Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,984
sioni hoja ya kisheria ya kuijibu hapa...........zaidi ya kuelezea ufahamu wake wa kihisia
Naona sasa unaanza kukimbia mjadala wako mwenyewe, hoja hii ya kusingizia uchumba kati ya mwendazake na dotnata umeianzisha wewe, au hili si bandiko lako?
Pitia tena hoja zako Allen naona zina migongano mikubwa..............mwanzo ulisema mwendazake mchumba wake alikuwa Donata.............baada ye unamgeuzia Lulu............hivi mwendazake alikuwa ana wa chumba wangapi kwa wakati mmoja?.........ingawaje utetezi wa kubakwa au kukusudiwa kubakwa haupanguliwi na uchumba au hata ndoa na kinda wa chini ya miaka 18........
Ndipo na mimi nikakujibu hapa chini kwa kutoa ufafanuzi wa hoja ya Allien uliyokuwa unajaribu kuipotosha kama si kutoielewa.
Unajichanganya mwenyewe, Allien hajasema kwamba Dotnata alikuwa mchumba wa kanumba(mind you dotnata ni mke wa mtu). Alichosema Allien ni kwamba Dotnata ameshuhudia kwamba hawa watu walikuwa ni wachumba. Dotnata anathibitisha kwamba hawa watu walikuwa katika uhusiano wa kimapenzi kwa miezi sita sasa.
Hata kama una mapenzi makubwa sana kwa lulu, usipotoshe watu mkuu, hakuna mwenye chuki na lulu, tunachotaka sisi ni ukweli ujulikane na lulku atendewe haki.
Na ushahidi wa bandiko la Allien ndo hili hapa, kama hukumuelewa ingekuwa vizuri kuuliza ufafanuzi kulkiko kupotosha.
Dotnata ameshadhihirisha nia njema ya Kanumba kuwa alitaka Kumwoa na alikuwa na taarifa rasmi. Lulu alikubali na alisema tatulia lipotakiwa kufanya hivyo. Wamekuwa marafiki for 6 months na Kanumba hakutaka wawe in Spotlight mpaka atangaze Uchumba. Kuna wanaojua walikuwa wanapika na kupakua.