Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
- Thread starter
-
- #61
Kama hawajijui ni kwa sababu hawajaambiwa; kwa hivyo basi ndio wanaambiwa kuwa wako hivyo, wajijue na waache gender bigotry.
Wajijua (ndio maana wakarespond) kwa matendo yao (leo wanaponda keso wasema msiponde kitu hicho hicho) hawapendi kuambiwa, they are used to: they are too big for small things. Well, whatever rocks your boat.
Posts za Mama mbona sizioni?
NN usituharibie thread....
bahati mbaya post haipo niliyoiongelea.....Una maana gani nisiwaharibie thread? kwani mimi mod hapa? halafu Invisible kakuonya uache kutuhumu watu kuwa ndio kina flani...
acha mara moja hii tabia la sivyo nitazifuta na za kwako
bahati mbaya post haipo niliyoiongelea.....Una maana gani nisiwaharibie thread? kwani mimi mod hapa? halafu Invisible kakuonya uache kutuhumu watu kuwa ndio kina flani...
acha mara moja hii tabia la sivyo nitazifuta na za kwako
Hatujakataa yeye kujisifu au kusema alichonacho.
Ila katika muda wote uliokuwa unamhoji huyo mweshimiwa basi assilimia 90 ilikuwa ni kueleza juu ya elimu yake.
Angalia hata wewe mwenyewe muda wote unaongelea kitu alichonacho mtu, ambapo nadhani ungeweza kutumia chini ya dk 1 kuelezea hilo jambo.
bahati mbaya post haipo niliyoiongelea.....
unaonaje hili la mwanakijiji kumtetea kwa nguvu zoote waziri Simba?
Mimi naona Mwanakijiji kachemsha hapo....maana hata yeye sijui alichokuwa anakitetea.....
Labda mwanakijiji amehaidiwa position UWT...You never know.
usikute kaahidiwa kinono na kitamu zaidi....
You never know maana mwanakijiji ni downlow sana na atakuwa na agenda za siri...commotion in the UWT! Hiphip Hureey Mwanakijiji you have been busted.
aisee...cupcake hiyo ya downlow ianweza ikatafsiriwa vibaya na watu hapa halafu izue jambo juu ya mambo....oohoooo....
Mimi naona Mwanakijiji kachemsha hapo....maana hata yeye sijui alichokuwa anakitetea.....
usikute kaahidiwa kinono na kitamu zaidi....