Utetezi wa Sabaya: Amwangushia zigo Hayati Magufuli na kudai Gavana Luoga na Makamu wa Rais Dkt. Mpango walifahamu

Huyu afunguliwe shtaka la ugaidi. Anataka kumchafua shujaa wetu
 
Kwahiyo UMEAMINI kwamba tulivyokuwa tunasema kwamba JIWE alikuwa anapora wafanyabiashara FEDHA? Si umeona JAMBAZI sabaya amesema ukweli mahakamani kwamba alitumwa na mamlaka ya UTEUZI? Haya tusisikie unamtetea tena JIWE.
Jiwe simjui kwa kesi hii mporaji Ni Sabaya sio Jiwe nisiemjua Ni sawa na kusema Chadema chama Cha Magaidi wakati gaidi Ni Mbowe
 

Kadanganywa na yule wa bukoba kisa cha mungu kuwa shaidi
 



Utetezi wa kijanga sana. Hivi aliapa kwa katiba au aliapa kuwa chawa!
 
Duh!! Mungu anamuona lakini!

Amejitetea kiume sana

Makamu wa Rais Dr Mpango na DC mstaafu Dr Kihongosi watakuwa mashahidi wake muhimu kama katiba inaruhusu.

Rais mstaafu Mkapa aliwahi kupanda kizimbani kumtetea Prof Mahalu pale Kisutu!
Kiume gani?. Ni vile tu ni kwa nchi kama hii sheria zinapindishwa tu kwa maslahi ya watu fulani fulani. Lakini kiuhalisia ukiwa na akili timamu huwezi kutumwa tu hata iwe na mkuu wako wa kazi kufanya kazi ya kupora watu,kunyang'anya na kupiga na kutishia siraha au kufanya vitendo vyovyote vya uharifu na wewe ukakubali. Vinginevyo ukatae na ujiuzuru. Ona kama sasa hata kama umetumwa lakini mahakamani unasimama na kujibu wewe kama wewe ulietenda
 
Kuweka kumbukumbu sawa Marehemu Mzee Pombe hakumpigia simu Sabaya na kumuambia eti aende Dar kufanya kazi maalum ya kusaka mtambo wa kuchapisha pesa feki, ni polisi wa Hai walikamata pesa feki hapo Hai wakamtaarifu Sabaya wakawabana watuhumiwa na kusafiri nao kwenda Dar mpaka wakaonyesha mtambo wao wa kuchapisha pesa bandia.

In short Sabaya jambo lolote linalohusu PESA liwe la halali au haramu ilikua lazima atahakikisha anashiriki kwenda phisical eneo husika hata kama sio eneo lake la kazi au hata kama ni jukumu la taasisi nyingine.
 
Ukipitia hukumu ya Zombe ( RPC mstaafu) kwenye ile kesi ya wale jamaa wa madini utagundua Sabaya ana nafasi kubwa ya kuachiwa huru!
 
Kwanini alikuwa hakamatwi?
 
Ngoja gavana wa Bot Luoga apande kizimbani kumtetea!
Kumbuka utetezi wa Luoga na Philip Mpango ambao anautaja Sabaya ni kuhusu yeye kushiriki kusaka na kukamata mtambo wa kuchapisha pesa bandai baada ya kuwakamata wahalifu waliokua wakiuza pesa bandia huko Hai.

Amewataja hao kina Luoga na Mpango akiamini anatengeneza uhalali kuwa yeye ni kawaida kufanya kazi za kipolisi nje ya wilaya yake 🤣

Haihusiani na hii ya kuvamia duka la muarabu, Sabaya anawachanganyia maneno.
 
Kwani Yeye ni robot, si alifanya akiwa na akili timamu, au alikua kichaa ,sabaya ACHA utetezi wa Kishamba, ilikua wazi kuamua au kuachia kazi ,uzuri ulishafutwa, na wengine watafuta kufutwa
 
Katika uliokuwa utawala wa Magufuli, hili la kumwagiza DC wa Hai - Kilimanjaro kwenda kufanya special operation nje ya eneo lake la utawala kwa maana ya wilaya na mkoa mwingine bila kiongozi wa eneo hilo la kiutawala kwa maana ya DC au RC kujua, inawezekana lilifanyika maana Tanzania ya wakati huo na ya sasa ni kama Banana Republic....

Mimi nadhani kwa kutoa utetezi huo, basi awe na ushahidi wa vielelezo vya kutosha kuufanya ukubalike. Na pia aweje kujibu cross examination questions kwa ufasaha toka kwa mawakili wa upande wa mashtaka...

Hata hivyo, kwa kutumia common sense tu, mtu anaweza kugundua kuwa huyu bwana kuna uwezekano mkubwa anadanganya tu kwa kumtumia marehemu kama ngao yake. Na ni wazi kuwa aliupata u - DC kimakosa...!!
 
Duh!! Mungu anamuona lakini!

Amejitetea kiume sana

Makamu wa Rais Dr Mpango na DC mstaafu Dr Kihongosi watakuwa mashahidi wake muhimu kama katiba inaruhusu.

Rais mstaafu Mkapa aliwahi kupanda kizimbani kumtetea Prof Mahalu pale Kisutu!
Kihongosi naye ni dr.?
Au ili mradi awe mwanaccm?!!
 
Nani atathibitisha kama alitumwa na Magufuli , halafu ukitumwa kufanya ujambazi ndio hufungwi jela ?

Huyu kijana tulimuonya mara nyingi mno ! lakini akatupuuza akidhani kwamba jiwe litaishi milele , Kiko wapi sasa ?
Huu muda utumie vizuri kumtetea mwenyekiti wenu bado yupo nyuma ya nondo kwa kesi ya ugaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…