Utetezi wa Sabaya: Amwangushia zigo Hayati Magufuli na kudai Gavana Luoga na Makamu wa Rais Dkt. Mpango walifahamu

Wepesi kisa kamtaja marehemu?
Hivi mpango na gavana walikosa njia ya kumfikia huyo mwenye duka wakaona mtu pekee ni Sabaya?

Ingalikua hivyo Mpango kwa wadhifa wake wa sasa asingalishindwa kuzuia hii kashfa dhidi yake
Haya mambo yako wazi Ipo video Gavana Akimsifia Kijana kwa kazi nzuri ya pesa bandia Tafuta utaipata
 
Huyu ndio mtu alitaka kazi ya undercover? Undercover gani ana blow mission???[emoji23][emoji23][emoji23]
 

c&p​

What to do when your boss asks you to do something unethical or illegal​

"It can feel like a lose-lose — but you should never comply with an illegal request."

"Most of all, know that your self-protection is paramount," Taylor explains. "Misdeeds, ....., illegal hiring and .... can plague you for a lifetime if you decide to engage — professionally, morally, and in extreme cases, legally."

Again, if you think (or know) the request is illegal, do not comply.
 
Hamna kesi hapo ni watu wanaenda mahakaman kusubiria siku ya mashtaka kufutwa
 
Serikali iliyopo madarakani inaundwa na wale wale wa enzi ya JPM, hao nao wana la kujibu, hasa Samia na Mpango waitwe mahakamani wakakanushe ama wakili tuhuma hizo
 

c&p​

What to do when your boss asks you to do something unethical or illegal​

"It can feel like a lose-lose — but you should never comply with an illegal request."

"Most of all, know that your self-protection is paramount," Taylor explains. "Misdeeds, ....., illegal hiring and .... can plague you for a lifetime if you decide to engage — professionally, morally, and in extreme cases, legally."

Again, if you think (or know) the request is illegal, do not comply.
 
I
H
Hahaha zakuambiwa changanya nazako sabay unafanya kosa unasingizia fulani alikutuma hakuna sheria ya hivyo hapa dunian pambana na hali yako

What to do when your boss asks you to do something unethical or illegal​

"It can feel like a lose-lose — but you should never comply with an illegal request."

"Most of all, know that your self-protection is paramount," Taylor explains. "Misdeeds, ....., illegal hiring and .... can plague you for a lifetime if you decide to engage — professionally, morally, and in extreme cases, legally."

Again, if you think (or know) the request is illegal, do not comply.
 
Kwa jicho la mtaani, utaona hivyo lakini kwa jicho la kisheria hakuna kichaka kama hicho!!yaani kiongozi wako akupe maelekezo ya kutenda jinai, utende eti badaye uje useme nilikuwa natekeleza maagizo?!!waulize polisi, wanajeshi huwa kinawakuta nini pale wanapokengeuka eti kwa kutii maaelekezo, ya wakuu wao!!!bora hata ingekuwa ni kwenye matumizi mabaya ya pesa ya umma, akawa na ushahidi wa mkubwa wake?!!
Kwa hiyo leo hii IGP, akimwambia askari wa chini piga risasi huyo, na kweli akampiga, huyo askari hatakuwa na kesi??
 
Kama haijatajwa hii kwenye post zilizopita naomba nitaje:
Kwa mtu wa serikali kucommit crime na baadaye kujitetea kwamba walikuwa wanafuata orders za wakubwa zake haukubaliki kisheria.
Refer to Nuremberg trials of NAZI war criminals (majenerali wa Hitler) after WW2.
Utetezi wao kwamba walifuata orders za Hitler ulikataliwa na wakanyongwa.
 
Kwa hi
 
Kwanini wasimfunge tu kwanza miaka 10 halafu kesi ndio ianze kusikilizwa
 
Mpaka hapo Lengai amekiri kuwa alivamia dukani kwa watu nje ya eneo lake la utawala, kuhusu utetezi wake kuwa katumwa na mamlaka ya uteuzi ni wajibu hao waliotajwa kukanusha au kukiri ili nao wajifunue hadharani
 
Kwa hiyo Anna Mgwira aliyekuwa RC Kilimanjaro ndiye alikuwa na jurisdiction Arusha?
Kuna kitu kinaitwa protocol huwezi toka nje ya ur jurisdiction area bila ruksa ya mkubwa wako yeye ndio anatakiwa kutoa kibali ili upokelewe huko vingine vyote ni uhuni tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…