Utetezi wa Sabaya: Amwangushia zigo Hayati Magufuli na kudai Gavana Luoga na Makamu wa Rais Dkt. Mpango walifahamu

Ingekua China huko kaburi la mwendazake lingefukuliwa leo leo
 
Ukitumwa ndiyo uwatishe watu kwa bunduki ilhali we siyo askari ?!.

Mungu ni fundi amewanusuru WaTz na utawala wa mkono wa chuma.

Odhis *
 
Wakili anae endesha kesi ya sabaya ana uwezo mdogo sanaa kisheria, yaan mpaka hapo kamtia hatiani mteja wake. Rasmi sabaya hachomoki sababu wakili uwezo mdogo. Hoja ilitakiwa Sabaya kuwapiga wale au kuiba vitu pale na uwezekano wa kutokuwepo kwenye eneo husika.
 

..Magufuli angekuwepo Sabaya asingeshtakiwa.

..Sidhani kama Mama Mghwira angekuwepo angemtetea Sabaya.

..Na hata angemtetea ushahidi wake ungekuwa hauna nguvu.

..Wanaotakiwa kumtetea Sabaya, na utetezi wao ukawa na nguvu, ni viongozi wa serikali na polisi wa mkoa wa Arusha.

..Tatizo lipo hapa: mtu anaweza kuwa ametumwa na mamlaka halali, ila ktk utekelezaji akavunja sheria. Kwa mfano, utetezi wa Sabaya kupiga watu ni nini?

..Pia wakati Sabaya anahojiwa hakusema kwamba alikuwa ametumwa na Raisi Magufuli? Kwanini polisi na DPP wamepuuza utetezi huo na kuamua kumshtaki Sabaya?

NB:

..Mramba na Yona walikuwa na ushahidi wa nyaraka za serikali kuonyesha kwamba maamuzi yao yalikuwa na baraka za Raisi. Pamoja na utetezi huo mahakama iliwakuta na hatia.
 
kijana sabaya anatuponza vijana tusipewe mamlaka kwa nchi yetu pendwa malawi ya kaskazini. πŸ˜†πŸ˜†
 
Ukitumwa ndiyo uwatishe watu kwa bunduki ilhali we siyo askari ?!.

Mungu ni fundi amewanusuru WaTz na utawala wa mkono wa chuma.

Odhis *
Kwamba saa hii mnajula bata[emoji1][emoji1]

Kamanda umesahau masiha wenu yuko nyavu!!!!
 
Sabaya amethibitisha bila chenga kuwa Magufuli alikuwa jambazi aliyekubuhu!
 
Basi mpango nae afanyiwe mpango

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sabaya anataka kuchoma nyumba

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Tungekuwa tupo nchi zilizo very serious kwa Kutajwa tu huku tena kwa Kesi kama zinazomkabili Ole Sabaya hivi sasa Makamu wa Rais na Gavana walitakiwa wawe wameshajiuzuru.

Ole Sabaya tulimtuhumu, tulimcheka, tulimdharau na hadi kumuombea apatwe na mabaya ila sasa naona anaenda kuwa Shujaa na katika Basketball anaitwa MVP.

Kuna Hatari naiona au Habari mbaya inakuja tena Siku si nyingi katika Masikio yetu. Ole Sabaya ametimiza Ahadi yake alipokuwa Mahakamani kuwa atakuja Kupasua Ukweli wote na asitishwe na Mtu.
 
Kwamba saa hii mnajula bata[emoji1][emoji1]

Kamanda umesahau masiha wenu yuko nyavu!!!!
Kwani kuwa nyavu ni kifo?
Au kuwa nyavu ndio hakuna kutoka?
Mnafurahia udhalimu, ipo siku yenu ya kufi..rwa subirini
 
Moto umewaka , Marehemu hasemwi vibaya.Ila kuna mmoja yupo hai πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Kwani kuwa nyavu ni kifo?
Au kuwa nyavu ndio hakuna kutoka?
Mnafurahia udhalimu, ipo siku yenu ya kufi..rwa subirini
Kufi.rwa kuna wapa watu faida,si unaona mpaka umenunua simu??
 
Sabaya amethibitisha bila chenga kuwa Magufuli alikuwa jambazi aliyekubuhu!
Du hii hatari ndomaana alikuwa anajiamini kupita kiasi? Kumbe alikuwa mkuu wa operation maalumu alikuwa na majukumu zaidi ya ukuu wa wilaya tuliodhani ndo kazi yake.
 
Duh.....Mungu anamuona lakini!

Amejitetea kiume sana

Makamu wa Rais Dr Mpango na DC mstaafu Dr Kihongosi watakuwa mashahidi wake muhimu kama katiba inaruhusu.

Rais mstaafu Mkapa aliwahi kupanda kizimbani kumtetea Prof Mahalu pale Kisutu!
Itabidi sauti ya jiwe ipelekwe mahakamani pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…