Utetetezi wa Sabaya, haupo kisheria, na pia unavunja kanuni za Kijasusi

Nimekuelewa sana mkuu
 
Ninachojua ni kuwa Tanzania ni mojawapo ya nchi Bora zaidi Duniani kwa mafunzo ya ujasusi.
Issue ya Sabaya ni mojawapo ya somo zuri sana kwa majasusi watarajiwa.
 
Lakini tuvute subira picha lifike mwisho.
 
Ni noma lakini wametuzoea, tunasahau haraka. Gumzo la tozo liko wapi? Na hili litapita tu
 
NI UJINGA KUAMINI HIKI. HII NCHI ITAKUWA YA KIPUUZI KWELI KAMA INAWEKA KATIKA IDARA YA USALAMA WA TAIFA WATU WA AINA YA SABAYA!
 
Angeambiwa akambake mama yake mzazi angeweza?😛unguani tu huyo dogo, hata Christopher bagheni alijitetea hivyo hivyo lkn sasa hv anasuburi kitanzi.

Naye asubiri hukumu yake nyani mweusi huyo

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
mama nae inaonkana hakujua misheni kwa ujumla
 
Ukatiri wa Jiwe unaanikwa wazi kwa wale waliokuwa wanamtetea Jiwe kila ukatiri akihusishwa nao sasa hivi wanaumia sana mioyoni mwao baada ya kutambua walikuwa wanamtetea aina furani ya Shwain katiri jiwe
 
Vipi DG Diwani alipata nafasi yoyote ya kutoa ushauri au ndo katika ule mpango kwamba kazi ziendelee?
 
Dah haya ya Sabaya mazito...Mungu asimame haki itendeke...kama alifanya maovu alipie uovu huo na kama hakufanya basi haki yake apatiwe
 
Kwa utetezi ule amefeli sana kiuweledi na kimedani. Sasa sijui hili limetokana na maelekezo ya mawakili au ni kwa ubishi wake?
 
That's it. Asanteeee
 
Sabaya ndie mwene makosa na ambacho hajui ni kwamba utetezi wa kimahakama unatakiwa uwe umekidhi kisheria, yeye ni dc na sheria ipo inayotambua kazi za dc nje ya hapo no matter what uwezi jitetea kisheria Kama dc...na Kama alitumwa Kama mtu wa usalama kuna misingi ipo kwamba Kama umetumwa kufanya operation ya Siri au ambayo haipo kisheria unatakiwa usiache alama au athari yoyte itakayo kutia hatiani maan ikiwa hivo utakufa mwenyew....sabaya kutaja taasisi ya uraisi and so ever haita mrahisishia njia yake kisheria zaizaid ndani ya mahama zitakuwa ni porojo tu
 
Kuwa mwanasheria doesn't mean kila move unayomake inakuwa ni sahihi ndo maan mawakili pia hushindwa kesi...... honestly kusema katumwa na taasisi ya uraisi hakutomtoa hatiani kwene macho ya kisheria....unatumwa kufanya uharifu? Unatumwa kiasi kwamba unasababisha madhara? raisi kukutuma hakuhalalishi uvunjifu wa sheria maana hata raisi yupo chini ya Sheria na taratibu za nchi
 
Anamuonekano na kujiamini kwa Ki TISS, kwenye kesi hii ndio ntajua ya ziada. Namkubali that's me anyway, it doesn't concern any.
Haha Africa bhana jasusi unapotumwa kazi hutakiwi kuacha alama au kusababisha madhara ambayo unaweza tiwa hatiani hata Kama umetumwa.....marekani kuna maafisa wa CIA wengi ambao leo hii wamefungwa na mahakama ya marekani kwa kukutwa na hatia ya ukwikwaji wa sheria wakitekeleza majukumu yao.....
 
Kwahiyo alifanya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…