UTEUZI CCM JUMUIYA: Chama cha Mapinduzi chateua wagombea nafasi ya Taifa katika Jumuiya zake zote, hawa hapa walioteuliwa

UTEUZI CCM JUMUIYA: Chama cha Mapinduzi chateua wagombea nafasi ya Taifa katika Jumuiya zake zote, hawa hapa walioteuliwa

CM 1774858

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2021
Posts
5,621
Reaction score
5,029
IMG-20221113-WA0173.jpg
IMG-20221113-WA0172.jpg
IMG-20221113-WA0166.jpg
 
Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa (NEC) imekutana kikao cha kawaida Jumapili 13 Novemba, 2022 chini ya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan, Makao Makuu ya Chama, Dodoma.



Pamoja na mambo mengine, Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa imefanya uteuzi wa majina ya wanachama watakaogombea nafasi za uongozi ndani ya CCM na Jumuiya zake katika ngazi ya Mkoa na Taifa kwa mujibu wa katiba ya CCM ya mwaka 1977 Toleo la mwaka 2022 Ibara ya 82(1). Kwa upande wa wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya za CCM ngazi ya Taifa walioteuliwa ni kama ifuatavyo:-





NAFASI: MWENYEKITI UVCCM TAIFA

1. Farid Mohamed HAJI

2. Kassim Haji KASSU

3. Mohamed Ali MOHAMED (KAWAIDA)

4. Abdallah Ibrahim NATEPE





NAFASI: MAKAMU MWENYEKITI UVCCM TAIFA

1. Khadija Khalid ISMAIL

2. Dorice John MGETTA

3. Victoria Charles MWANZIVA

4. Rehema Sombi OMARY



NAFASI: MWENYEKITI UWT TAIFA

1. Gaudentia Mugosi KABAKA

2. Kate Sylvia KAMBA

3. Dkt. Wemael Allen CHAMSHAMA

4. Mariam Mohamed LULIDA

5. Mary Pius CHATANDA



NAFASI: MAKAMU MWENYEKITI UWT TAIFA

1. Latifa Nasser AHMED

2. Thuwaybah Edington KISSASI

3. Hafsa Said KHAMIS

4. Zainab Khamis SHOMARI



NAFASI: MWENYEKITI WAZAZI TAIFA

1. Dkt. CPA. Edmund Bernard MNDOLWA

2. Fadhili Rajabu MAGANYA

3. Bakari Nampenya KALEMBO

4. Said Mohamed MOHAMED (DIMWA)

5. Mwanamanga Juma MWADUGA

6. Ally Maulid OTHMAN

7. Ali Khamis MASUDI

8. Hassan Haji ZAHARA







NAFASI: MAKAMU MWENYEKITI WAZAZI TAIFA

1. Haidar Haji ABDALLA

2. Dkt. Wemael Allen CHAMSHANA

3. Fatma Abeid HAJI

4. Rachel Ntiganyigwa KABUNDA

5. Neema George MTURO

6. Zahoro Salehe MOHAMED

7. Dogo Idd MABROUK



Uchaguzi wa viongozi wa Jumuiya hizo kwa ngazi ya Taifa utafanyika tarehe 24-29 Novemba, 2022. Wagombea wote wanakumbushwa kuheshimu Kanuni za uchaguzi za CCM na misingi ya chama kwa kufanya siasa safi na kuzingatia maadili ya Chama wakati wote.



Aidha Orodha ya majina ya wagombea uongozi Chama na Jumuiya zake ngazi ya Mkoa yatatumwa katika mikoa husika.



KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI



Shaka Hamdu Shaka

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa

Itikadi na Uenezi.

13 Novemba, 2022
 
Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa (NEC) imekutana kikao cha kawaida Jumapili 13 Novemba, 2022 chini ya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan, Makao Makuu ya Chama, Dodoma.



Pamoja na mambo mengine, Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa imefanya uteuzi wa majina ya wanachama watakaogombea nafasi za uongozi ndani ya CCM na Jumuiya zake katika ngazi ya Mkoa na Taifa kwa mujibu wa katiba ya CCM ya mwaka 1977 Toleo la mwaka 2022 Ibara ya 82(1). Kwa upande wa wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya za CCM ngazi ya Taifa walioteuliwa ni kama ifuatavyo:-





NAFASI: MWENYEKITI UVCCM TAIFA

1. Farid Mohamed HAJI

2. Kassim Haji KASSU

3. Mohamed Ali MOHAMED (KAWAIDA)

4. Abdallah Ibrahim NATEPE





NAFASI: MAKAMU MWENYEKITI UVCCM TAIFA

1. Khadija Khalid ISMAIL

2. Dorice John MGETTA

3. Victoria Charles MWANZIVA

4. Rehema Sombi OMARY



NAFASI: MWENYEKITI UWT TAIFA

1. Gaudentia Mugosi KABAKA

2. Kate Sylvia KAMBA

3. Dkt. Wemael Allen CHAMSHAMA

4. Mariam Mohamed LULIDA

5. Mary Pius CHATANDA



NAFASI: MAKAMU MWENYEKITI UWT TAIFA

1. Latifa Nasser AHMED

2. Thuwaybah Edington KISSASI

3. Hafsa Said KHAMIS

4. Zainab Khamis SHOMARI



NAFASI: MWENYEKITI WAZAZI TAIFA

1. Dkt. CPA. Edmund Bernard MNDOLWA

2. Fadhili Rajabu MAGANYA

3. Bakari Nampenya KALEMBO

4. Said Mohamed MOHAMED (DIMWA)

5. Mwanamanga Juma MWADUGA

6. Ally Maulid OTHMAN

7. Ali Khamis MASUDI

8. Hassan Haji ZAHARA







NAFASI: MAKAMU MWENYEKITI WAZAZI TAIFA

1. Haidar Haji ABDALLA

2. Dkt. Wemael Allen CHAMSHANA

3. Fatma Abeid HAJI

4. Rachel Ntiganyigwa KABUNDA

5. Neema George MTURO

6. Zahoro Salehe MOHAMED

7. Dogo Idd MABROUK



Uchaguzi wa viongozi wa Jumuiya hizo kwa ngazi ya Taifa utafanyika tarehe 24-29 Novemba, 2022. Wagombea wote wanakumbushwa kuheshimu Kanuni za uchaguzi za CCM na misingi ya chama kwa kufanya siasa safi na kuzingatia maadili ya Chama wakati wote.



Aidha Orodha ya majina ya wagombea uongozi Chama na Jumuiya zake ngazi ya Mkoa yatatumwa katika mikoa husika.



KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI



Shaka Hamdu Shaka

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa

Itikadi na Uenezi.

13 Novemba, 2022
thank you,
 
Komredi Mary Chatanda hatakaa asahaulike kwenye viunga vya Ufipa hasa kule Arusha. Namtakia kila la heri huyu mama wa shoka. Aliwashughulisha sana CHADEMA.
Mary Chatanda ana ushupa gani zaidi ya kugawa uroda kwa wakubwa na kibaraka? Chatanda ana nini kichwani? Huyu mama ni walewale tu kama akina Sofia Simba Good for nothing!

Arusha aliwafanya nini Chadema zaidi ya backup ya polisi?
 
Naona ni kama wanawake wanalazimishwa kushika bila hata wao kutaka
 
Back
Top Bottom