UTETEZI WA LULU: Kanumba alitaka kunibaka...

Swali kwa wote mnaosema Lulu alibakwa ...

1. Je mnauhakika gani Lulu alimwambia Kanumba miaka yake ya ukweli??

2. Je mnaushahidi gani Lulu alilazimishwa kufanya penzi?

3. Lulu alikuwa nyumbani kwa Kanumba ...
Alifuata nini hapo na kama alikuwa anaelewa kabisa umri haumruhusu kuwa nje muda huo?

4. Na je mna evidence gani Lulu na Kanumba walikutana kimwili "sex".. ukiacha mambo ya udaku .. ..
 
hata kama alikuwa na miaka thelathini, kama alitaka kubakwa kuna sheria inaruhusu abakwe ndo aripoti? Hiyo ni self-defence. kwa ufupi hakuana kesi ya mauaji ila wanaweza ku-pretend kuwa ni kuua bila kukusudia na mwishowe lulu atakuwa huru.
 
Lulu nadhani anatafuta kuudanganya umma ili ujue yeye ni mtoto ili kisha akihukumiwa apate adhabu zinnazowafaa watoto walio katika mgogoro wa kisheria. kwanini nataka kuamini hivyo
1. hivi karibuni kabla ya kifo cha Kanumba, Lulu alikuwa katika moja ya saloon na akawa anahojiwa na mtangazaji Salama wa EATV aliulizwa umri wake alisema ana miaka 18. Je leo anaposema ana miaka 17 anamaanisha nini, asijidanganye

2. Taarifa zilizoko RITA zinaweza kutumika kumuumbua kuwa ni mwongo na akapata adhabu yake stahiki

3.PIA KUNA MAHALA alishawahi kutoa cheti cha kuzaliwa ndipo akaruhusiwa kuingia night club

ngoja tusubiri labda awe ametumwa na magamba
 

hizo ndizo khoja zangu na nimekuwa nikihoji yule aliyedai ni mke wake...................yaelekea umeingilia katikati hukufuatilia hizi khoja zimetoka wapi?
 
Utetezi wa Lulu "KANUMBA ALITAKA KUNIBAKA" hakika nakwambia wewe pamoja na Lulu hukumu yenu itakua hapahapa duniani.

ninashukuru wewe hukuniumba vinginevyo ningelikumbana na dhoruba nyingi sana humu duniani........Thanks Jesus Christ 4 being my only GOD........
 
angela unahisi na wewe utafika mbali???
Kinachoongelewa hapa ni swala la sheria na umri wake na mazingira ya mapenzi yake na kanumba..najua na wala si siri na kama uamini niliwahi kukatoa hapa thread yake nikiomba mwenye kumjua amsaidie..kumbuka sio wote wanapenda kuwa malaya sembuse wewe ulisoma kwa baba na mama lakini mwenzio ukiangalia yeye ndie alikuwa anatunza familia yao akiishi na mama yake.sisemi kivile nakujulisha ujue sio malaya wote wanapenda kuwa malaya na ndio maana nakwambia leo na nimeandika kwenye thread mojawapo ya kanumba laiti familia ya kina lulu ingekuwa ok kimaisha kanumba asingemfungua chupi kirahisi kama wanavyomfanya wengine...ni shida tu ndizo zimemfanya aweze kufungua zipo ya kanumba chukua picha halisi alafu chukua picha ya kanumba akiwa wazi ukalinganishe na jinsi gani kanavyopiga kazi mpaka kaka akawa craizy..kwanza nakaheshimu kwa kuweza kufanya kazi ya ziada kumtosheleza kanumba na mwili wake wa miraba ...minne sio kazi rahisi bana ulizeniw ake zetu wanavyohenyeka ....so angle swala ni kwa nini utemebee na mtoto chini ya miaka 18 ata kama ni malaya nakama unaitaji malaya kwa nini usikimbilie afrika sana ukapata hadi wa miaka 13 wakakutosheleza ???

Nakupa uwazi tatizo la lulu sio umalaya kama wengi wanavyodhani..lulu ana shida ya maisha ndio imefikia kufika hapo na kilichomchanganya ni ule uzuri wake na ndio maana nakuwambia kanumba cha mtoto lulu anaendesha semitrella moja iko bungeni ina kitambi cha aja inavyoongea imemjengea na nyumba kabisa labda kwa huzuni kubwa wakifanya utafiti hiyo simu namini imetokea kwake mh..anyway tuachie wanaitwaje vilee...tee ati /;;uchunguzi bado aujamalizika""""
 

Vipi kuhusu sheria ya ndoa? Anatakiwa kuolewa akiwa na miaka mingapi?
 

namba 1.................ni majungu kwani hayana kiapo.......................namba mbili...........RITA imeanza juzijuzi tu na bado haina uwezo wa kusaili taarifa zote za vizazi vya leo achilia mbali vya wakati wa kuzaliwa kwa mtoto lulu,......tatu................night club yenye kuulizia birth certificate badala ya kukusanya hela haiko Bongland...............nne acha kutetea mbakaji........lol
 

kaka umenichekesha sana,maana umeanza na kulalamika kuwa tunaingilia mahakama,lakini mwisho wa siku nawe umejiunga ktk kuingilia mahakama,karibu kama kufungwa nawe umo kwa kuingilia mahakama
 
wewe kwa akili yako lulu alifwata nini kwa kanumba usiku wa manane amekufa saa sita kama ulikuwa ujui alifata nini ingekuwa may day ningesema ameenda akashonewe sare lakini kwa ufahamu tu naomba unisaidie kabla sijakusaidia.....je kanumba kama mtu mzima unahisi alikuwa ajui kukaa na mtoto chini ya miaka 18 usiku ni kosa la jinai ???na tena kwa ushauri tu

mama yake mzazi lulu ana haki ya kufungua kesi kumfungulia marehemu kwa kumpotosha na kumdanganya na kuamka usiku wa manane tena amevunja na komeo huku yeye amelala kumbe amekimbilia kwa kanumba....na wakati kesi ikiendelea watanzania tutaenda kuomba mahakama itoe hukumu kali kwa marehemu kama mfano kwa wanaume na wasanii wote wanaozoea kuchezea watoto wa watu chini ya miaka 18..leo ameonekana na kanumba unahisi mangapi yanafanywa na kina rey,steve n,jb nk??alot
mh hakimu pamoja na kwamba atuko na marehemu naomba utoe hukumu kali kwa marehemu kama mfano watakaoendelea kulala na watoto chini ya miaka 18..mama llulu kama unaitaji msaada wa kufungua kesi bure ni pm tafadhali...inaaibisha sana serikali inaijaibisha kushirki mazishi ya mzinzi....

Sikutarajiwa kama mtu wa heshima kama mh mkuu wa majeshi wetu mahundi alietumikia kwa uadilifu hata tbc walishindwa kutonyesha live tunaenda kukimbilia kuonyeshwa misiba ya wazinzi...sidhani imefka wakati sasa tuanze kuendekeza uzinzi kwenye hii nchi....nimeuliza swali leo lulu yuko ndani kanumba amekufa ..je kanumba angekuwa hai lulu angeenda mahakamani .............leo kanumba angekuwa afai..na aibu......hata mjini ........
 
That's exactly what I thought!

So why is it hard for others to understand when it is not even rocket science?

tatizo ni DPP kesha mwaga sumu nyingi sana kwa kumtuhumu mtoto wa watu........
 
Kuna kitu PDiddy kaandika hapo juu na Ruta aligusia kwa mbali.

Wengi humu tumekaona haka kabinti na mate yametutoka, siyo siri tuwe wa kweli. Ila wanasema tofauti ya binadamu na Mnyama ni moja kuwa Binadamu amepewa uwezo wa kuchagua na mnyama yeye liende tu. Wao hawana mahakama wala nini na maadamu una maguvu, wee kula vitu iwe mwanao, mama yako, mkwe wako nk nk.

Huyu binti inaonekana wameanza kukala unyumba siku nyingi kama ni kweli na kibaya ni hadi Mawaziri wamo na kufikia kukajengea hadi nyumba - too sad. Ila waziri mwenye kitambi, hebu ngoja nifanye utafiti maana inawezekana ntamuelewa kwani siyo wengi wenye vitambi.

Huyu binti kweli anatakiwa kuhurumiwa. Ni rahisi wengi kusema ila kumbuka ukiwa na miaka 18.....
 
vipi mpwa tano mwambie aach kuendekeza uzinzi
 
hicho siyo kiapo kinachokubalika mahakamani...................vyombo vya khabari hata haya tunayoaongelea huwezi kwenda nayo kama kuthibitisha umri wa mtoto huyo ambaye anapaswa kauchiwa aharaka aende kunyonya ziwa la mamaa yake
Lol JF is never boaring, awahi zake nyonyo ee ee haha haha. Yeye si alipenda ya kkubwa akiwa mdogo ngoja aendelee kupambana.
 
OMBI KWA RUTA na PDIDDY: Maneno makali mnayotoa kwa Kanumba sidhani kama mnamtendea haki Marehemu. Kibaya zaidi ni kuwa mnamsema mtu asiyeweza kuja kujitetea. Wengi tunataka haki itendeke ila siyo kwa gharama za mtu mwngine. Ndiyo maana najitahidi sana kusimama katikati ili haki iwepo kwa wote yaani KANUMBA na LULU. Lulu anaweza kujitetea ila Kanumba........ Kuwashambulia Mafataki na hata ikibidi kuwaanika wazi, nakubaliana nanyi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…