Utetezi wa Sabaya: Amwangushia zigo Hayati Magufuli na kudai Gavana Luoga na Makamu wa Rais Dkt. Mpango walifahamu

Utetezi wa Sabaya: Amwangushia zigo Hayati Magufuli na kudai Gavana Luoga na Makamu wa Rais Dkt. Mpango walifahamu

hii kesi haina tofauti na ya Prof. Mahalu naye wakati alipo shitakiwa alidai alitumwa na aliye kuwa Rais wa awamu ya 3 Mkapa, kweli Mkapa walikuja na kumtetea Mahalau na Mahalu aliachiwa huru.
Sabaya hana makosa kama alikuwa anatekeleza maelekezo ya aliye mteua, naamini kama Magufuli angekuwa hai angemtetea Sabaya bila kigugumizi, lkn pia kama Mama Anna Mgwira ange kuwa hai ange mtetea Sabaya bila kigugumizi.
Anna asingeweza kumtetea maana alishawahi kumsema hadharani ns tabia yake ya kunyanyasa wananchi
 
Huyo dogo ni mshirikina sana.... mganga wake mmasai flani hivi!! Hiyo kesi itaisha kimiujiza labda lile lipete lake lipelekwe kwa baba paroko!
 
Je, wana CHADEMA Wenzangu hapa Mitandaoni JamiiForums kwa jinsi huyu aliyekuwa Adui yetu Ole Sabaya sasa anavyoupiga mwingi Kiutetezi kwa Kuwataja Hayati Rais Dkt. Magufuli, Makamu wa Rais Dkt. Mpango na Gavana wa BOT tutabadilika na kuanza Kumpenda na Kumpamba Mitandaoni au tutaendelea tu Kumkazia na watajuana wenyewe kwa wenyewe?
Mkuu wa Wilaya ya Arumeru wakati huo kwa sasa ni mtendaji mkuu Uvccm, kwa hiyo mamlaka ya uteuzi kama alivyoiita ilikuwa haimwamini Mwenyekiti wa KUU wilaya husika, Mwenyekiti wa KUU mkoa husika hadi iazime Mwenyekiti wa KUU wilaya nyingine toka mkoa mwingine? Utetezi wa Kindezi kama huu mnaukubali mnaofanana naye akili.
 
Finished before it started..! The guy isn't dumb, he know what he is doing. Implicating some people will be a very great loophole..! Life goes on..!
 
Back
Top Bottom