UTETEZI WA LULU: Kanumba alitaka kunibaka...

UTETEZI WA LULU: Kanumba alitaka kunibaka...

Lulu ana mwili mdogo sana ukilinganisha na Kanumba. Je alitumia nguvu gani kuweza kumsukuma Kanumba hadi aanguke?
Kwa sababu walikuwa wawili chumbani basi mtu pekee ambaye anaweza kusema kilichompata Kanumba ni Lulu mwenyewe hata kama kitakuwa cha uongo na hakutakuwa na mtu wa kuthibitisha kuwa ni uongo. Kanumba angekutwa amejeruhiwa kwa kutumia silaha, hapo Lulu angekuwa hana la kujitetea.
Tuiachie mahakama ifanye kazi yake.

maswali ambayo hayana majibu................
 
Jamani tuwe na busara kidogo, huu umoja wa wasanii mimi binfsi ninashangaa sana, msanii mwenzao Lulu amepata matatizo wapo kimya hata kumsaidia hawataki sijui kwa nini.
Kwa mtizamo wangu ninaona Lulu kuna uwezakano mkubwa akaachiwa huru, kwani mpaka sasa sioni kama kuna ushahidi wowote wa kuweza kuthibitisha tuhuma zinazomkabili


  1. Ripoti ya madaktari, kimsingi ripoti hii inamjenga zaidi Lulu kuliko upande wa mashitaka “Prosecution” kwa sababu ripoti hii inaeleza kwamba Mwendazake (Kanumba) kifo chake kimesababishwa na Brain Concussion ambayo inasababishwa na kugongwa na kitu kichwani, majeraha pamoja na kuanguka. This is undisputed facts all we do concur after having read the named report. Lakini haisemi kama Lulu ndio aliyemsukuma ama gonga kichwani marehemu, bado haiweza kuinganisha name alimgonga au mwangusha marehemu, uchunguzi inabidi uende mbali zaidi kuweza kupata ushahidi pasipo shaka/zaidi ya ukomo wa mashaka “ to prove beyond any reasonable doubt” wa kwamba Lulu ndiye aliyemsukuma au mwangusha Kanumba kwa tunakubaliana ripoti ya polisi haiwezi kusisima peke yake kwa hiyo tunaipiga chini/tupa huko!.
  2. Ripoti ya madaktari haikwenda mbali kuweza kubaini kumbukumbu ya marehemu kama kuna magonjwa mengine yalikuwa yanamsumbua marehemu kabla ya kumkuta mauti, kwani hayo ndio yanaweza kuwa ndio sababu ya kifo chake tunapiga tena chini ripoti ya madaktari.
  3. Ripoti ya mkemia mkuu, hata ikisema kulikuwa na sumu, lazima atafuta nani aliiweka hiyo sumu na sio kumsingizia Lulu, vile vile lazima iseme ni sumu ya aina gani na ina uwezo gani wa kuua, je ni kwa muda mfupi namna ile, lakini Kanumba kuwa na sumu sio sababu ya kumfunga lulu kwa sababu inategemeana na sampuli ya machozi au aina yeyote (specimen), imechuliwaje kwa sababu yawezekana hiyo sampuli imechanganyikana na vipondozi anavyotumia marehemu kama mafuta, lotion n.k kwani wazi vipondozi hivi vina sumu kwani kuna wakati TFDA walitangaza vipodozi vyenye sumu, huenda watanzania wengi wana sumu mwilini mwao ndio maana leo kuna dawa za kutoa sumu mwilini, yawezekana hata wewe au mimi tuna sumu.Nayo ripoti tunapiga chini.
  4. Tunakuja kwa polisi hapo ndipo tuna “rise doubt” mpaka mheshimiwa hakimu ashangae kwanza kwa nini mdogo wake na Kanumba hakuwekwa chini ya ulinzi, kwani best practice tunao kwamba mtu akifa watu wote kwenye tukio mnakuwa watuhumiwa, na kama haukuhusika ni baadaye huko mwishoni ndio unatoka, lakini leo tumeona from day one mdogo wake Kanumba yote nje na ana mislead investigation kwenye media. Je hivyo vinywaji ambavyo vinaweza kutumika kama vielelezo vilichukuliwa kwa utaratibu yaani shihidi ni nani(independent witness/shahidi huru) ie mwenyekiti wa serikali za mitaa, mjumbe kama hakuwepo tunavipiga chini. Kwani mdogo wake haiwezekani amuwekee sumu kaka mtu tumeona matukio kibao ndungu wanauana. Kumbuka vinywaji hivyo Kanumba alikuwa anavnywa kabla possible mtu mwingine akawa amemuwekea. Vile vile polisi hawakumkamata Lulu alienda mwenyewe polisi hii ni ushahidi tosha kwamba alikuwa hana nia ya kuua, vile vile yeye ndiye toa taarifa kwa mdogo wa marehemu na kutoa ushirikiano.
  5. Caution or plain statement ya polisi tunaipiga chini, regardless imechukuliwa chini ya kiapo kama kuna vitu amekiri (confess) basi tunaamsha taratibu za kukiri lazima awepo mlinzi wa amani tofauti na hapo tunapiga chini.
  6. Ni nani alimwita mwenziye kati ya Kanumba au Lulu kama ni Kanumba alimwita aende nia ya kuua tunaitilia shaka, siku zote mwenye nia ya kuua haitwi anakuja mwenyewe na kutekeleza azma yake.
  7. Kuna ushahidi gani kwamba Lulu alikuwepo chumbani kwa Kanumba, ushahidi wa mdogo wa kunumba unapigwa chini kwa sababu kimsingi nay eye anatakiwa awe mtuhumiwa na vile vile ana maslahi kwa marehemu(bias/interested).
  8. Mwili wa marehemu umezunguka sana kabla ya polisi kuanza uchunguzi kiasi kwamba umebadili mwelekeo wa uchunguzi makini, kwanini polisi hawakuweza kufika eneo la tukio na kuzuia kwa ajili ya uchunguzi na kuchukua taarifa mbalimbali ie finger prints za maeneo mbalimbali kama vitasa, glass, chupa za vinywaji n.k
  9. Baada ya hapo tunakuja na defence ya kwamba Marehemu alitaka kubaka mpendwa wetu Lulu kinyume na sheria ya kanuni ya adhabu kifungu cha 132 (Penal code contray to Sect 132.)
    1. 132. Attempted rape Act No. 4 of 1998 s. 8

(1) Any person who attempts to commit rape commits the offence of attempted rape, and except for the cases specified in subsection (3) is liable upon conviction to imprisonment for life, and in any case shall be liable to imprisonment for not less than thirty years with or without corporal punishment.
(2) A person attempts to commit rape if, with the intent to procure prohibited sexual intercourse with any girl or woman, he manifests his intention by–
(a) threatening the girl or woman for sexual purposes;
(b) being a person of authority or influence in relation to the girl or woman, applying any act of intimidation over her for sexual purposes;
(c) making any false representations for her for the purposes of obtaining her consent;
(d) representing himself as the husband of the girl or woman, and the girl or woman is put in a position where, but for the occurrence of anything independent of that person's will, she would be involuntarily carnally known.
(3) Where a person commits the offence of attempted rape by virtue of manifesting his intention in the manner specified in paragraph (c) or (d), he shall be liable to imprisonment for life and in any case for imprisonment of not less than ten years.


  1. Lulu ni girl or woman na tafsiri inapatikana katika sheria ya kanuni ya adhabu kifungu cha 129A. Definition of woman

In this Chapter "woman" means any female person and, unless the context requires otherwise or it is otherwise expressly provided, irrespective of age.


  1. Mwisho, na ikumbukwe kwamba kazi ya mtuhumiwa ni kutia shaka juu ya hoja zinazotolewa na upande wa mashitaka, upande wa mashitaka una jukumu la kuthibitisha tuhuma pasipo acha shaka tuhuma inayo mkabili mtuhumiwa. Lulu hana hatia ila tu kwa mfumo wetu wa uendeshaji wa mashitaka huwa unachukua muda mrefu ndio ambayo itamgharimu. Na nyinyi maaskari wa kike ambao mnamsindikiza Lulu mahakamani naomba muwe mnampa ushauri na kumtia moyo msimtenge sana ni mwanamke mwenzenu.

ninakutumia shukrani za kipekee kibirizi....welldone uchambuzi wako yakinifu umenikuna vilivyo.........
 
Kwa attachment ya Tanzania Penal Code see post 418. Watu wanakwepa kujibu hoja.

Unajua kuna watu humu wamesoma Bsc (civil) Eng; na M.A (Public Admin) na ni watu wazima sana halafu wao ndo wanajiona Wanasheria waliofuzu kumbe wanapotosha umma.


Sheria ya mwenendo wa kesi ya kubaka ni tofauti sana na sheria ya mwenendo wa kesi ya mauaji.

Hebu twende taratibu, Lulu kashtakiwa kwa kosa la mauaji na wala si Kanumba kashitakiwa kwa "Tuhuma za Kusadikika" za Kubaka.

Sheria ya Tanzania inatambua umri tofauti kwa makosa tofauti. Mfano, katika kesi za kubaka ni offence kama ukimbaka mtu mwenye umri chini ya miaka 18.

Wakati huo huo sheria ya ndoa inatoa haki kwa huyu mtoto wa miaka 18 kuolewa kwa ruksa ya wazazi. Wakati Lulu na Kanumba enzi zao walikuwa wanapika na kupakua mama Lulu alikuwa anajua na kuwapa baraka zote. may be kwa kuwa naye aliona matunda yake. Nia ya Kanumba ilikuwa njema kabisa ni Kumwoa Lulu. Mama yake Mlezi Dotnata na Kanumba alifahamishwa hivyo na hata alipomwuliza Lulu kama ataacha Ukicheche aliahidi kuwa atatulia. Kanumba alikuwa anataka kum-transform abadilike. Lulu alikuwa ameiaminisha Dunia kwa matendo na maneno kuwa yeye ni mtu mzima above 18 (Achana na cheti, cheti ni nini bana), ushahidi wa watu wachache wakimshudia kuwa amekuwa akikiri kuwa na umri wa 18 na hivyo kumwaminisha kanumba na watu wengine kuwa yeye ni mtu mzima unatosha kumtia hatiani kama ni binti mwongo na asiyeaminika na hivyo ni mtu mzima ajibu mashtaka. Unajua kusema uongo ni kosa.

Sasa tuangalie umri katika kesi za mauaj: angalia kiambatanishi pia:

"mtu mzima" maana yake ni mtu mwenye umri wa au zaidi ya miaka kumi na sita;

"mtoto" maana yake ni mtu ambaye hajatimiza umri wa miaka kumi na sita;

"Kijana mdogo" maana yake ni mtu aliye chini ya umri wa miaka kumi na sita;

CHAPTER XIXA inazungumzia Murder and Manslaughter

195. Any person who by an unlawful act or omission causes the death of another person is guilty of the felony termed "manslaughter" An unlawful omission is an omission amounting to culpable negligence to discharge a duty tending to the preservation of life or health, whether such omission is or is not accompanied by an intention to cause death or bodily harm.

196. 'Any person who of malice aforethought causes the death of another person by an unlawful act or omission is guilty of murder.

197. Any person convicted of murder shall be. sentenced to death: (of course kuna exceptions)

Nimeongea na Kiongizi mmoja Police Force wa Kitengo cha Crime na haya ndiyo yaliyojili:

1. Ushahidi walionao wa awali unatosha kumshitaki Lulu kwa Murder kwa kuwa ni above 16

2. Bado kuna ushahidi mzito katika simu yake na SMS for last few weeks na huenda kesi hii ikawavuta wengi.

3. Report ya daktari inayoonyesha SK alikufa kwa Brain Concussion imepelekea Police kupata ushahidi wa kitu kilichomgonga, mpiga, au mwangusha wakati muda mfupi tu alikuwa mzima. Report inashuhudia SK hakuwa na maradhi mengine na alikuwa ni mtu wa Gym.

4. Report ya Mkemia Mkuu ambayo inasubiriwa inaweza kuwa na dondoo zingine.

5. Jukumu la mwendesha mashtaka ni kumshtaki mtuhumiwa kwa Murder (ambalo ni kosa la juu) ingawa mahakama kutegemea na uzito inaweza kumpunguzia adhabu ikawa Manslaughter (kosa dogo).

6. Elizabeth alikuwa Mlevi (Only over 18 unaruhusiwa kununua kilevi, alikuwa na mabwana kama alivyowahi kukubali mwenyewe kuwa hakuwa Bikra (na hao nao walikuwa wanambaka?). Yote haya yanahakikisha kuwa binti ni mtu mzima na anaweza kujibu tuhuma za mauaji.

7. Jamuhuri ikishamtia katika hatia kuwa Lulu ni Mwongo mbele ya jamii na kuwa kadanganya miaka na kuwaaminisha watu kuwa yeye ni mtu mzima, basi mziki mnene unamsubiri, maana mahakama tayari inaushahidi kuwa ni Mwongo na anatumia uongo kutake advantage. hapo Wanasheria wazuri au waendesha mashitaka watakuwa na kazi ya kumbomoa kwa kila analosema. Aombe tu yote atakayoongea hayatakinzana na aliyotenda na kufanya na ambayo yatakuwa na ushahidi.

8. Bra bra zingine kuwa Kanumba kabaka bila ushahidi wowote na hayupo kujitetea in nothing other than wishful thinking lakini sheria iko wazi.

Ni vema tuache kupotosha watu na tuiachie mahakama ifanye kazi yake.
 
Unajua kuna watu humu wamesoma Bsc (civil) Eng; na M.A (Public Admin) na ni watu wazima sana halafu wao ndo wanajiona Wanasheria waliofuzu kumbe wanapotosha umma.

Sheria ya mwenendo wa kesi ya kubaka ni tofauti sana na sheria ya mwenendo wa kesi ya mauaji.

Hebu twende taratibu, Lulu kashtakiwa kwa kosa la mauaji na wala si Kanumba kashitakiwa kwa "Tuhuma za Kusadikika" za Kubaka.

Sheria ya Tanzania inatambua umri tofauti kwa makosa tofauti. Mfano, katika kesi za kubaka ni offence kama ukimbaka mtu mwenye umri chini ya miaka 18.

Wakati huo huo sheria ya ndoa inatoa haki kwa huyu mtoto wa miaka 18 kuolewa kwa ruksa ya wazazi. Wakati Lulu na Kanumba enzi zao walikuwa wanapika na kupakua mama Lulu alikuwa anajua na kuwapa baraka zote. may be kwa kuwa naye aliona matunda yake. Nia ya Kanumba ilikuwa njema kabisa ni Kumwoa Lulu. Mama yake Mlezi Dotnata na Kanumba alifahamishwa hivyo na hata alipomwuliza Lulu kama ataacha Ukicheche aliahidi kuwa atatulia. Kanumba alikuwa anataka kum-transform abadilike. Lulu alikuwa ameiaminisha Dunia kwa matendo na maneno kuwa yeye ni mtu mzima above 18 (Achana na cheti, cheti ni nini bana), ushahidi wa watu wachache wakimshudia kuwa amekuwa akikiri kuwa na umri wa 18 na hivyo kumwaminisha kanumba na watu wengine kuwa yeye ni mtu mzima unatosha kumtia hatiani kama ni binti mwongo na asiyeaminika na hivyo ni mtu mzima ajibu mashtaka. Unajua kusema uongo ni kosa.

Sasa tuangalie umri katika kesi za mauaj: angalia kiambatanishi pia:

"mtu mzima" maana yake ni mtu mwenye umri wa au zaidi ya miaka kumi na sita;

"mtoto" maana yake ni mtu ambaye hajatimiza umri wa miaka kumi na sita;

"Kijana mdogo" maana yake ni mtu aliye chini ya umri wa miaka kumi na sita;

CHAPTER XIXA inazungumzia Murder and Manslaughter

195. Any person who by an unlawful act or omission causes the death of another person is guilty of the felony termed "manslaughter" An unlawful omission is an omission amounting to culpable negligence to discharge a duty tending to the preservation of life or health, whether such omission is or is not accompanied by an intention to cause death or bodily harm.

196. 'Any person who of malice aforethought causes the death of another person by an unlawful act or omission is guilty of murder.

197. Any person convicted of murder shall be. sentenced to death: (of course kuna exceptions)

Nimeongea na Kiongizi mmoja Police Force wa Kitengo cha Crime na haya ndiyo yaliyojili:

1. Ushahidi walionao wa awali unatosha kumshitaki Lulu kwa Murder kwa kuwa ni above 16

2. Bado kuna ushahidi mzito katika simu yake na SMS for last few weeks na huenda kesi hii ikawavuta wengi.

3. Report ya daktari inayoonyesha SK alikufa kwa Brain Concussion imepelekea Police kupata ushahidi wa kitu kilichomgonga, mpiga, au mwangusha wakati muda mfupi tu alikuwa mzima. Report inashuhudia SK hakuwa na maradhi mengine na alikuwa ni mtu wa Gym.

4. Report ya Mkemia Mkuu ambayo inasubiriwa inaweza kuwa na dondoo zingine.

5. Jukumu la mwendesha mashtaka ni kumshtaki mtuhumiwa kwa Murder (ambalo ni kosa la juu) ingawa mahakama kutegemea na uzito inaweza kumpunguzia adhabu ikawa Manslaughter (kosa dogo).

6. Elizabeth alikuwa Mlevi (Only over 18 unaruhusiwa kununua kilevi, alikuwa na mabwana kama alivyowahi kukubali mwenyewe kuwa hakuwa Bikra (na hao nao walikuwa wanambaka?). Yote haya yanahakikisha kuwa binti ni mtu mzima na anaweza kujibu tuhuma za mauaji.

7. Jamuhuri ikishamtia katika hatia kuwa Lulu ni Mwongo mbele ya jamii na kuwa kadanganya miaka na kuwaaminisha watu kuwa yeye ni mtu mzima, basi mziki mnene unamsubiri, maana mahakama tayari inaushahidi kuwa ni Mwongo na anatumia uongo kutake advantage. hapo Wanasheria wazuri au waendesha mashitaka watakuwa na kazi ya kumbomoa kwa kila analosema. Aombe tu yote atakayoongea hayatakinzana na aliyotenda na kufanya na ambayo yatakuwa na ushahidi.

8. Bra bra zingine kuwa Kanumba kabaka bila ushahidi wowote na hayupo kujitetea in nothing other than wishful thinking lakini sheria iko wazi.

Ni vema tuache kupotosha watu na tuiachie mahakama ifanye kazi yake.

Allien usipoteze muda na sifa za mleta mada wewe kazana kubeza khoja zake...........sifa hazina maana kama mada yenyewe hukubaliani..........................nayo na zina maana kama khoja zake wakubaliaana nazo.....................tafsiri zako zozote umezijenga katika msingi mmoja ya kuwa penal code is above all laws.........well, you are dead wrong.............the sexual offences act Cap 101 now supersedes penal code...................twende polepole tutakufikisha kwenye huu uchambuzi.......................kwa hiyo utetezi wa kubakwa lazima usikilizwe kabla ya tathmini ya tuhuma za mauaji.......................be blessed.
 
Allien usipoteze muda na sifa za mleta mada wewe kazana kubeza khoja zake...........sifa hazina maana kama mada yenyewe hukubaliani..........................nayo na zina maana kama khoja zake wakubaliaana nazo.....................tafsiri zako zozote umezijenga katika msingi mmoja ya kuwa penal code is above all laws.........well, you are dead wrong.............the sexual offences act Cap 101 now supersedes penal code...................twende polepole tutakufikisha kwenye huu uchambuzi.......................kwa hiyo utetezi wa kubakwa lazima usikilizwe kabla ya tathmini ya tuhuma za mauaji.......................be blessed.


Chaep Legal Politics answers for key issues . . . No need of Speculations . . . Subiri Kesi Mahakamani.

I offered you TZS 10M katetee hiyo kesi and I am dead seriously huendi popte na hizi arguments zako za kulazimisha.
 
Wanasema si rahisi kuwa mtaalamu wa kila kitu...ila kila mtu anaweza kuwa informed lakini asijue technical know how. Mtoa hoja hii - @Ruta anashindwa kuelewa kuwa hakuna uhusiano kati ya umri na kosa nanalotuhumiwa kwalo.

Ni vigumu kutaka watu waamini kuwa ukiwa under 17 huwezi kutuhumiwa kufanya kosa katika nchi hii. Niseme swala si kuwa anapashwa kuwa huru au la...tumeona kesi ambazo ni damaging (Zombe, Vijana waliouawa na Polisi Arusha etc) kuliko hii ya Lulu. Ukweli ni kwamba Lulu anayotuhuma ya kujibu period.


umri ni muhimu katika utetezi hususani kwenye utetezi wa kusudio la kubakwa.........
 
Madam Ingekuwa vizuri kama ungewataja hao wanasheria. I don't see any room for technical discussions in a case which has not started. People need to hear arguments from both parties first. Kinachoendelea sasa ni what if and its legal implications in the future direction of the case.

athari za kesi tu ndizo tunazojaribu kuzipima kwa pande zote mbili.....you could be right in your disposition........
 
Unajua kuna watu humu wamesoma Bsc (civil) Eng; na M.A (Public Admin) na ni watu wazima sana halafu wao ndo wanajiona Wanasheria waliofuzu kumbe wanapotosha umma.

sheria huhitaji kukaa darasani ili uzijue..........pole sana kama ulifikiri walihitaji darasa..................na ndiyo maana UK kwenye House of Lords na Supreme Court of USA mtu yeyote aweza kuteuliwa ili mradi aonyeshe upeo wa kuzijua sheria hata kama hana elimu ya darasani ya fani tajwa......................usiikuze sana elimu ya darasani na kwa ushauri wangu uwe unaipuuza kwa sababu haina maana kama haitatui matatizo ya jamii......

kwa ushauri tu elimu ya darasani inafunika vipaji vya wengi ambavyo Mwenyezi Mungu ametupa...............usikubali kubanwa na makaratasi ya mwanadamu kuwa eti wewe umeelimika kwenye kitu fulani tu................teh sky ought to be your limit...............]

Read Roman 11:29 "For the gifts and calling of God are irrevocable."......................darasa hili la mwanadamu lisikutahayarishe............tena usipende sana kuthamini elimu hiyo ya darasani kwa sababu inamwekea mtu mipaka ya kutumia vipaji alivyopewa na Mwenyezi Mungu...............

nimeona unarudiarudia hizi hoja ambazo mwanzoni nilizipuuzilia mbali lakini naona nikuume sikio............move on Allien......
 
Jamani inshu iko mahakamani mbona mmekuwa na jazba
kuweni wapole punguzeni jazba au nendeni mahakamani mkatoe utetezi wenu

mdomo na mbongo tumepewa tuzitumie...................ya mahakamani ni mengineyo, hayatuhusu lakini hili la kutafakari ni letu wenye mapenzi na wito wa kutafakari........
 
Kabla ya kujadili mada hebu tuangalie kwanza sheria zinazohusu tuhuma, sheria ya kanuni za adhabu sura ya 16 ( kifungu cha 195 – 205), The Penal Code chapter 16 (Sect 195-205), nimesikia kwa makini hati ya mashitaka ya Lulu (Charge sheet) inasema anatuhumiwa na kosa la kuua kwa kukusudia kinyume na kifungu cha 196(angalia chini) yaani Murder sect 196. Ukiangalia kwa umakini Lulu ataachiwa kwani ingredients za hicho kifungu haziwezi kuthibitishwa kamwe. Ila kuna kaushahidi kiduchu kuhusu kuua bila kukusudia kinyume na kifungu cha 195(angalia chini) yaani Manslaughter sect 195.


Sasa kama wakili makini mwisho wa ushahidi anaweza kuieleza mahakama kwamba ushahidi uliopatikana hauthibitisha kosa analoshitakiwa nalo, natoa ufafanuzi yaani ukiangalia wamekusanya ushahidi wa kuua bila kukusudia lakini wanamshitaki kwa kosa la kuua kwa kukusudia. Na mheshimiwa huwa anaangalia kama evidence ina comply na charge zikitofautia inapigwa chini. Kwa bahati nzuri au mbaya hivi vifungu huwezi kuviweka pamoja lazima uchague kimoja ndio uweke kwenye charge sheet (hati ya mashitaka) kwa sababu kila kosa lina adhabu tofauti. (Sect 197 and 198), na uzuri wa mahakamani wanaangalia ushahidi unaotolewa unathibitisha kosa tajwa katika hati ya mashitaka na sio ushahidi unaotolewa ni wa kosa gani.


Hivyo basi hiyo nayo ni possible defence.


Ni bora hata wangeweka kosa la kuua kwa kuchokozwa kinyume na kifungu cha 201 (Killing on provocation contrary to section 201 of Penal code). Vile vile kuanguka si lazima usukumwe kwani tumeona Mhs. Rais Jakaya alianguka kwa nyuma Jangwani akiwa anahutubia bila kusukumwa na mtu yeyote. Sasa kwa nini isiwezekane kwa Marehemu Kanumba.Hapa napo ni possible defence ya ripoti ya madaktari ya kuhusiana na ripoti yao ya Brain concussion.


Baada ya hapo tunakuja na defence ya marehemu kujaribu kubaka (attempts rape), ieleweke suala la ubakaji lina pande mbili, moja kubaka(fanya mapenzi) kwa mtu ambaye umri wake mdogo kwa mujibu wa sheria husika, pili kubaka kwa kujaribu au kumwingilia mwanamke yeyote kwa nguvu bila ridhaa yake hapa umri si kigezo, ili kuboresha ushahidi tunampiga na hiki cha pili yaani kinyume na sheria ya kanuni ya adhabu kifungu cha 132 (Penal code chapter 16 contray to Sect 132.) MURDER AND MANSLAUGHTER (ss 195-205) 195. Manslaughter (1) Any person who by an unlawful act or omission causes the death of another person is guilty of manslaughter. (2) An unlawful omission is an omission amounting to culpable negligence to discharge a duty tending to the preservation of life or health, whether the omission is or is not accompanied by an intention to cause death or bodily harm. 196. Murder Any person who, with malice aforethought, causes the death of another person by an unlawful act or omission is guilty of murder. 197. Punishment for murder A person convicted of murder shall be sentenced to death. 198. Punishment for manslaughter Any person who commits manslaughter is liable to imprisonment for life. 199. Conviction for infanticide in certain cases Where a woman by any wilful act or omission causes the death of her child, being a child under the age of twelve months, but at the time of the act or omission she had not fully recovered from the effect of giving birth to the child, and for that reason or by reason of the effect of lactation consequent upon the birth of the child the balance of her mind was then disturbed, she shall, notwithstanding that the circumstances were such that but for this section the offence would have amounted to murder, be guilty of infanticide, and may, be dealt with and punished for the offence as if she had been guilty of manslaughter of the child. 200. Malice aforethought Malice aforethought shall be deemed to be established by evidence proving any one nor more of the following circumstances– (a) an intention to cause the death of or to do grievous harm to any person, whether that person is the person actually killed or not; (b) knowledge that the act or omission causing death will probably cause the death of or grievous harm to some person, whether that person is the person actually killed or not, although that knowledge is accompanied by indifference whether death or grievous bodily harm is caused or not, or by a wish that it may not be caused; (c) an intent to commit an offence punishable with a penalty which is graver than imprisonment for three years; (d) an intention by the act or omission to facilitate the flight or escape from custody of any person who has committed or attempted to commit an offence. 201. Killing on provocation
When a person who unlawfully kills another under circumstances which, but for the provisions of this section would constitute murder, does the act which causes death in the heat of passion caused by sudden provocation as defined in section 202, and before there is time for his passion to cool, he is guilty of manslaughter only. 202. Provocation defined Ord. No. 16 of 1946 s. 2 (1) The term "provocation" means, except as hereinafter stated, any wrongful act or insult of such a nature as to be likely, when done to an ordinary person, or in the presence of an ordinary person to another person who is under his immediate care, or to whom he stands in a conjugal, parental, filial or fraternal relation, or in the relation of master or servant, to deprive him of the power of self-control and to induce him to commit an assault of the kind which the person charged committed upon the person by whom the act or insult is done or offered. (2) When the unlawful act or insult is done or offered by one person to another, or in the presence of another to a person who is under the immediate care of that other, or to whom the latter stands in any relationship referred to in subsection (1), the former is said to give the latter provocation for an assault. (3) A lawful act is not provocation to any person for an assault. (4) An act which a person does in consequence of incitement given by another person in order to induce him to do the act and thereby to furnish an excuse for committing an assault is not provocation to that other person for an assault. (5) An arrest which is unlawful is not necessarily provocative for an assault, but it may be evidence of provocation to a person who knows of the illegality. (6) For the purposes of this section, the expression "an ordinary person" means an ordinary person of the community to which the accused belongs. 203. Causing death defined A person is deemed to have caused the death of another person, although his act is not the immediate or sole cause of death, in any of the following cases– (a) if he inflicts bodily injury on another person in consequence of which that other person undergoes surgical or medical treatment which causes death; in which case it is immaterial whether the treatment was proper or mistaken if it was employed in good faith and with common knowledge and skill; but the person inflicting the injury is not deemed to have caused the death if the treatment which was its immediate cause was not employed in good faith or was so employed without common knowledge or skill; (b) if he inflicts bodily injury on another which would not have caused death if the injured person had submitted to proper surgical or medical treatment or had observed proper precautions as to his mode of living; (c) if by actual or threatened violence he causes that other person to perform an act which causes the death of that person, the act being a means of avoiding the violence which in the circumstances would appear natural to the person whose death is so caused; (d) if by any act or omission he hastens the death of a person suffering under any disease or injury which, apart from that act or omission, would have caused death; (e) if his act or omission would not have caused death unless it had been accompanied by an act or omission of the person killed or of another person. 204. When child deemed to be a person A child becomes a person capable of being killed when it has completely proceeded in a living state from the body of its mother, whether it has breathed or not, and whether it has an independent circulation or not, and whether the navelstring is severed or not.
 
Kabla ya kujadili mada hebu tuangalie kwanza sheria zinazohusu tuhuma, sheria ya kanuni za adhabu sura ya 16 ( kifungu cha 195 – 205), The Penal Code chapter 16 (Sect 195-205), nimesikia kwa makini hati ya mashitaka ya Lulu (Charge sheet) inasema anatuhumiwa na kosa la kuua kwa kukusudia kinyume na kifungu cha 196(angalia chini) yaani Murder sect 196.


Ukiangalia kwa umakini Lulu ataachiwa kwani ingredients za hicho kifungu haziwezi kuthibitishwa kamwe. Ila kuna kaushahidi kiduchu kuhusu kuua bila kukusudia kinyume na kifungu cha 195(angalia chini) yaani Manslaughter sect 195. Sasa kama wakili makini mwisho wa ushahidi anaweza kuieleza mahakama kwamba ushahidi uliopatikana hauthibitisha kosa analoshitakiwa nalo, natoa ufafanuzi yaani ukiangalia wamekusanya ushahidi wa kuua bila kukusudia lakini wanamshitaki kwa kosa la kuua kwa kukusudia. Na mheshimiwa huwa anaangalia kama evidence ina comply na charge zikitofautia inapigwa chini. Kwa bahati nzuri au mbaya hivi vifungu huwezi kuviweka pamoja lazima uchague kimoja ndio uweke kwenye charge sheet (hati ya mashitaka) kwa sababu kila kosa lina adhabu tofauti. (Sect 197 and 198), na uzuri wa mahakamani wanaangalia ushahidi unaotolewa unathibitisha kosa tajwa katika hati ya mashitaka na sio ushahidi unaotolewa ni wa kosa gani.


Hivyo basi hiyo nayo ni possible defence.
Ni bora hata wangeweka kosa la kuua kwa kuchokozwa kinyume na kifungu cha 201 (Killing on provocation contrary to section 201 of Penal code).


Vile vile kuanguka si lazima usukumwe kwani tumeona Mhs. Rais Jakaya alianguka kwa nyuma Jangwani akiwa anahutubia bila kusukumwa na mtu yeyote. Sasa kwa nini isiwezekane kwa Marehemu Kanumba.Hapa napo ni possible defence ya ripoti ya madaktari ya kuhusiana na ripoti yao ya Brain concussion.


Baada ya hapo tunakuja na defence ya marehemu kujaribu kubaka (attempts rape), ieleweke suala la ubakaji lina pande mbili, moja kubaka(fanya mapenzi) kwa mtu ambaye umri wake mdogo kwa mujibu wa sheria husika, pili kubaka kwa kujaribu au kumwingilia mwanamke yeyote kwa nguvu bila ridhaa yake hapa umri si kigezo, ili kuboresha ushahidi tunampiga na hiki cha pili yaani kinyume na sheria ya kanuni ya adhabu kifungu cha 132 (Penal code chapter 16 contray to Sect 132.)


MURDER AND MANSLAUGHTER (ss 195-205) 195. Manslaughter (1) Any person who by an unlawful act or omission causes the death of another person is guilty of manslaughter. (2) An unlawful omission is an omission amounting to culpable negligence to discharge a duty tending to the preservation of life or health, whether the omission is or is not accompanied by an intention to cause death or bodily harm.


196. Murder Any person who, with malice aforethought, causes the death of another person by an unlawful act or omission is guilty of murder.


197. Punishment for murder A person convicted of murder shall be sentenced to death.


198. Punishment for manslaughter Any person who commits manslaughter is liable to imprisonment for life. 199. Conviction for infanticide in certain cases
Where a woman by any wilful act or omission causes the death of her child, being a child under the age of twelve months, but at the time of the act or omission she had not fully recovered from the effect of giving birth to the child, and for that reason or by reason of the effect of lactation consequent upon the birth of the child the balance of her mind was then disturbed, she shall, notwithstanding that the circumstances were such that but for this section the offence would have amounted to murder, be guilty of infanticide, and may, be dealt with and punished for the offence as if she had been guilty of manslaughter of the child.
200. Malice aforethought Malice aforethought shall be deemed to be established by evidence proving any one nor more of the following circumstances– (a) an intention to cause the death of or to do grievous harm to any person, whether that person is the person actually killed or not; (b) knowledge that the act or omission causing death will probably cause the death of or grievous harm to some person, whether that person is the person actually killed or not, although that knowledge is accompanied by indifference whether death or grievous bodily harm is caused or not, or by a wish that it may not be caused; (c) an intent to commit an offence punishable with a penalty which is graver than imprisonment for three years; (d) an intention by the act or omission to facilitate the flight or escape from custody of any person who has committed or attempted to commit an offence. 201. Killing on provocation When a person who unlawfully kills another under circumstances which, but for the provisions of this section would constitute murder, does the act which causes death in the heat of passion caused by sudden provocation as defined in section 202, and before there is time for his passion to cool, he is guilty of manslaughter only. 202. Provocation defined Ord. No. 16 of 1946 s. 2 (1) The term "provocation" means, except as hereinafter stated, any wrongful act or insult of such a nature as to be likely, when done to an ordinary person, or in the presence of an ordinary person to another person who is under his immediate care, or to whom he stands in a conjugal, parental, filial or fraternal relation, or in the relation of master or servant, to deprive him of the power of self-control and to induce him to commit an assault of the kind which the person charged committed upon the person by whom the act or insult is done or offered. (2) When the unlawful act or insult is done or offered by one person to another, or in the presence of another to a person who is under the immediate care of that other, or to whom the latter stands in any relationship referred to in subsection (1), the former is said to give the latter provocation for an assault. (3) A lawful act is not provocation to any person for an assault. (4) An act which a person does in consequence of incitement given by another person in order to induce him to do the act and thereby to furnish an excuse for committing an assault is not provocation to that other person for an assault. (5) An arrest which is unlawful is not necessarily provocative for an assault, but it may be evidence of provocation to a person who knows of the illegality. (6) For the purposes of this section, the expression "an ordinary person" means an ordinary person of the community to which the accused belongs. 203. Causing death defined A person is deemed to have caused the death of another person, although his act is not the immediate or sole cause of death, in any of the following cases– (a) if he inflicts bodily injury on another person in consequence of which that other person undergoes surgical or medical treatment which causes death; in which case it is immaterial whether the treatment was proper or mistaken if it was employed in good faith and with common knowledge and skill; but the person inflicting the injury is not deemed to have caused the death if the treatment which was its immediate cause was not employed in good faith or was so employed without common knowledge or skill; (b) if he inflicts bodily injury on another which would not have caused death if the injured person had submitted to proper surgical or medical treatment or had observed proper precautions as to his mode of living; (c) if by actual or threatened violence he causes that other person to perform an act which causes the death of that person, the act being a means of avoiding the violence which in the circumstances would appear natural to the person whose death is so caused; (d) if by any act or omission he hastens the death of a person suffering under any disease or injury which, apart from that act or omission, would have caused death; (e) if his act or omission would not have caused death unless it had been accompanied by an act or omission of the person killed or of another person. 204. When child deemed to be a person A child becomes a person capable of being killed when it has completely proceeded in a living state from the body of its mother, whether it has breathed or not, and whether it has an independent circulation or not, and whether the navelstring is severed or not. 205. Limitation as to time of death (1) A person is not deemed to have killed another if the death of that person does not take place within a year and a day of the cause of death. (2) For the purpose of reckoning the period referred to in subsection (1)– (a) the period shall include the day on which the last unlawful act contributing to the cause of death was done; (b) when the cause of death is an omission to observe or perform a duty, the period is reckoned inclusive of the day on which the omission ceased; and (c) when the cause of death is in part an unlawful act and in part an omission to observe or perform a duty, the period is reckoned inclusive of the day on which the last unlawful act was done or the day on which the omission ceased, whichever is the later.
 
Kabla ya kujadili mada hebu tuangalie kwanza sheria zinazohusu tuhuma, sheria ya kanuni za adhabu sura ya 16 ( kifungu cha 195 – 205), The Penal Code chapter 16 (Sect 195-205), nimesikia kwa makini hati ya mashitaka ya Lulu (Charge sheet) inasema anatuhumiwa na kosa la kuua kwa kukusudia kinyume na kifungu cha 196(angalia chini) yaani Murder sect 196.


Ukiangalia kwa umakini Lulu ataachiwa kwani ingredients za hicho kifungu haziwezi kuthibitishwa kamwe. Ila kuna kaushahidi kiduchu kuhusu kuua bila kukusudia kinyume na kifungu cha 195(angalia chini) yaani Manslaughter sect 195.


Sasa kama wakili makini mwisho wa ushahidi anaweza kuieleza mahakama kwamba ushahidi uliopatikana hauthibitisha kosa analoshitakiwa nalo, natoa ufafanuzi yaani ukiangalia wamekusanya ushahidi wa kuua bila kukusudia lakini wanamshitaki kwa kosa la kuua kwa kukusudia. Na mheshimiwa huwa anaangalia kama evidence ina comply na charge zikitofautia inapigwa chini. Kwa bahati nzuri au mbaya hivi vifungu huwezi kuviweka pamoja lazima uchague kimoja ndio uweke kwenye charge sheet (hati ya mashitaka) kwa sababu kila kosa lina adhabu tofauti. (Sect 197 and 198), na uzuri wa mahakamani wanaangalia ushahidi unaotolewa unathibitisha kosa tajwa katika hati ya mashitaka na sio ushahidi unaotolewa ni wa kosa gani.


Hivyo basi hiyo nayo ni possible defence.


Ni bora hata wangeweka kosa la kuua kwa kuchokozwa kinyume na kifungu cha 201 (Killing on provocation contrary to section 201 of Penal code).


Vile vile kuanguka si lazima usukumwe kwani tumeona Mhs. Rais Jakaya alianguka kwa nyuma Jangwani akiwa anahutubia bila kusukumwa na mtu yeyote. Sasa kwa nini isiwezekane kwa Marehemu Kanumba.Hapa napo ni possible defence ya ripoti ya madaktari ya kuhusiana na ripoti yao ya Brain concussion.


Baada ya hapo tunakuja na defence ya marehemu kujaribu kubaka (attempts rape), ieleweke suala la ubakaji lina pande mbili, moja kubaka(fanya mapenzi) kwa mtu ambaye umri wake mdogo kwa mujibu wa sheria husika, pili kubaka kwa kujaribu au kumwingilia mwanamke yeyote kwa nguvu bila ridhaa yake hapa umri si kigezo, ili kuboresha ushahidi tunampiga na hiki cha pili yaani kinyume na sheria ya kanuni ya adhabu kifungu cha 132 (Penal code chapter 16 contray to Sect 132.)


MURDER AND MANSLAUGHTER (ss 195-205) 195. Manslaughter (1) Any person who by an unlawful act or omission causes the death of another person is guilty of manslaughter.
(2) An unlawful omission is an omission amounting to culpable negligence to discharge a duty tending to the preservation of life or health, whether the omission is or is not accompanied by an intention to cause death or bodily harm.


196. Murder Any person who, with malice aforethought, causes the death of another person by an unlawful act or omission is guilty of murder.


197. Punishment for murder A person convicted of murder shall be sentenced to death.


198. Punishment for manslaughter Any person who commits manslaughter is liable to imprisonment for life.


199. Conviction for infanticide in certain cases Where a woman by any wilful act or omission causes the death of her child, being a child under the age of twelve months, but at the time of the act or omission she had not fully recovered from the effect of giving birth to the child, and for that reason or by reason of the effect of lactation consequent upon the birth of the child the balance of her mind was then disturbed, she shall, notwithstanding that the circumstances were such that but for this section the offence would have amounted to murder, be guilty of infanticide, and may, be dealt with and punished for the offence as if she had been guilty of manslaughter of the child.


200. Malice aforethought Malice aforethought shall be deemed to be established by evidence proving any one nor more of the following circumstances– (a) an intention to cause the death of or to do grievous harm to any person, whether that person is the person actually killed or not; (b) knowledge that the act or omission causing death will probably cause the death of or grievous harm to some person, whether that person is the person actually killed or not, although that knowledge is accompanied by indifference whether death or grievous bodily harm is caused or not, or by a wish that it may not be caused; (c) an intent to commit an offence punishable with a penalty which is graver than imprisonment for three years; (d) an intention by the act or omission to facilitate the flight or escape from custody of any person who has committed or attempted to commit an offence. 201. Killing on provocation When a person who unlawfully kills another under circumstances which, but for the provisions of this section would constitute murder, does the act which causes death in the heat of passion caused by sudden provocation as defined in section 202, and before there is time for his passion to cool, he is guilty of manslaughter only. 202. Provocation defined Ord. No. 16 of 1946 s. 2 (1) The term "provocation" means, except as hereinafter stated, any wrongful act or insult of such a nature as to be likely, when done to an ordinary person, or in the presence of an ordinary person to another person who is under his immediate care, or to whom he stands in a conjugal, parental, filial or fraternal relation, or in the relation of master or servant, to deprive him of the power of self-control and to induce him to commit an assault of the kind which the person charged committed upon the person by whom the act or insult is done or offered. (2) When the unlawful act or insult is done or offered by one person to another, or in the presence of another to a person who is under the immediate care of that other, or to whom the latter stands in any relationship referred to in subsection (1), the former is said to give the latter provocation for an assault. (3) A lawful act is not provocation to any person for an assault. (4) An act which a person does in consequence of incitement given by another person in order to induce him to do the act and thereby to furnish an excuse for committing an assault is not provocation to that other person for an assault. (5) An arrest which is unlawful is not necessarily provocative for an assault, but it may be evidence of provocation to a person who knows of the illegality. (6) For the purposes of this section, the expression "an ordinary person" means an ordinary person of the community to which the accused belongs. 203. Causing death defined A person is deemed to have caused the death of another person, although his act is not the immediate or sole cause of death, in any of the following cases– (a) if he inflicts bodily injury on another person in consequence of which that other person undergoes surgical or medical treatment which causes death; in which case it is immaterial whether the treatment was proper or mistaken if it was employed in good faith and with common knowledge and skill; but the person inflicting the injury is not deemed to have caused the death if the treatment which was its immediate cause was not employed in good faith or was so employed without common knowledge or skill; (b) if he inflicts bodily injury on another which would not have caused death if the injured person had submitted to proper surgical or medical treatment or had observed proper precautions as to his mode of living; (c) if by actual or threatened violence he causes that other person to perform an act which causes the death of that person, the act being a means of avoiding the violence which in the circumstances would appear natural to the person whose death is so caused; (d) if by any act or omission he hastens the death of a person suffering under any disease or injury which, apart from that act or omission, would have caused death; (e) if his act or omission would not have caused death unless it had been accompanied by an act or omission of the person killed or of another person.
 
LAKINI KWA HILI NI RAHISI TU kuhakiki, maana kuna Birth certificate, unless kama inawezekana kufoji cheti hicho kwa kupunguza umri!

Hakuna kinachoshindikana tia mguu vizazi na vifo, sitashangaa nikisikia death certificate inatoka bila marehemu :embarrassed1:
 
hoja zako zinanisaidia kuthibitisha ya kuwa DPP ni bomu.......ilkuwaje amkamate Lulu wakati kumbe hata post-mortem ripoti haijakamilka, kumbe kuna hata mawasiliano ya simu hayajulikani yanasema nini na taarifa ya mkema mkuu haijulikani? Sasa DPP akiwa hana vielelezo hivi alifikiaje kumtia nguvuni masikini mtoto wa watu na kumfungulia makosa ya jinai wakati hana hata chembe ya ushahidi?

kwa khali hii hata wewe DPP anaweza sasa hivi kukutia ndani na kukufungulia kesi ya hii ya mauaji kwa madai anasubiria vielelezo muhimu kutoka kampuni ya simu, post-mortem report na ripoti ya mkemia mkuu...............Am very sad with the way this nation is heading..................yaani haki za raia zinachezewa kama za kuku ambaye uhai wake na uhuru wake uko mikononi mwa mbabaishaji yoyote yule kama huyu DPP............

ni vyema tiukaanza kuangalia haki za mtuhumiwa..........2day it Lulu 2morrow could be you.....................na kwa bahati mbaya hutakuwa unahushishwa na mauaji ya celebrity or a self-proclaimed number one Bongo movie superstar like mwendazake.............
Kati yenu wote hamna hata mmoja anayejua LULU alitoa maelezo gani kuhusu kesi inayomkabili,vile vile hatuelewi ushahidi wa awali unaviashiria gani ambavyo DPP atakua anavyo na ndiyo vilivyopelekea aamue kesi itajwe.Kwahiyo si sahihi kusema DPP ni bomu au Lulu hana kesi ya kujibu hadi pale tutakapokuwa na vielelezo vyote.
 
Kabla ya kujadili mada hebu tuangalie kwanza sheria zinazohusu tuhuma, sheria ya kanuni za adhabu sura ya 16 ( kifungu cha 195 – 205), The Penal Code chapter 16 (Sect 195-205), nimesikia kwa makini hati ya mashitaka ya Lulu (Charge sheet) inasema anatuhumiwa na kosa la kuua kwa kukusudia kinyume na kifungu cha 196(angalia chini) yaani Murder sect 196.

If what you are saying is true then I think she is being overcharged and it will be a tall order for the prosecution to prove their case beyond a reasonable doubt.
 
Kati yenu wote hamna hata mmoja anayejua LULU alitoa maelezo gani kuhusu kesi inayomkabili,vile vile hatuelewi ushahidi wa awali unaviashiria gani ambavyo DPP atakua anavyo na ndiyo vilivyopelekea aamue kesi itajwe.Kwahiyo si sahihi kusema DPP ni bomu au Lulu hana kesi ya kujibu hadi pale tutakapokuwa na vielelezo vyote.

hatuhitaji kujua Lulu kasema nini au DPP ana vielezo vipi............tunachohitaji kutathmini ni je sheria zinafuatwa na wahusika hususani DPP? Mpaka sasa tunaona hafuati sheria na anafanyakazi zake kwa mashinikizo ya aidha waliompa ugali au mob justice............
 
If what you are saying is true then I think she is being overcharged and it will be a tall order for the prosecution to prove their case beyond a reasonable doubt.

DPP has to prove beyond reasonable doubt a murder took place to begin with.............
 
Hakuna kinachoshindikana tia mguu vizazi na vifo, sitashangaa nikisikia death certificate inatoka bila marehemu :embarrassed1:

In TZ everything is possible even charging someone of murder where none exist...........DPP can easily concoct a murder cas where it is just a natural death nudged by abuse of prescription drugs...........and alcoholic tendencies
 
ni kweli mbumbumbu wengi wa shule tumewasukumia polisi hata mwanang u mmoja alikuwa shule ni kafupi infact mtoto wa baba mdogo wenzake walifanya fujo wakaenda kukamatwa walipofika kwake wakamuuliza hata wewe unafanya na ufupi wako unahisi utaishia langapi akasema la saba akaulizwa na polisi alafu uwe na nani na elimu yako
akasema nataka niwe polisi baada ya la saba huyu ni mtoto anajua kule wamejaa..........

hahah..case yako inanikumbusha hadithi ya mkufunzi mkuu CCP moshi, afande Nasser Mwakambonja...huyu bwana wakati ameingia jeshini aliingia na form six div 2...posting yake sikumbuki ilikuwa mkoa gani. Ila anasimulia katika rotations za malindo, siku moja alipangwa kwa RPC nyumbani..asubuhi mtoto wa RPC akawa anagoma kwenda shule. Ndipo mama yake akamwambia "Usipoenda shule, utaishia kuwa kama yule pale getini!"SMH...ts funny somehow but sad! sasa hivi ni specialist anayetafutwa on disaster management lectures..nationally n internationally!
hakufurahishwa na hilo na ni sawa na mfano wako..ndiyo hapo zamani kidogo standard seven walikuwa wengi jeshini..ila sasa hivi niambie ni nani aliyeingi jeshini akiwa na level hiyo ya elimu! just tell me.
Na pia ni kweli kwamba wengi wa wanaochukuliwa huko ni wa lower levels za pass...ila ukweli (ambao hata wewe unaujua), sio kweli kwamba kufeli mtihani ndiyo kufeli maisha au kushindwa kumake decisions in life.
Si kweli kwamba hao wote basi, ndio wanaofanya decision making in the police force.
My point is, si kwamba nawapenda saaana polisi NO..mimi personally am not a favourite of the police force! Ila ninachopinga ni kuudanganya umma na generalizations. Mtaje mtu kama mtu kwa kosa alilotenda na sio kuwataja wote.
Pili, even with the dislike we have of the police force, basi iswe sababu ya kuenza majungu juu ya jeshi letu kwani kama unafuatilia mabo ya usalama wa raia, afande Mwema anajitahidi mno kuboresha jeshi hili. tatizo lililopo (na linaloonekana hata kwa taasisi nyingine za serikali) ni uhaba wa rasilimali fedha...
Let us BE great thinkers...andika cooment yenye ukweli isiyo na bias na inayoelmisha..hata kama unayemwongelea/unachokiongelea wewe binafsi hukipendi au kilishawahi kukutendea jambo usilolipenda!
 
Umri wa Lulu waibua mvutano kortini

[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: contentheading, width: 100%"]Umri wa Lulu waibua mvutano kortini [/TD]
[TD="class: buttonheading, width: 100%, align: right"] Send to a friend [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: createdate"] Monday, 07 May 2012 22:04 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] 0digg

000000antluluuuu.jpg
Msanii wa filamu, Elizabeth Michael maarufu kama Lulu anayekabiliwa na mashtaka ya mauaji ya msanii mwenzake, Steven Kanumba akiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam jana, chini ya ulinzi mkali wa askari Magereza. Picha na Venance Nestory

Nora Damian
UMRI wa msanii wa filamu, Elizabeth Michael maarufu kama Lulu anayekabiliwa na mashtaka ya mauaji ya msanii mwenzake, Steven Kanumba jana ulizua utata katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, baada ya mawakili wanaomtetea kutaka kesi hiyo iondolewe mahakamani hapo ili akashtakiwe kwenye Mahakama ya Watoto.

Kesi hiyo ilitajwa jana huku mawakili wanaomtetea wakiongozwa na Keneth Fungamtama, wakiwasilisha maombi kuhusu suala hilo la umri wa mteja wao wakitaka asishtakiwe mahakamani hapo kama ilivyo sasa. Fungamtama ambaye alikuwa akisaidiana na Mawakili Peter Kibatala na Fulgence Masawe, alidai mahakamani hapo kuwa mshtakiwa huyo ana umri wa miaka 17 hivyo, kesi yake ilipaswa kusikilizwa katika Mahakama ya Watoto. "Mshtakiwa ana umri wa miaka 17 na tuna uthibitisho wa cheti cha kuzaliwa ambacho kinaonyesha mahali na tarehe aliyozaliwa mshtakiwa," alidai Fungamtama.

Fungamtama alisema Kifungu cha 4 cha Sheria ya Mtoto ya mwaka 2009 Kipengele namba 21, kinatamka wazi kuwa mtoto ni yule aliye na umri chini ya miaka 18. Wakili huyo aliendelea kunukuu vifungu mbalimbali vya Sheria ya Mtoto kama 98 (i) na 114 (ii), ambavyo alidai kuwa vyote vinawapa nguvu ya kuwasilisha maombi yao hayo ya kuihamisha kesi hiyo. "Hata katika suala la Mahakama, vifungu vyote vya sheria hii vimefafanua, hivyo tunawasilisha maombi yetu kwamba mteja wetu ana umri wa miaka 17 na shauri hili lingepaswa kusikilizwa Mahakama ya Watoto," alidai.

Kwa upande wake, Wakili wa Serikali, Elizabeth Kaganda aliomba wapewe muda zaidi kwa sababu bado wanaendelea na upelelezi wa kesi hiyo. "Kesi hii imekuja mahakamani hapa kama ya mauaji na upelelezi bado haujakamilika. Tunaposema haujakamilika, tunapeleleza kila kitu, likiwamo suala la umri," alieleza Kaganda. Alisema hata jina linaloonekana katika cheti cha kuzaliwa kilichowasilishwa mahakamani hapo, linasomeka Diana Elizabeth wakati mshtakiwa ametajwa mahakamani hapo, kwa jina la Elizabeth Michael. "Tunaomba muda tuweze kuchunguza kuhusu umri wa mshtakiwa kwa sababu aliwaeleza polisi kwamba ana umri wa miaka 18 halafu mawakili wake wanakuja kueleza hapa mahakamani kwamba ana umri wa miaka 17," alidai Kaganda. Wakili huyo wa Serikali alidai kuwa kutokana na mvuto wa kesi hiyo katika jamii, wanaomba wapewe muda zaidi kufanya upelelezi ili kumtendea haki mshtakiwa huyo.

Kuhusu cheti hicho kusomeka Diana Elizabeth, Wakili Fungamtama alikiri na kudai kuwa ni jambo la kawaida hasa kwa Wakristo kuwa na majina mawili. Fungamtama alidai kuwa hawana pingamizi na maombi ya upande wa mashtaka kwamba wapewe muda zaidi wa kufuatilia cheti cha kuzaliwa cha mshtakiwa, ingawa alidai kuwa suala hilo halina ugumu. Akitoa uamuzi baada ya kusikiliza hoja za pande zote, Hakimu Mkazi Augustina Mbando alisema: "Mahakama imesikiliza maombi yaliyoletwa na Fungamtama na Kaganda na imeona kesi iliyopo hapa ni ya mauaji na jinsi kesi hii ilivyo, hatuwezi kufanya hoja yoyote hadi upelelezi utakapokamilika."

"Kama defence (upande wa utetezi) wana maombi yoyote wanaweza kufanya hivyo kupitia Mahakama Kuu,"
Kesi hiyo imeahirishwa hadi Mei 21, mwaka huu itakapotajwa tena. Inadaiwa kuwa Aprili 7, mwaka huu katika eneo la Sinza Vatican, Dar es Salaam msanii huyo wa kike, alimuua Kanumba. Jana Lulu alifikishwa mahakamani hapo saa 2:50 asubuhi akiwa peke yake kwenye gari linalobeba mahabusu, huku akisindikizwa na magari mengine mawili.

Alipoingia mahakamani alikuwa amezingirwa na askari Magereza na Polisi zaidi ya 10 na kuufanya umati mkubwa wa watu uliofurika mahakamani hapo kushindwa kumwona. Miongoni mwa watu waliofika mahakamani hapo jana ni baba mzazi wa msanii huyo, Michael Kimemeta na ndugu zake wengine kadhaa.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

 
Back
Top Bottom