Utetezi wa Sabaya: Amwangushia zigo Hayati Magufuli na kudai Gavana Luoga na Makamu wa Rais Dkt. Mpango walifahamu

Unadhani kwanini amewataja kama anajua watamruka?
Utamzuiaje jambazi, kwani wanajua angeenda kuvamia duka saa ngapi? Kama alitumwa kwanini hakwenda na polisi hata moja? Mambo ya kuhusika na dolar black market hayana mamlaka husika hadi Mkuu wa Wilaya tena Wilaya ya Mkoa mwingine aingilie kati? Jambazi hajawahi kusafishika bwashe!
 
Yeye ndiyo akili zimemkaa sawa huko alikitangulia . Huwezi kujiona wewe ndiyo wewe dunia hii ya Mungu. Yako wapi sasa kawaachia watu wanatumbua .

Huwezi kupora mchakato wote as if umeongea na Mungu. Kwisha habari yake
Kifo ni haki ya kila mtu, hata ambao wameporwa ulaji 2020 kwa huzuni.

Kama ni Mungu alimuondoa JPM kwa ajili yenu, kisha akamleta Samia, basi huyu ni mungu wa mizuka.
 
soma hii rafiki


Kama prove ipo Mzee usifikili angefanya yale Bila ruhusa ya wakubwa wake
Burden of Proof...c&p

On which party has the burden to prove allegations in a complaint before the Office of the Ombudsman, the Court has ruled:​
The basic rule is that mere allegation is not evidence and is not equivalent to proof. Charges based on mere suspicion and speculation likewise cannot be given credence. When the complainant relies on mere conjectures and suppositions, and fails to substantiate his allegations, the complaint must be dismissed for lack of merit
 
Kwa maana nyingine amekiri kuhusika na hivyo asubiri kungininizwa tu. Hakuna mahakamanya kipumbavu ya kusikia mere stories za kuwasingizia rais au wengineo bila written proofs.

Angekuwa na akiri angejiuzuru baada ya kutumwa kinyume na scope yake
 
Sabaya anaeleza kuwa katika zoezi hilo alikuwa msimamizi mkuu ambapo Hata Gavana wa Fedha Prof Florian Luoga pamoja na aliye kuwa waziri wa Fedha hapa Nchini Dkt Philp Mpango ambaye kwasasa ndiye Makamu wa Rais wanalijua.
Wanaelewa kuwa alikwenda na mabunduki na majambazi yasiyo polisi kufanya "uhalifu"? Walimuingiza mkenge.... is no defence
 
*Lengai Ole Sabaya-'LOS' must be the best, intelligent and bright government servant who confidently complied instructions from the appointing authority with consistency. He always was successful in all assignments. At this stage and witness defense statements assessment, the then Arusha DC, governor of the central bank, and the then finance and planning minister must be summoned in the court of law to complement the substance of facts.
 
mere stories za kuwasingizia rais au wengineo bila written proofs.
Umeongea vema in line with the law

Burden of Proof

On which party has the burden to prove allegations in a complaint before the Office of the Ombudsman, the Court has ruled:


The basic rule is that mere allegation is not evidence and is not equivalent to proof. Charges based on mere suspicion and speculation likewise cannot be given credence. When the complainant relies on mere conjectures and suppositions, and fails to substantiate his allegations, the complaint must be dismissed for lack of merit​
 
Anasafishwa tu hapo...

Mama anatimiza tu kilichoachwa na ..kiumbe...

Kesi ishazimuliwa na kuwa nyepesi....
Wepesi kisa kamtaja marehemu?
Hivi mpango na gavana walikosa njia ya kumfikia huyo mwenye duka wakaona mtu pekee ni Sabaya?

Ingalikua hivyo Mpango kwa wadhifa wake wa sasa asingalishindwa kuzuia hii kashfa dhidi yake
 
Ni JURISDICTION wewe mwehu. Waambie Lumumba wawapeleke hata kwa ras simba.
 
I
hahah huyu jambazi anajidanganya kuwa akimtaja marehemu Pombe ndiyo atapata unafuu.
H Hahaha zakuambiwa changanya nazako sabay unafanya kosa unasingizia fulani alikutuma hakuna sheria ya hivyo hapa dunian pambana na hali yako
 
Duh!! Mungu anamuona lakini!

Amejitetea kiume sana

Makamu wa Rais Dr Mpango na DC mstaafu Dr Kihongosi watakuwa mashahidi wake muhimu kama katiba inaruhusu.

Rais mstaafu Mkapa aliwahi kupanda kizimbani kumtetea Prof Mahalu pale Kisutu!
Magufuli was a big problem in this country!
 
Nani atakubali kuja?
 
Wewe kweli akili yako umeshikiwa. Yani sabaya hana kosa? Na hapo ni kesi ya Shahid Stores tu bado hizo kesi za ubakaji, bado kesi za huko Kilimanjaro. .

Huyo mtu ana kesi nyingi na uovu mwingi sana mpaka shetani mwenyewe analaani.
 
Du hii hatari ndomaana alikuwa anajiamini kupita kiasi? Kumbe alikuwa mkuu wa operation maalumu alikuwa na majukumu zaidi ya ukuu wa wilaya tuliodhani ndo kazi yake.
Sasa hivi tuko katika hatari kubwa kwa sababu serikali haiwezi kutulinda tena kwani uharamia unafanywa na yenyewe!
 
Wewe kweli akili yako umeshikiwa. Yani sabaya hana kosa? Na hapo ni kesi ya Shahid Stores tu bado hizo kesi za ubakaji, bado kesi za huko Kilimanjaro. .

Huyo mtu ana kesi nyingi na uovu mwingi sana mpaka shetani mwenyewe analaani.
Duh!
ana lingana na Gaidi namba 1?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…