Utetezi wa Sabaya: Amwangushia zigo Hayati Magufuli na kudai Gavana Luoga na Makamu wa Rais Dkt. Mpango walifahamu

Anna asingeweza kumtetea maana alishawahi kumsema hadharani ns tabia yake ya kunyanyasa wananchi
 
Huyo dogo ni mshirikina sana.... mganga wake mmasai flani hivi!! Hiyo kesi itaisha kimiujiza labda lile lipete lake lipelekwe kwa baba paroko!
 
Mkuu wa Wilaya ya Arumeru wakati huo kwa sasa ni mtendaji mkuu Uvccm, kwa hiyo mamlaka ya uteuzi kama alivyoiita ilikuwa haimwamini Mwenyekiti wa KUU wilaya husika, Mwenyekiti wa KUU mkoa husika hadi iazime Mwenyekiti wa KUU wilaya nyingine toka mkoa mwingine? Utetezi wa Kindezi kama huu mnaukubali mnaofanana naye akili.
 
Finished before it started..! The guy isn't dumb, he know what he is doing. Implicating some people will be a very great loophole..! Life goes on..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…