The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
95% ni waislamu. Kazi ipo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyekiti UVCCM wote ni Dini moja, anyway.......acha Kazi iendelee
Bora wakae pembeni maana tumetujanwa sanaHamna sukuma gang hata mmoja aisee wamepukutishwa wote
Hatafutwi paroko au sista pale, anatafutwa kiongozi ambaye anaweza kuwa muislamu au mkiristo.Nimeangalia 90% ya wagombea ni waislam!! Samia anataka kurudisha ile nchi ya enzi za mwembeyanga?
Kwahiyo Zanzibar yote ni waislam?Kuna nafasi ni kwaajili ya Zanzibar Unataka wakristu watoke wapi Zanzibar?
Kumbe Demokrasia ina preferencesYes ndio zamu yao awamu hii,
Ulitaka wateuliwe waislamu wangapi na Wakiristo wangapi?Kwahiyo Zanzibar yote ni waislam?
NAONA WAISLAMU WAMEPITISHWA WENGI SANAHalmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa (NEC) imekutana kikao cha kawaida Jumapili 13 Novemba, 2022 chini ya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan, Makao Makuu ya Chama, Dodoma.
Pamoja na mambo mengine, Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa imefanya uteuzi wa majina ya wanachama watakaogombea nafasi za uongozi ndani ya CCM na Jumuiya zake katika ngazi ya Mkoa na Taifa kwa mujibu wa katiba ya CCM ya mwaka 1977 Toleo la mwaka 2022 Ibara ya 82(1). Kwa upande wa wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya za CCM ngazi ya Taifa walioteuliwa ni kama ifuatavyo:-
NAFASI: MWENYEKITI UVCCM TAIFA
1. Farid Mohamed HAJI
2. Kassim Haji KASSU
3. Mohamed Ali MOHAMED (KAWAIDA)
4. Abdallah Ibrahim NATEPE
NAFASI: MAKAMU MWENYEKITI UVCCM TAIFA
1. Khadija Khalid ISMAIL
2. Dorice John MGETTA
3. Victoria Charles MWANZIVA
4. Rehema Sombi OMARY
NAFASI: MWENYEKITI UWT TAIFA
1. Gaudentia Mugosi KABAKA
2. Kate Sylvia KAMBA
3. Dkt. Wemael Allen CHAMSHAMA
4. Mariam Mohamed LULIDA
5. Mary Pius CHATANDA
NAFASI: MAKAMU MWENYEKITI UWT TAIFA
1. Latifa Nasser AHMED
2. Thuwaybah Edington KISSASI
3. Hafsa Said KHAMIS
4. Zainab Khamis SHOMARI
NAFASI: MWENYEKITI WAZAZI TAIFA
1. Dkt. CPA. Edmund Bernard MNDOLWA
2. Fadhili Rajabu MAGANYA
3. Bakari Nampenya KALEMBO
4. Said Mohamed MOHAMED (DIMWA)
5. Mwanamanga Juma MWADUGA
6. Ally Maulid OTHMAN
7. Ali Khamis MASUDI
8. Hassan Haji ZAHARA
NAFASI: MAKAMU MWENYEKITI WAZAZI TAIFA
1. Haidar Haji ABDALLA
2. Dkt. Wemael Allen CHAMSHANA
3. Fatma Abeid HAJI
4. Rachel Ntiganyigwa KABUNDA
5. Neema George MTURO
6. Zahoro Salehe MOHAMED
7. Dogo Idd MABROUK
Uchaguzi wa viongozi wa Jumuiya hizo kwa ngazi ya Taifa utafanyika tarehe 24-29 Novemba, 2022. Wagombea wote wanakumbushwa kuheshimu Kanuni za uchaguzi za CCM na misingi ya chama kwa kufanya siasa safi na kuzingatia maadili ya Chama wakati wote.
Aidha Orodha ya majina ya wagombea uongozi Chama na Jumuiya zake ngazi ya Mkoa yatatumwa katika mikoa husika.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa
Itikadi na Uenezi.
13 Novemba, 2022
Wa dini gani ulitaka wawe wengi zaidi?NAONA WAISLAMU WAMEPITISHWA WENGI SANA
Jambo baya sana hili uliloliongea. Tafadhali sana epuka udini Siyo taifa alilolijenga Mwalimu# Sisi ni Taifa.🙏🙏🙏Nimeangalia 90% ya wagombea ni waislam!! Samia anataka kurudisha ile nchi ya enzi za mwembeyanga?
90% analeta mambo ya bakwata kama enzi ya JK... ilifikia hatua bakwata nao wakawa wanapewa mgao wa ukuu wa wilaya!!80% ni waislamu.
Sa100 mdini sana
Huyo mama ni mdini sana.90% analeta mambo ya bakwata kama enzi ya JK... ilifikia hatua bakwata nao wakawa wanapewa mgao wa ukuu wa wilaya!!
Sijasema sitaki mi nimeongea kilichopo kwamba kateua 90% waislam basi!! Kwani nimekataa au kupinga?Hatafutwi paroko au sista pale, anatafutwa kiongozi ambaye anaweza kuwa muislamu au mkiristo.
Kama hutaki muislamu sema awekwe wa dini gani!
Tuondolee udini wako Hapa, kwani waislamu siyo watanzania?80% ni waislamu.
Sa100 mdini sana
Naomba kufahamu,
Usituletee udini, sisi ndani ya CCM kinachoangaliwa Ni uwezo wa mtu kiuongozi na siyo Dini ya mtu au kabila la mtu,95% ni waislamu. Kazi ipo.