. Yapo makundi mawili yanayoweza kugawanya aina za fibroids.

1) Fibroids zinazotokea ndani ya mji wa mimba,
2) Fibroids zinazotokea kwenye kuta za nje ya mji wa mimba.

Dalili za Fibroids

Inakadiriwa kwamba, asilimia 75% ya wanawake wenye fibroids hawana dalili zozote na wala hawajui kama wana fibroids. Kuweza kujua dalili za fibroids, inategemea na ukubwa wa fibroid na wapi zilipo kwenye kizazi. Hii pia inachangia aina ya dalili atakazopata mtu. Mfano: Fibroid ndogo ambayo ipo kwenye kuta za kizazi haitakuwa na dalili sawa na Fibroid kubwa inayoota kuelekea nje ya kizazi. Dalili kubwa inayofahamika ni ile ya kutokwa na damu nyingi sana wakati wa hedhi. Dalili nyingine ni kama maumivu ya tumbo, inaathiri mfumo wa haja (kubwa na ndogo), kuhisi mkojo mara kwa mara, mkojo kutoka kidogokidogo/kuvuja, mkojo kushindwa kutoka kirahisi, kukosa choo (constipation), kuwa tasa (kutoshika ujauzito), maumivu wakati wa tendo la ndoa.

Fibroids na Ujauzito

Fibroids zinaweza kusababisha matatizo yafuatayo kwenye ujauzito:
1. Kuharibika kwa mimba/ujauzito
2. Inachangia kwa mwanamke kutoshika mimba kutokana na kubanwa kwa mirija ya uzazi.
3. Pia kutokana na msukumo unaosababishwa na fibroids, mirija ya uzazi hubanwa na hivyo kushindwa kupitisha mayai kuelekea kwenye kizazi (uterus)
4. Mwanamke anapokuwa mjamzito na pia akawa na fibroids kwa wakati huo, mwili unaweza ukasitisha kupeleka damu kwenye fibroids na kuifanya fibroid kusinyaa. Kama hili likitokea husababisha maumivu makali ya tumbo, na pia kufanya kizazi kutanuka na kusinyaa, baadae mimba huweza kutoka kabla ya wakati wake.
5. Wakati wa kujifungua, kama fibroid itakuwa kwenye njia ya kutolea mtoto inaweza kusababisha damu nyingi kutoka, au ikishindikana mama hufanyiwa upasuaji ili kumtoa mtoto.

Utaweza vipi kugundua kama una Fibroids?

Kama hakuna dalili inawezakana tu kwa kufanya vipimo. Dalili zikiwepo na kuhisi unalo tatizo la fibroids, mwone daktari kwa ajili ya kupata vipimo ili kujua kama una fibroids au la.

Vipimo vya Fibroids

Daktari huweza kufanya uchunguzi kwa vipimo kati ya hivi vifuatavyo:-
  • Ultrasound scan (Mionzi)
  • Hysteroscopy (kifaa kidogo ambacho huingizwa kwenye kizazi kupitia sehemu ya uke (vagina)
  • Laparoscopy (upasuaji wa sehemu ndogo ya tumbo pamoja na kuwekewa kifaa kidogo sehemu ya uke (vagina)

Kuishi na Fibroids (wanavyoshauri hospitali)

Njia iliyozoeleka ya kuishi na fibroids zinazotoa damu nyingi ni kuzilinda na si kuzitibu. Utashauriwa kupata uangalizi/uchunguzi wa mara kwa mara lakini bado utahisi unahitaji msaada zaidi kwa jinsi unavyojisikia

Matibabu ya Fibroids (Hospitali)

Zipo njia kuu mbili za kihospitali za kutibu fibroids:-

1. Kutumia dawa (drug treatment)
2. Kufanyiwa upasuaji (surgical procedures)

1. Kutumia Dawa

Mkusanyiko wa dawa zijulikanazo kama GnRH analogues hupunguza kiwango cha oestrogen mwilini na hivyo kusababisha fibroid kusinyaa. Uchunguzi unaonesha kwamba dawa hizi zikitumika kwa miezi sita hupunguza ukubwa wa fibroid kwa asilimia 50%. Pia dawa hizi husitisha mzunguko wa mwezi (hedhi). Inashauriwa kwamba matumizi ya dawa hizi (GnRH analogues) yasitumike zaidi ya miezi sita kwani dawa hizi huweza kuleta madhara makubwa. Pia mara baada ya kuacha kutumia dawa hizi, wiki chache baadae fibroids huanza kukua tena, na mwanamke huanza kupata hedhi tena kama awali, ikiambatana na maumivu makali. Kwa baadhi ya wanawake huwa hawapati tena hedhi hadi kifo.

2. Kufanyiwa upasuaji

Upasuaji unahusisha mambo yafuatayo:-
  • Kuiondoa fibroid yenyewe na kuacha kizazi(Myomectomy)
  • Kukiondoa kizazi kabisa (Hysterectomy)
  • Kuzuia damu kwenda kwenye fibroids (Uterine artery embolisation)

Ipo njia ambayo haijazoeleka sana, ambayo mtu huchomwa sindano nne tumboni zikielekea ilipo fibroids kwa ajili ya kuiua kwa kemikali maalum.

Hii ni elimu kwa ajili ya afya yako pia usiwe mchoyo uipatapo mshirikishe na mwingine aweze kupata uelewa. Kwa msaada pia kuepuka hali hiyo kukupata kuna food supplements ambazo zipo.

SOMA PIA: TAHADHARI: Dawa za nywele zinasababisha uvimbe wa kizazi kwa wanawake

========

Natural remedies:

Not too long ago, a 35-year-old housewife walked into a hospital in Festac Town, Lagos. The once lively lady had suddenly become a bundle of worries. After giving birth to two beautiful daughters, she was finding it difficult to be pregnant again.

The family had gone through thick and thin and now the problem was threatening the marriage.Apart from painful menstruation, she regularly had symptoms of pregnancy: missed periods, swollen breasts and protruding stomach.

She had come to this clinic hoping to find a cure.After physical examination, the doctor recommended that she should go through scan. And then the bubble burst. She had a growth right inside her womb. She had fibroid.

Fibroid is not a new disease, but it is a development that is bringing tears into the lives of many women and it is wrecking marriages. Even when surgery is recommended, very few ever get pregnant again. In fact, according to experts, surgery for fibroid could involve the removal of the patient's womb. It is that bad and the number of carriers is growing.

It had no known cure, that is, until now.So, it was a call to arms when, while responding to complaints from its independent distributors on the prevalence of this condition, Forever Living Products (Nigeria) Limited, engaged a man versed in the field of clinical sexology, a medical doctor with knowledge in herbal medicine and a marriage counselor, Dr. Taiwo Fadeyi - to throw light into this dreaded disease, its causes, its management and eventual cure.

For three hours, the Faculty of Medicine, University of Cairo, Egypt - trained medical director of F&G Clinic & Laboratory Services, Lekki, Lagos, Dr Fadeyi, held a Lagos audience that had defied the early morning rains of Saturday, September 17, to listen to him, at the FLP Eagle Hall, spell bound.

Dr. Fadeyi described fibroid as a non-cancerous tissue that is found in the womb of women. "It is a mass which creates a lot of problems for women in terms of fertility, menstrual problems and frequent abdominal pains." According to him, fibroid has become rampant in the Nigerian society due to modern lifestyle. "The causes of fibroid can be traced to the type of lifestyle that our people now live.

Such lifestyles cannot be compared with the natural lifestyles of the people of old," he said.He added: "There are so many things that are bringing in a lot of oestrogen into the body systems now, like plastics, pesticides and even the foods and the processes under which we breed animals for consumption".

He continued: "Most of these things, including fishes, are bred artificially. So they store those hormones that we are imbibing and that is what is causing some of these problems".The Eagle Hall was silent. "What to do?" It was like he was responding to FLP history statement: "to offer the finest and healthiest products to the public that are proven to promote lasting health and wellness, and do it in a personal way""You need supplements; they do help and they will continue to help", Fadeyi assured.

"Normally, Forever Living Products and other herbal supplements are holistic things, they go into the body and try to reverse whatever bad that had been done inside the body and they want to do that holistically. That is the way they help," he said, displaying to the audience, two live specimen of fibroid extracted from the womb of patients from his clinic recently.

Dr Fadeyi said FLP range of supplements was capable of not only managing the ailment, but they provide permanent cure, recommending supplements like Aloe Vera Gel, Arctic Sea, Aloe Berry Nectar as foundation supplements that could take care of fibroid and even help to restore and check re-growth for those who had undergone surgery for the disease."Definitely, a surgery for fibroid is recommended for cases which cannot be managed.

In cases of surgery, where you have a patient that is bleeding uncontrollably, or you have a patient who has a big fibroid mass, I will personally suggest surgery for such cases and thereafter they can go back and use these supplements to prevent reoccurrence.".Fadeyi stressed that Forever supplements are natural products which have been accepted all over the world as a check to contamination that today's living has brought.

To those with fibroid, he advised, "For each particular case, I would just normally say, herbal supplements."



Source: Nigerian Tribune - Fibroids: Supplements provide permanent cure -Dr. Fadeyi

Very fortunate this herbal supplements are available in Tanzania!
The Forever Living Products can't Cure Uterine Fibroids (Myoma). The have some herbal Remedies can Cure Uterine Fibroids.

How To Heal Fibroids, PCOS, Infertility & Endometriosis - Dr. Sebi Methodology​


 
Pole mkuu...sie tulichukua option ya kutoa kabisa kizazi...sababu docta alitwambia hakifai tena hizo fibros zimekuwa kubwa sana...dawa za mitishamba kwa uzoefu wangu hazisaidii asee...wangu alimeza sana hizo makitu bila msaada wowote...me ilikuwa arusha mkuu
Haukupata dawa ta mitishamba zinazo tibu hayo maradhi ya uvimbe wa Fibroids ndio maana unasema dawa za mitishamba hazifai. Mimi ninawatibu wagonjwa wenye huo uvimbe kwenye kizazi Fibroids na wanapona kabisa kwa dawa za mitishamba.
 
Hii imetumika na haijawa na msaada wowote
Mkuu nitafute mimi nipate kumtibia mgonjwa wako kwa dawa za asili kwamuda wa miezi 3 atapona kabisa. Utamfanyia operesheni kuondowa hiyo Fibroids baada ya miak 2 itarudi tena huo uvimbe kwenye kizazi Fibroids kama huniamini jaribu utakuja tena hapa hapa kueleza shida zako.ukihitaji matibabu toka kwangu nitafute kwa wakati wako.
 
Back
Top Bottom