UTEUZI CCM JUMUIYA: Chama cha Mapinduzi chateua wagombea nafasi ya Taifa katika Jumuiya zake zote, hawa hapa walioteuliwa

Nimeangalia 90% ya wagombea ni waislam!! Samia anataka kurudisha ile nchi ya enzi za mwembeyanga?
Hatafutwi paroko au sista pale, anatafutwa kiongozi ambaye anaweza kuwa muislamu au mkiristo.

Kama hutaki muislamu sema awekwe wa dini gani!
 
NAONA WAISLAMU WAMEPITISHWA WENGI SANA
 
hamna kitu hapo, ccm nawadharau sana ni kama walivaa taulo ghafla likadonkoka wanajaribu kujificha uchi usionekane...raia wamekomaa kuangalia uchi tu
 
Hatafutwi paroko au sista pale, anatafutwa kiongozi ambaye anaweza kuwa muislamu au mkiristo.

Kama hutaki muislamu sema awekwe wa dini gani!
Sijasema sitaki mi nimeongea kilichopo kwamba kateua 90% waislam basi!! Kwani nimekataa au kupinga?
 
Huyu Dr.wemael chamshana atatumikiaje mabwana wawili....

Anawania nafasi mbili KWA wakati mmoja!? Hakuna wenngine wenye sifa stahiki!? Zaidi yake!?....

Ama kweli Ccm ina wenyewe...
 
Najua vijana mliahidiwa kupita na kihongosi mnavyojificha kwenye kichaka cha naona wengi ni waislamu.

Binafsi nina furaha kubwa sana ,nilikuwa ni moja ya watia nia na sio kwamba nina furaha jina langu kutokuwepo ila kwa sababu uteuzi huu wa wajina umemshangaza kila mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…