..hoja yangu ni kwamba Mwalimu Nyerere alikuwa na nyenzo duni za kuboresha maisha ya wananchi ukilinganisha na Samia Suluhu.
..Enzi za Mwalimu Nyerere kipindi cha masika mikoa ya kusini ilikuwa haifikiki kutokana na ubovu wa barabara ya kwenda kusini.
..Serikali ya awamu ya 6 ina mahusiano mazuri na nchi zote majirani zetu, wakati wa Mwalimu Nyerere tulikuwa na mahusiano mabaya na Uganda, Kenya, Malawi, Zaire, na Msumbiji chini ya Wareno.
..Mwalimu kuna wakati alikatiwa fedha za misaada na mikopo, wakati Samia anapata misaada na anaweza kukopa popote.
..Natofautiana na wewe kwamba awamu ya 6 watawala wana changamoto kuzidi wa aeamu ya 1 2 au 3.