Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,436
- 7,955
atamruka kama hamjuikwa lugha nyepesi Sabaya anamtaja Philip Mpango kama shahidi wake 🤣 🤣 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
atamruka kama hamjuikwa lugha nyepesi Sabaya anamtaja Philip Mpango kama shahidi wake 🤣 🤣 🤣
Exactly.....Ole Sabaaya ameshapotoshwa na wanasheria wake,
1) Amri Kutoka Kwa Wakuu Wake (Order From Higher Personnel) sio utetezi wa jinai (Sio Criminal Defence). Ni Heri hata angejitetea alikua amelewa kupita kiasi kwasababu Ulevi (Intoxication) inaweza kutumika kama Criminal Defence.
2) Ushahidi wa kumtaja mtu kwamba amekupa maagizo fulani kisheria unahitaji "CORROBORATION" ya ushahidi wa ziada kutoka kwa huyo mtu alietajwa. Magufuli hawezi kupatikana kwaajili ya kutoa ushahidi wa ziada ku-support na ku-confirm ushahidi wa Ole Sabaaya.
Mh magufuli ameondoka sasa atapewa anachostahili na akipokee kwa mikono miliwili na midomo miwili
Hahahaa, naona mshaanza kubadili gia angani! Huyu lazima ale mvuaJELA MWAKA MMOJA KWA KOSA LA KUFANYA KAZI NJE YA KITUO CHA KAZI BAADA YA HAPO ANAKUWA HURU MWAKA MMOJA NI SAWA NA MIEZI SITA TU
Msimfanye mataga mwenzenu mbuzi wa kafara, enzi za utawala wa jiwe neno lake lilikuwa sheria na sheria ilikuwa neno lake.Mkuu wa wilaya ya Ya Hai anatumwa na Raisi akafanye operation wilaya isio yake ya Arusha? Raisi Hana operative wakuu wa wilaya ya Arusha au mkuu wa mkoa wa Arusha hidden operative wa kufanya hiyo Operation?...
Bado huijui ccm vizuri mkuu,katoe nguo ufue,hata kama ni safi.Hahahaa, naona mshaanza kubadili gia angani! Huyu lazima ale mvua
Mshtakiwa wa kwanza katika kesi ya unyang'anyi wa kitumia silaha na Kupora Mali na fedha ,Lengai ole Sabaya (34)ameiambia mahakama kuwa alitumwa na rais marehemu John Magufuli kuvamia duka la Shaahid Store ili kumkamata Mmiliki wa duka hilo, Mohamed Saad...
Kwa hiyo hao aliowataja ndo wanabadili administrative boundaries wilaya ya hai kufika hadi Arusha na kwingineko na kwamba wamebadili majukumu ya DC kwa ujumla?Kuwataja hao aliowataja unadhani ni jambo dogo!
Hata kama . Yule dhalimu ameleta mambo ya Kishamba sana. Tz tulishavuka hayo mambo . Ghafla tumekuwa wa kunyoshewa mikono !!Kwamba saa hii mnajula bata[emoji1][emoji1]
Kamanda umesahau masiha wenu yuko nyavu!!!!
Amegeukwa hadi na thetallest jitombashisho Nebuchadinezzer IDEGENDA Stroke Wakudadavuwa ndege JOHN na KinujuHadi wewe umemgeuka Sabaya? Basi huyo bwana ana hali ngumu sana.
Bwashee tofautisha Kazi maalumu na Ujambazi!Exactly.....
Serikali inafanya kazi kwa nyaraka...
Ukipigiwa simu kwenda kufanya ushenzi, ujue mambo yakiharibika you are on your own, serikali haihusiki hapo.
Pia kwenda kumtaja Luoga na Mpango ni kujimaliza kabisa, yaani anategemea Gavana na Vice President waseme tulikuwa tunajua "ujambazi" wa Sabaya.
Very stupid defense
Ushamba hufanya kazi kwa washamba.Hata kama . Yule dhalimu ameleta mambo ya Kishamba sana. Tz tulishavuka hayo mambo . Ghafla tumekuwa wa kunyoshewa mikono !!
Odhis *
Hahaha umekuwa Riley "say no to snitching".Apambane kiume sio anataja wahuni...Tabia ya kutaja watu ya kingese hio shuleni tulikuwa tunawafua wa Naa kama Sabaya.
Unaelewa maana ya " kazi maalumu "Itabidi sauti ya jiwe ipelekwe mahakamani pia