Uterine Fibroids (Myoma): Preventing, Shrinking and Avoiding Surgery

Uterine Fibroids (Myoma): Preventing, Shrinking and Avoiding Surgery

Bado haijajulikana nini hasa kinachosababisha fibroids.
Ila wasichana wengi sana wanazo bila kujifahamu.
Fibroid huzidi kukua jinsi msichana anapochelewa kuzaa.
Fibroids hatari yake ni position iliyopo. Kama ipo kwenye nyumba au njia ya uzazi lazima itolewe au la itaharibu au kuzuia mimba. Siku hizi kuna technology ya minimum invasive surgery ambayo itatoa fibroid bila kuharibu kizazi.
Fibroids zingine zinasababisha heavy periods.
Tena daktari mzuri atashauri utumiaji wa contraceptive ili kuzuia kasi ya kukua kwa fibroids.
Fibroids zingine huwa hazina madhara kabisa depending on position na inashauriwa kuziacha kama zilivyo.

All the best my sister. I hope you get the best help and be able to conceive.
 
Bibie kamsongole Kama dawa zangu ni za majaribio bora ungelimaliza matatizo yako hospitali si wameshasema kuwa uodolewe kizazi? unagopa kitu gani tena ? wakati ndio uzima wako huo kuondolewa kizazi unaogopa kitu gani tena?shauriana na mume wako uondolewe hicho kizazi.
Mpendwa mbona umekasirika tena? ntawasiliana na wewe haina shida ndugu yangu, usiwe mkali kiasi hicho mkuu. nahitaji zaidi msaada wako.
 
Bado haijajulikana nini hasa kinachosababisha fibroids.
Ila wasichana wengi sana wanazo bila kujifahamu.
Fibroid huzidi kukua jinsi msichana anapochelewa kuzaa.
Fibroids hatari yake ni position iliyopo. Kama ipo kwenye nyumba au njia ya uzazi lazima itolewe au la itaharibu au kuzuia mimba. Siku hizi kuna technology ya minimum invasive surgery ambayo itatoa fibroid bila kuharibu kizazi.
Fibroids zingine zinasababisha heavy periods.
Tena daktari mzuri atashauri utumiaji wa contraceptive ili kuzuia kasi ya kukua kwa fibroids.
Fibroids zingine huwa hazina madhara kabisa depending on position na inashauriwa kuziacha kama zilivyo.

All the best my sister. I hope you get the best help and be able to conceive.

Asante ndugu yangu kwa kunitia moyo. ntazingatia ushauri na maelekezo.
 
Ni kweli kabisa mimi nilipatwa na tatizo hili nilihangaika sana kwa madaktari mbali mbali hadi nilifika hadi kwa waganga wa kienyeji na nikajikuta ninaokoka maana tatizo likawa serious sana ila madaktari wengi wa magonjwa ya wanawake wa muhimbili,aghakan,na pale dar group waliniambia nipate mimba tatizo ndo nilikuwa nasoma ila tatizo lilizidi sana kunitesa na kila nikienda hospitali utrasound inaonesha uvimbe unaendelea kukua.Ikanibidi nijitwishe mzigo wa mimba nikiwa bado nasoma chuo,cha ajabu kipindi chote cha mimba maumivu yale makali yalitoweka hadi leo naitwa mama fulani sijawahi kuexperience tena uwepo wa uvimbe na sikutaka kwenda kupiga hizo utra sound zao maana niliteseka sana.So jamani mimba iliplay miracle fulani hivi kwenye huu ugonjwa ila niliumia kwa kuwa mwanangu sikumzaa ndani ya ndoa.

Pole na hongera kwa kupona, mi ndo hivyo nimeolewa ila mtoto ndo sina, hata mimi niliambiwa kuwa nijaribu kupata mtoto pamoja na mume wangu lakini bado. hata hivyo itabidi niwaone madaktari bigwa kwa ajili ya mume wangu kwenda kucheki pia.
 
sioni sababu ya mwenza wako kutaka kukuacha kwa ajili ya hizo MYOMA,zipo aina tofauti za myoma na dawa yake kubwa ni kuzitoa.
inategemea na aina ya myoma uliyonayo,kwa mfano,kama myoma zako zipo nje ya uzazi ni rahisi sana kuzitoa na wala huitaji kutoa kizazi hata kama unamyoma ambazi zipo ndani ya mfuko wa uzazi,bado zinaweza kutolewa ingawaje operation yake ni ngumu kidogo na ndio maana madaktari wengi wa kiafrika hukimbilia kutoa kizazi.
kama ungekuwepo uchina,ungepata maajabu ya wachina,wanazitoa hizo myoma bila shida na baada ya siku 7 unaweza tembea mitaani huku ukisubiri miezi 6 hadi miaka 2 kupata mtoto.
naomba nikupe pole kwa hilo linalokusibu na usikate tamaa,wachina wanazo dawa za kuzinyausha huku ukijaribu kutafuta mtoto,na akipatikana basi wakati wa kujifungua huzitoa hizo myoma.
kikawaida huwezi kuzimaliza myoma ni hadi pale utoe kizazi,waliowengi wanachokifanya ni kuzitoa na kupata mtoto na baada ya hapo hutoa kizazi.

Asante kwa mchango wako mkuu. Ngoja niendelee kuvumilia na kufuata ushauri.
 
Ni kweli kabisa mimi nilipatwa na tatizo hili nilihangaika sana kwa madaktari mbali mbali hadi nilifika hadi kwa waganga wa kienyeji na nikajikuta ninaokoka maana tatizo likawa serious sana ila madaktari wengi wa magonjwa ya wanawake wa muhimbili,aghakan,na pale dar group waliniambia nipate mimba tatizo ndo nilikuwa nasoma ila tatizo lilizidi sana kunitesa na kila nikienda hospitali utrasound inaonesha uvimbe unaendelea kukua.Ikanibidi nijitwishe mzigo wa mimba nikiwa bado nasoma chuo,cha ajabu kipindi chote cha mimba maumivu yale makali yalitoweka hadi leo naitwa mama fulani sijawahi kuexperience tena uwepo wa uvimbe na sikutaka kwenda kupiga hizo utra sound zao maana niliteseka sana.So jamani mimba iliplay miracle fulani hivi kwenye huu ugonjwa ila niliumia kwa kuwa mwanangu sikumzaa ndani ya ndoa.
Hongera kwa kupona na hongera sana kwa kupata mtoto
swali la kizushi, hapo RED iliwezekanaje? lol!
mwenzio utani umenizidi kwa hiyo usinijali.....
mdogo wangu snowhite njoo ukinge kifua pande hizi
 
Last edited by a moderator:
We mshikaji mbona unaweka personal feelings?dada yako ashachomoa mimba nn ama mchumba wako kachomoa nn?tumshauli dada vyema na si kumletea nyenyenye..mi nadhani nenda kwenye maombi dada yangu kwa T.B joshua u wnt regret it otherwise watakutoa kizazi with time.u best believe.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Huyu sio mpendwa ni mzizimkavu kama jina lake sisemavyo yy ni mzizi na nimkavu hana hisia za kibinahadamu na hajui faraja ya mwanamke kuwa na mtoto..ww wakikutoa pumbu na haujazaa utajiskiaje?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Mpendwa mbona umekasirika tena? ntawasiliana na wewe haina shida ndugu yangu, usiwe mkali kiasi hicho mkuu. nahitaji zaidi msaada wako.
Bibie kamsongole Sijakasrika wewe unavyosema Dawa zangu ni za kujaribia umejuaje kama Dawa zangu ni za majaribio? Mimi ninataka kukusaidia wewe unaleta maneno yako ya dharau kwanini?Hizo Dawa zangu za Majaribio zimewasaidia wengi humu humu ndani waulize waliotumia Dawa zangu watakwambia je Dawa zangu ni za Majaribio au sio ya majaribio?
 
Last edited by a moderator:
Huyu sio mpendwa ni mzizimkavu kama jina lake sisemavyo yy ni mzizi na nimkavu hana hisia za kibinahadamu na hajui faraja ya mwanamke kuwa na mtoto..ww wakikutoa pumbu na haujazaa utajiskiaje?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Mkuu gpesha2002 Kwanini unasema sina hisia za kibinadamu ? ulijuaje kama mimi sina hisia za kibinadamukwanini? Ninakuomba unijibu swali langu hilo?
 
Last edited by a moderator:
Hongera kwa kupona na hongera sana kwa kupata mtoto
swali la kizushi, hapo RED iliwezekanaje? lol!
mwenzio utani umenizidi kwa hiyo usinijali.....
mdogo wangu snowhite njoo ukinge kifua pande hizi

Yaani mpendwa wangu hii ni story kubwa sana kwenye maisha yangu labda kwa vile umeonesha kuwa interested na story yangu ngoja nikujibu angalau kidogo maswali yako.
Tukianza na red quote ya kwanza huu uvimbe ulinisumbua sana hadi nikapitia kwa madaktari wengi mno katika matatizo mtu anapitia vingi sana nikajikuta nimearikwa kumpokea Yesu kama wasemavyo warokole na kuhusu kumzaa mwanangu nje ya ndoa ilikuwa hivi,
Tatizo limenianza nikiwa form five mwishoni shule moja hapa nchini nilikuwa nachukua PCB ilikuwa uvimbe ukichachamaa ulinipeleka hadi kulazwa swala hili lilinidhuru sana masomo ila madaktari walikuwa wananiambia ungekuwa umeolewa uamuzi mzuri ungepata mimba ili tatizo hili tucheki kama litatoka maana wengi tumewasaidia kwa mtindo huu,Ki ukweli nilikuwa simjui mwanaume na sijawahi kuduu jumlisha na uanafunzi basi hali ikazidi kunichanganya ila nilikuwa na mpenzi wangu ambaye alikuwa best wangu wa karibu tangu shule ya msingi ambaye tuliwekeana kiapo eti tuvumiliane mpaka ndoa ndipo tufanye.
Kwa kufupisha story niliporudi Dar nimemaliza form 6 uzalendo ukanishinda kwa maana nilikuwa supastar kwa madaktari bingwa wa wanawake hapa nchini coz nilisafiri hadi mikoani kuwafuata hao madaktari ,bahati mbaya wazazi walijikuta wananipeleka hadi kwa hawa waganga wa kienyeji in shorty niliteseka sana japokuwa mwisho wa siku nikamuomba dia wangu tufanye tu maana sikuwa na jinsi nilishachoka kwa kumeza madawa na masindano,ki ukweli nilijikuta siogopi mimba kama nilivyokuwa naiogopa zamani na hii ilitokea pale nikiwa mwaka wa kwanza tatizo lilizidi sana hadi madokta wakasema nikichelewa sitaweza kupata mtoto tena ,nikaona isiwe tabu nikaongea na boyfriend wangu nae alikuwa mwaka wa kwanza enzi hizo ila sio chuo kimoja kwa mara ya kwanza aliogopa ila nakili kusema nilimlilia anipe mimba aisee ili nione kama tatizo langu litapona maana nilishachoshwa na maswala ya kulazwa huku nasoma masomo ya injinia CoeT.Aisee mpendwa FP nilteseka sana enzi hizo na hii ni painfull story yangu ya maisha pia jisikie huru kwa kuniuliza maswali mengine coz nimefupisha sana.Pili nisamehe kwa kuindika vibaya vibaya maana nimechoka sana hapa nilipo na usingizi.Ila karibu sana
 
Last edited by a moderator:
Mimi nimeolewa mwaka wa nne sasa. tangu nilipofunga ndoa niligundulika kuwa nina uvimbe na nikaambiwa na madaktari kuwa lazima nifanyiwe operation na kutolewa kizazi. sina mtoto hata mmoja hivyo nikakataa kufanya hiyo operation. Nimejaribu kila dawa imeshindikana. Naomba msaada wenu nifanyeje ndugu zangu. Naona maisha yanakuwa kitendawili sasa.
Fibroids rarely cause infertility. Nakushauri uonane na Daktari bingwa(gynecologist).Kuna njia nyingi za kutibu uvimbe wa kwenye kizazi, na sio lazima utolewe kizazi.
Kutoa kizazi ni hatua ya mwisho kabisa.Kwa sasa hapa Tanzania tuna dawa zinazotumika kunyausha uvimbe kwenye kizazi(gonatropin hormone analogs).Nakushauri umwone daktari bingwa, achana na hawa madaktari wa kawaida, wataku-frustrate bure.Ukihitaji maelekezo zaidi nitaku-PM
 
sasa dada yangu inategemea hiyo fibroid iko sehemu gani kwenye kizazi chako,kwani zipo fibroid za aina tatu;Zipo zinazokaa kwenye ukuta wa nje wa kizazi,zipo zinazokaa ndani ya misuli ya kizazi na zipo zinazokaa ndani mwa kizazi chenyewe ambako ndipo mtoto hukaa na kukua .Sasa kuwa na fibroid sio tiketi ya kutokupata ujauzito,kama ni chache na ndogo unaweza kuconcieve,lakini kama zimekuwa kubwa sana hutoweza kupata ujauzitto kwani zinavuruga mzunguko wa mwezi kwa kubleed sana;

Matibabu ni OPERATION.Moja ni MYOMECTOMY(unaolewa tu uvimbe na kuacha kizazi) AU TA(TOTAL ABDOMINAL HYSTERECTOMY) hapa unaondoa kizazi pamoja na u vimbe wenyewe.

Kumbuka kwamba kama kizazi hakibebi mtoto mara nyingi kina tabia ya kubeba fibroid[

Ushsuri wangu ni kuwa kubali kufanyiwa upasuaji kwani fibriods for the long run zinatabia ya kuchange kuwa cancer japo chance ni ndogo sana

QUOTE=kamsongole;6198068]Mimi nimeolewa mwaka wa nne sasa. tangu nilipofunga ndoa niligundulika kuwa nina uvimbe na nikaambiwa na madaktari kuwa lazima nifanyiwe operation na kutolewa kizazi. sina mtoto hata mmoja hivyo nikakataa kufanya hiyo operation. Nimejaribu kila dawa imeshindikana. Naomba msaada wenu nifanyeje ndugu zangu. Naona maisha yanakuwa kitendawili sasa.[/QUOTE]
 
Yaani mpendwa wangu hii ni story kubwa sana kwenye maisha yangu labda kwa vile umeonesha kuwa interested na story yangu ngoja nikujibu angalau kidogo maswali yako.
Tukianza na red quote ya kwanza huu uvimbe ulinisumbua sana hadi nikapitia kwa madaktari wengi mno katika matatizo mtu anapitia vingi sana nikajikuta nimearikwa kumpokea Yesu kama wasemavyo warokole na kuhusu kumzaa mwanangu nje ya ndoa ilikuwa hivi,
Tatizo limenianza nikiwa form five mwishoni shule moja hapa nchini nilikuwa nachukua PCB ilikuwa uvimbe ukichachamaa ulinipeleka hadi kulazwa swala hili lilinidhuru sana masomo ila madaktari walikuwa wananiambia ungekuwa umeolewa uamuzi mzuri ungepata mimba ili tatizo hili tucheki kama litatoka maana wengi tumewasaidia kwa mtindo huu,Ki ukweli nilikuwa simjui mwanaume na sijawahi kuduu jumlisha na uanafunzi basi hali ikazidi kunichanganya ila nilikuwa na mpenzi wangu ambaye alikuwa best wangu wa karibu tangu shule ya msingi ambaye tuliwekeana kiapo eti tuvumiliane mpaka ndoa ndipo tufanye.
Kwa kufupisha story niliporudi Dar nimemaliza form 6 uzalendo ukanishinda kwa maana nilikuwa supastar kwa madaktari bingwa wa wanawake hapa nchini coz nilisafiri hadi mikoani kuwafuata hao madaktari ,bahati mbaya wazazi walijikuta wananipeleka hadi kwa hawa waganga wa kienyeji in shorty niliteseka sana japokuwa mwisho wa siku nikamuomba dia wangu tufanye tu maana sikuwa na jinsi nilishachoka kwa kumeza madawa na masindano,ki ukweli nilijikuta siogopi mimba kama nilivyokuwa naiogopa zamani na hii ilitokea pale nikiwa mwaka wa kwanza tatizo lilizidi sana hadi madokta wakasema nikichelewa sitaweza kupata mtoto tena ,nikaona isiwe tabu nikaongea na boyfriend wangu nae alikuwa mwaka wa kwanza enzi hizo ila sio chuo kimoja kwa mara ya kwanza aliogopa ila nakili kusema nilimlilia anipe mimba aisee ili nione kama tatizo langu litapona maana nilishachoshwa na maswala ya kulazwa huku nasoma masomo ya injinia CoeT.Aisee mpendwa FP nilteseka sana enzi hizo na hii ni painfull story yangu ya maisha pia jisikie huru kwa kuniuliza maswali mengine coz nimefupisha sana.Pili nisamehe kwa kuindika vibaya vibaya maana nimechoka sana hapa nilipo na usingizi.Ila karibu sana
he heeee, hapo kwenye RED "kichaa kapewa rungu", utakomaje sasa kwa maswali! umbea hauna posho, ila sababu unatoka kwa owner, nina uhakika hakuna kusutwa wala kuomba msaada toka kwa baunsa wa ukoo snowhite, lol!
Kwanza nikupe pole sana kwa story yako mpendwa wangu dada white, kwa kweli unaumiza sana.....
sasa.....
1. Ulokole uliuweka kwanza pembeni wakati unaamua ku-do au uli-do ndani ya Yesu? ( nina marafiki kama wa3 hivi najua ni walokole haswaaaaaaa, lakini wote wana watoto na hawajaolewa, wamepata mimba ndani ya Yesu, lol!)
2. huyo bf mlikuja kuoana au baada ya kupeana mimba tu basi akala/ukala kona?
nauliza tu..... au kama unaona vipi kuweka hapa niPM majibu kwa urefu zaidi, maana haihusiani na msaada ulioombwa
 
Last edited by a moderator:
Yamekukuta eeeeeeeeehhhhhh!!!! Ndio faida za kuchoropoa mimba hizo. Unaona sasa ndoa yako ipo hatarini. Hii iwe fundisho kwa kina dada wanaopenda kuchoropoa mimba tano hadi kumi, kisa eti wanatunza usichana!!!!

Mwanamalundi si lazma ucomment km hauna ushaur unapta kmya kmya c watu wako serious we unapayuka tu ujisikiacho unabore
 
Pole ndugu. Hebu piga namba hii 0763575206. Huyu anafanya kazi zake za dawa kwa karibu sana na NIMR
 
Fibroid uliyonayo ina saiz (size) gani kwa sasa ?
mwanzoni ilikuwa na ukubwa wa sm 7.4, nilipoenda kupima tena mwaka huu nikakuta ina ukubwa wa sm 5.3. Ila madaktari walisema inabidi mume wangu naye akapime ili wajue shida ni nini maana walisema uvimbe umekaa kwenye kuta na uwezekano wa kupata mtoto upo. Hapo ndipo tulipo kwama maana mwenzangu kupima hataki.
 
Back
Top Bottom