bona
JF-Expert Member
- Nov 6, 2009
- 3,798
- 1,440
kwanza kasema mr usa guy anafanya kazi ubalozi wa marekani na mr shipping ana kampun ya bandari alafu baadae anadai huku bongo kuna afrikans greed sana, sijui kama hawa wawili ni afrikans au????
show ni euro 3250 mbona haifiki hata 10mil au? izi figa za mil 20 kwa show za nje ni uongo tu kuosha jina au?
show ni euro 3250 mbona haifiki hata 10mil au? izi figa za mil 20 kwa show za nje ni uongo tu kuosha jina au?