Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
😆😆😆😆Jambo zuri diwani ni kiongozi wa umma lazima apange safu yake vizuri ili awatumikie wananchi
Sasa mkuu uteuzi unahusiana nini na ban ? mbona unanionea tu mjomba ?Mods watu wenye stress kama huyu dada mleta mada muwa mnawapiga ban angalau kwa wiki tu ili akili ziwakae sawa.
Ni utopolo gani sasa huu umeuleta hapa.?
Halafu kila siku wako busy kuhide posts zetu zilizoshiba kisa tu zinapiga penye ukweli.Mods watu wenye stress kama huyu dada mleta mada muwa mnawapiga ban angalau kwa wiki tu ili akili ziwakae sawa.
Ni utopolo gani sasa huu umeuleta hapa.?
Kipato chao kikubwa kinatokana na mauzo ya viwanja vya waziHivi diwani huwa analipwa sh ngapi kwa mwezi labda tuanzie hapo
Mkuu huyu diwani ni kutoka ccmHalafu kila siku wako busy kuhide posts zetu zilizoshiba kisa tu zinapiga penye ukweli.
All in all huu Uzi ni wa kinafiki na kuendelea kuujadili hapa nikuendekeza unafiki na chuki binfsi.
Nalog off! Maana siyo kuwa pumba hizi.
Hii ipo kisheria ama ndio zile za majizi ya CCM kujiuzia nyumba za serikaliKipato chao kikubwa kinatokana na mauzo ya viwanja vya wazi
Jiongeze mkuuHii ipo kisheria ama ndio zile za majizi ya CCM kujiuzia nyumba za serikali
habari ndio hiyoAiseee
Chadema wazee wa matukio,wakikosa matukio wanaleta thread za vichekesho.Kwani chadema wanasemaje hawajatoa tamko bado [emoji16] [emoji23]
Sent from my F3311 using JamiiForums mobile app
Wewe ndo utopolo zaidi yake, tuambie hizo ajira alizotoa Diwani ni Kwa mujibu wa sheria ipi? Cheo cha Katibu wa Diwani kimeanza lini nchi hii? Msemaji wa Diwani analipwa toka fungu gani na majukumu yake yameandikwa kwenye mwongozo gani?Halafu kila siku wako busy kuhide posts zetu zilizoshiba kisa tu zinapiga penye ukweli.
All in all huu Uzi ni wa kinafiki na kuendelea kuujadili hapa nikuendekeza unafiki na chuki binfsi.
Nalog off! Maana siyo kuwa pumba hizi.
Ulikuwa unawatetea TRA, Jana Mpango kawatumbua Madanga wako ukamuunga mkono. Tumewazoea serikali isiyofuata sheria za nchi.Diwani chapa kazi