Utetetezi wa Sabaya, haupo kisheria, na pia unavunja kanuni za Kijasusi

Utetetezi wa Sabaya, haupo kisheria, na pia unavunja kanuni za Kijasusi

Unajuaje hajarikodi??

Mnamfanya Sabaya mjinga sio?? Mnadhani amekurupuka kutumia hiyo karata aliyoitumia???
Kama ushahidi wake huu utakidhi vigezo vya ushahidi kisheria, basi si tu hautamsaidia kumwokoa na hukumu iliyo mbele yake....

Bali utaibua mambo mengine mabaya zaidi dhidi ya serikali ya Magufuli na huyu aliyepo na itakuwa silaha muhimu na hatari kwa wapinzani wa serikali....
 
Mambo ni Moto

Katika sakata linaloendelea linalomkabili Ndugu Lengai Ole Sabaya, utetezi wake unaacha watu midomo wazi.
Mimi sio mwanasheria lakini Kwa akili ndogo tuu niliyonayo namuona Ole Sabaya na mawakili wake wakishindwa kutoa utetezi wenye mantiki.

Utetezi wa Sabaya kuwa alitumwa na Wakuu wake wa kazi waliomteua kufanya Uhalifu ni utetezi wa kijinga Sana ambao mtu mwenye akili asingeweza kuusema Mahakamani.
Kusema alitumwa ni dhahiri anakiri kosa kuwa alifanya, na moja Kwa moja anajitia hatiani.

Ole Sabaya Kiujasusi tayari ameshakosa Weledi katika Kazi yake. Anaposemwa alitumwa na Rais Magufuli ambaye Kwa sasa ni Marehemu, Kwa kazi maalumu, hii inamaanisha kuwa Sabaya yupo katika mfumo wa ujasusi iwe direct au indirectly.
Hivyo Jambo la kwanza kwenye majukumu yake lilipaswa kuwa Siri ndipo mengine yafuate

Moja ya kanuni za kazi maalumu ni siri, hasa kazi maalumu/operations zisizokuwa na majina na zisizoundwa kisheria.
Operations ambazo hazifuati kanuni Rasmi, ni unapigiwa simu na unatekeleza.

Operations za hivi, anayetumwa anapaswa azifanye Kwa weledi pasipo kuleta athari mbaya ambazo zitamtia hatiani, kwani zimtiapo hatiani yeye ndiye atahusika 100% katika adhabu.

Kijasusi, mtu anapopewa kazi maalumu hata akikamatwa hapaswi kusema ukweli kuwa alitumwa na wakubwa wake, hapaswi kuwataja waliomtuma, anapaswa kutumia mbinu zingine za kujihamu au kuficha siri.

Sabaya Kama alitumwa na Hayatti Magufuli, hii ilimaanisha taasisi ya Urais ilikuwa inajua misheni hizo, hivyo hakupaswa ajitetee kuwa alitumwa na Rais kufanya Uhalifu kwani Kwa kufanya hivyo anamdhalilisha Hayatti Magufuli na Taasisi ya Urais ya wakati huo.

Kama ni kweli alitumwa, basi angekaa kimya na kujitetea Kwa namna zingine, alafu Kwa vile alitumwa na taasisi ya Urais, basi mabosi wake Kwa vile wengine wapo na wanatambua misheni hiyo, wangetafuta namna ya kumnasua. Lakini sio kuwataja, Kwa kuwataja ni tayari ameshavujisha Siri pasipo yeye kujua.

Sabaya pasipo kujua, kauli yake unazidi kuwapa nguvu Wale wote waliokuwa wakiituhumu serikali na watu wasiojulikana.

Kwa kifupi, Sabaya amekosa Weledi.

Hata Kama akitoka basi tayari ameshavujisha Siri za wakubwa wake, na Hana sifa za kuwa mtu wa vitengo Kwa mambo ya kiusalama.

Ilimpasa afe kiume. Akaze Tai shingoni.Mabosi zake ndio wamnasue. Lakini utetezi wake bado unamuweka pagumu zaidi.

Robert Heriel
Walitakiwa wamshitaki kwenye mahakama ya kijeshi lakini wamefanya kosa mamlaka kumpeleka kwenye mahakama ya kiraia huku wanasiasa wakiruhusiwa kumkejeli wakati mamlaka wakijua kwamba kile alichokuwa akikitekeleza kiliidihinishwa na wao kwahiyo hapo hakuna cha kutunza siri tena. Tambua usalama wako tayari kwa lolote watakalo kabiliana nacho wakati wakitekeleza majukumu waliyotumwa siyo kwa mtindo walioamua mamlaka kumdhalilisha kisa kuwafurahisha watu fulani ambao hata hivyo hazingatii kama kuna haki yoyote inatendwe.

Mamlaka za uteuzi huwa hazifi ila mtu hufa.....shughulikeni na mamlaka ya uteuzi ambayo bado ipo pamoja na kwamba mtu kabadilika.

Rejea "Rais Hakosei"-SSH ila mtumwa ndio hukosea!!!! Maajabu ya DUNIA ya SABA
 
Maybe sabaya na mawakili wake wanatuma ujumbe kwa wakubwa waliohusika au waliokuaa wanajua kua kijana alipewa mission.

Wanaambiwa kuwa,kijana anaweza sema lolote,hivyo either wajue jinsi ya kumsaidia au wajiandae kuanikwa.

Nadhani anawatekenya tu kujua watareact vipi.

Hakuna kitu watu hulinda kwa gharama zote kama reputation...so their reputation imehatarishwa,wanahitaji kufanya jambo

either wamkatae mazima ionekane mwana anasema uongo ili kujinasua,au wao wanyoshe mkono kumnasua kinamna flani.

Ni mawazo yangu tu.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Wanaomchukulia Sabaya poa nawashangaa hahahah
 
Mambo ni Moto

Katika sakata linaloendelea linalomkabili Ndugu Lengai Ole Sabaya, utetezi wake unaacha watu midomo wazi.
Mimi sio mwanasheria lakini Kwa akili ndogo tuu niliyonayo namuona Ole Sabaya na mawakili wake wakishindwa kutoa utetezi wenye mantiki.

Utetezi wa Sabaya kuwa alitumwa na Wakuu wake wa kazi waliomteua kufanya Uhalifu ni utetezi wa kijinga Sana ambao mtu mwenye akili asingeweza kuusema Mahakamani.
Kusema alitumwa ni dhahiri anakiri kosa kuwa alifanya, na moja Kwa moja anajitia hatiani.

Ole Sabaya Kiujasusi tayari ameshakosa Weledi katika Kazi yake. Anaposemwa alitumwa na Rais Magufuli ambaye Kwa sasa ni Marehemu, Kwa kazi maalumu, hii inamaanisha kuwa Sabaya yupo katika mfumo wa ujasusi iwe direct au indirectly.
Hivyo Jambo la kwanza kwenye majukumu yake lilipaswa kuwa Siri ndipo mengine yafuate

Moja ya kanuni za kazi maalumu ni siri, hasa kazi maalumu/operations zisizokuwa na majina na zisizoundwa kisheria.
Operations ambazo hazifuati kanuni Rasmi, ni unapigiwa simu na unatekeleza.

Operations za hivi, anayetumwa anapaswa azifanye Kwa weledi pasipo kuleta athari mbaya ambazo zitamtia hatiani, kwani zimtiapo hatiani yeye ndiye atahusika 100% katika adhabu.

Kijasusi, mtu anapopewa kazi maalumu hata akikamatwa hapaswi kusema ukweli kuwa alitumwa na wakubwa wake, hapaswi kuwataja waliomtuma, anapaswa kutumia mbinu zingine za kujihamu au kuficha siri.

Sabaya Kama alitumwa na Hayatti Magufuli, hii ilimaanisha taasisi ya Urais ilikuwa inajua misheni hizo, hivyo hakupaswa ajitetee kuwa alitumwa na Rais kufanya Uhalifu kwani Kwa kufanya hivyo anamdhalilisha Hayatti Magufuli na Taasisi ya Urais ya wakati huo.

Kama ni kweli alitumwa, basi angekaa kimya na kujitetea Kwa namna zingine, alafu Kwa vile alitumwa na taasisi ya Urais, basi mabosi wake Kwa vile wengine wapo na wanatambua misheni hiyo, wangetafuta namna ya kumnasua. Lakini sio kuwataja, Kwa kuwataja ni tayari ameshavujisha Siri pasipo yeye kujua.

Sabaya pasipo kujua, kauli yake unazidi kuwapa nguvu Wale wote waliokuwa wakiituhumu serikali na watu wasiojulikana.

Kwa kifupi, Sabaya amekosa Weledi.

Hata Kama akitoka basi tayari ameshavujisha Siri za wakubwa wake, na Hana sifa za kuwa mtu wa vitengo Kwa mambo ya kiusalama.

Ilimpasa afe kiume. Akaze Tai shingoni.Mabosi zake ndio wamnasue. Lakini utetezi wake bado unamuweka pagumu zaidi.

Robert Heriel
Ndio tatizo la kuchukua kila uvccm eti ni Tiss ndio madhara yake haya sasa wanaropoka kwa vile hawakupikwa kiweledi kwa Kazi hizo Ili wasiache alama
 
Mambo ni Moto

Katika sakata linaloendelea linalomkabili Ndugu Lengai Ole Sabaya, utetezi wake unaacha watu midomo wazi.
Mimi sio mwanasheria lakini Kwa akili ndogo tuu niliyonayo namuona Ole Sabaya na mawakili wake wakishindwa kutoa utetezi wenye mantiki.

Utetezi wa Sabaya kuwa alitumwa na Wakuu wake wa kazi waliomteua kufanya Uhalifu ni utetezi wa kijinga Sana ambao mtu mwenye akili asingeweza kuusema Mahakamani.
Kusema alitumwa ni dhahiri anakiri kosa kuwa alifanya, na moja Kwa moja anajitia hatiani.

Ole Sabaya Kiujasusi tayari ameshakosa Weledi katika Kazi yake. Anaposemwa alitumwa na Rais Magufuli ambaye Kwa sasa ni Marehemu, Kwa kazi maalumu, hii inamaanisha kuwa Sabaya yupo katika mfumo wa ujasusi iwe direct au indirectly.
Hivyo Jambo la kwanza kwenye majukumu yake lilipaswa kuwa Siri ndipo mengine yafuate

Moja ya kanuni za kazi maalumu ni siri, hasa kazi maalumu/operations zisizokuwa na majina na zisizoundwa kisheria.
Operations ambazo hazifuati kanuni Rasmi, ni unapigiwa simu na unatekeleza.

Operations za hivi, anayetumwa anapaswa azifanye Kwa weledi pasipo kuleta athari mbaya ambazo zitamtia hatiani, kwani zimtiapo hatiani yeye ndiye atahusika 100% katika adhabu.

Kijasusi, mtu anapopewa kazi maalumu hata akikamatwa hapaswi kusema ukweli kuwa alitumwa na wakubwa wake, hapaswi kuwataja waliomtuma, anapaswa kutumia mbinu zingine za kujihamu au kuficha siri.

Sabaya Kama alitumwa na Hayatti Magufuli, hii ilimaanisha taasisi ya Urais ilikuwa inajua misheni hizo, hivyo hakupaswa ajitetee kuwa alitumwa na Rais kufanya Uhalifu kwani Kwa kufanya hivyo anamdhalilisha Hayatti Magufuli na Taasisi ya Urais ya wakati huo.

Kama ni kweli alitumwa, basi angekaa kimya na kujitetea Kwa namna zingine, alafu Kwa vile alitumwa na taasisi ya Urais, basi mabosi wake Kwa vile wengine wapo na wanatambua misheni hiyo, wangetafuta namna ya kumnasua. Lakini sio kuwataja, Kwa kuwataja ni tayari ameshavujisha Siri pasipo yeye kujua.

Sabaya pasipo kujua, kauli yake unazidi kuwapa nguvu Wale wote waliokuwa wakiituhumu serikali na watu wasiojulikana.

Kwa kifupi, Sabaya amekosa Weledi.

Hata Kama akitoka basi tayari ameshavujisha Siri za wakubwa wake, na Hana sifa za kuwa mtu wa vitengo Kwa mambo ya kiusalama.

Ilimpasa afe kiume. Akaze Tai shingoni.Mabosi zake ndio wamnasue. Lakini utetezi wake bado unamuweka pagumu zaidi.

Robert Heriel
Kama ni kweli Ole Sabaya ni TISS Agent kama inavyosemekana japo Mimi nitakuwa wa mwisho Kuamini basi atakuwa ni miongoni Wana Usalama wa Taifa Wapumbavu kuwahi Kuajiriwa hapo.

Na hata hao waliofanya Recruiting yake nao watakuwa ni Wapumbavu maradufu na wangetakiwa hata wawe wameshakuwa Executed kabisa kwani wameiaibisha Taasisi ambayo Kimsingi inatakiwa kuwa na Watu Weledi na wenye Maadili ya hali ya juu sana.
 
Kama ushahidi wake huu utakidhi vigezo vya ushahidi kisheria, basi si tu hautamsaidia kumwokoa na hukumu iliyo mbele yake....

Bali utaibua mambo mengine mabaya zaidi dhidi ya serikali ya Magufuli na huyu aliyepo na itakuwa silaha muhimu na hatari kwa wapinzani wa serikali....
Tunajuaje kama amefanya hivyo purposely ili chama ki-act???

Tunadhani Mheshimiwa Sabaya kule ndani amekaa tu na hafanyi harakati zozote juu ya hili??

Time will tell
 
Unajua Magufuli aliamua kuiba uchaguzi bila aibu, kama Hii itakuwa mbinu ya kumtoa ni sawa, maana Hakuna sana!

ILA ili Sanaa iwezekana lazima kuwe na maandalizi, Mfano angemtaja Magufuli akawaacha waliopo etc!

Huu utopokaji ni ngumu sana kumtoa kwa Sana’a, labda umtoe kwa mabavu bila kujali mijadala, and it so, kwa nini umpeleke mahakaman ili waje mtoa Kizembe
Kulikuwa na ulazima wa kumpeleka Mahakamani ili baadhi ya mambo yafanikiwe.
 
Umeandika vizuri mkuu, nje ya kiapo chake Cha ujasusi , maana tangu lini UVCCM wakawa wajasusi? Basi tu mfumo uliwabeba hamna kitu pale,

Ila kusema alitumwa na mamlaka KWA maneno ni ujinga,na hakuna mahakama yaweza fanyia maneno ya mdomoni , Ili Hali wenda akisemacho kiko sawa,

Basi tufanye ataombewa msamaha na mke wa marehemu kama wale wa kapinga.
 
Ni wasioelewa tu wanaoweza mlaumu Sabaya Kwa utetezi wake , na ni ukweli mamlaka zilimtuma , hakufanya uhalifu alitekekeza majukumu aliyoagizwa na ushahidi upo.

Rais kumfukuza kazi Sabaya na kuruhusu kudhalilishwa kwake huku akijua ofisi yake inahusika moja Kwa moja ilikuwa wrong move....Sabaya shikilia hapo hapo.
Alifanya uhalifu na anastahili kupata alichokitafuta

Kama ni mission ya Pesa bandia - basi angefocus kwenye mission na siyo kuteka watu nyara
 
... Sabaya kuwemo kwenye Mfumo wa ujasusi wa nchi hii haina mashaka! Toka enzi akiwa mtoto UVCCM aliwahi kukutwa na kitambulisho cha TISS kesi ikafunguliwa. Alivyoachiwa ni mamlaka yake ya uteuzi pekee ndio inajua.

In short, ameandaliwa kwa kazi maalum long time so yanayotokea kwenye sakata hili ni long time plan. Alichokisema mahakamani ni sahihi kabisa.

Angekuwa huko, hii kesi isingekuwepo. Kazi maalum huwa haisemwi popote hususan mahakamani. Unatumika; mambo yakiharibika, unaishia kuwa “fall guy” - unapotea Kimya kimya. Waliokutuma hamjuani tena. Asubiri msamaha wa Rais.
 
Government moves on paper. Hata iwe operesheni kubwa kiasi gani na sensitive sana, lazima ita exist kwenye paper somewhere, sema itakuwa n Top top secret. Ukiona unapewa maagizo kwa simu, hiyo si operesheni halali. Utetezi wake hauna mashiko. Hana uthibitisho wowote wa kutumwa
 
Wangeweza kumchunia, mbona abuse of office watu wengi tu walifanya. Inawezekana alivuka mipaka, na ndio katolewa kafara hivyo

Nimejiuliza sana. Naona kuna wazito huko CCM/serikalini Sabaya aliwatibua sana enzi za Magufuli.

Hawa watu kwenye kulipa kisasi huwa hawajali aibu. Sasa Ofisi ya Rais (kama taasisi) inachafuka na uharaka wa katiba mpya ndio unazidi kudhihirika ili kuondokana ujinga wa aina hii mapema iwezekanavyo.
 
Kama ni kweli Ole Sabaya ni TISS Agent kama inavyosemekana japo Mimi nitakuwa wa mwisho Kuamini basi atakuwa ni miongoni Wana Usalama wa Taifa Wapumbavu kuwahi Kuajiriwa hapo.

Na hata hao waliofanya Recruiting yake nao watakuwa ni Wapumbavu maradufu na wangetakiwa hata wawe wameshakuwa Executed kabisa kwani wameiaibisha Taasisi ambayo Kimsingi inatakiwa kuwa na Watu Weledi na wenye Maadili ya hali ya juu sana.


Ndivyo maelezo yake mahakamani yanavyomtambulisha.

Sasa aliagizwa afanye hayo yeye Kama Nani, maana kazi za DC zinafahamika,
 
Government moves on paper. Hata iwe operesheni kubwa kiasi gani na sensitive sana, lazima ita exist kwenye paper somewhere, sema itakuwa n Top top secret. Ukiona unapewa maagizo kwa simu, hiyo si operesheni halali. Utetezi wake hauna mashiko. Hana uthibitisho wowote wa kutumwa


Ikiwa ni hivi na Hana ushahidi kazi anayo
 
Huu umeandika ni UPUUZI MTUPU.
Mambo ni Moto

Katika sakata linaloendelea linalomkabili Ndugu Lengai Ole Sabaya, utetezi wake unaacha watu midomo wazi.
Mimi sio mwanasheria lakini Kwa akili ndogo tuu niliyonayo namuona Ole Sabaya na mawakili wake wakishindwa kutoa utetezi wenye mantiki.

Utetezi wa Sabaya kuwa alitumwa na Wakuu wake wa kazi waliomteua kufanya Uhalifu ni utetezi wa kijinga Sana ambao mtu mwenye akili asingeweza kuusema Mahakamani.
Kusema alitumwa ni dhahiri anakiri kosa kuwa alifanya, na moja Kwa moja anajitia hatiani.

Ole Sabaya Kiujasusi tayari ameshakosa Weledi katika Kazi yake. Anaposemwa alitumwa na Rais Magufuli ambaye Kwa sasa ni Marehemu, Kwa kazi maalumu, hii inamaanisha kuwa Sabaya yupo katika mfumo wa ujasusi iwe direct au indirectly.
Hivyo Jambo la kwanza kwenye majukumu yake lilipaswa kuwa Siri ndipo mengine yafuate

Moja ya kanuni za kazi maalumu ni siri, hasa kazi maalumu/operations zisizokuwa na majina na zisizoundwa kisheria.
Operations ambazo hazifuati kanuni Rasmi, ni unapigiwa simu na unatekeleza.

Operations za hivi, anayetumwa anapaswa azifanye Kwa weledi pasipo kuleta athari mbaya ambazo zitamtia hatiani, kwani zimtiapo hatiani yeye ndiye atahusika 100% katika adhabu.

Kijasusi, mtu anapopewa kazi maalumu hata akikamatwa hapaswi kusema ukweli kuwa alitumwa na wakubwa wake, hapaswi kuwataja waliomtuma, anapaswa kutumia mbinu zingine za kujihamu au kuficha siri.

Sabaya Kama alitumwa na Hayatti Magufuli, hii ilimaanisha taasisi ya Urais ilikuwa inajua misheni hizo, hivyo hakupaswa ajitetee kuwa alitumwa na Rais kufanya Uhalifu kwani Kwa kufanya hivyo anamdhalilisha Hayatti Magufuli na Taasisi ya Urais ya wakati huo.

Kama ni kweli alitumwa, basi angekaa kimya na kujitetea Kwa namna zingine, alafu Kwa vile alitumwa na taasisi ya Urais, basi mabosi wake Kwa vile wengine wapo na wanatambua misheni hiyo, wangetafuta namna ya kumnasua. Lakini sio kuwataja, Kwa kuwataja ni tayari ameshavujisha Siri pasipo yeye kujua.

Sabaya pasipo kujua, kauli yake unazidi kuwapa nguvu Wale wote waliokuwa wakiituhumu serikali na watu wasiojulikana.

Kwa kifupi, Sabaya amekosa Weledi.

Hata Kama akitoka basi tayari ameshavujisha Siri za wakubwa wake, na Hana sifa za kuwa mtu wa vitengo Kwa mambo ya kiusalama.

Ilimpasa afe kiume. Akaze Tai shingoni.Mabosi zake ndio wamnasue. Lakini utetezi wake bado unamuweka pagumu zaidi.

Robert Heriel
 
Okey.

Ila Sabaya na wote wanaohusika wnajua wanalolifanya
Wewe mbona huna hoja unaruka ruka tu, Ilhali unakwepa uhalisia na hoja yw msingi kuwa jamaa amevunja sheria kwa kufanya uhalifu hata kama ni kweli ametumwa.
 
Back
Top Bottom