Uteuzi: Diwani wa Kata ya Mbagala, Michael Makwega ateua wasaidizi watatu kushika nyadhifa kwenye ofisi yake

Mods watu wenye stress kama huyu dada mleta mada muwa mnawapiga ban angalau kwa wiki tu ili akili ziwakae sawa.

Ni utopolo gani sasa huu umeuleta hapa.?
Halafu kila siku wako busy kuhide posts zetu zilizoshiba kisa tu zinapiga penye ukweli.

All in all huu Uzi ni wa kinafiki na kuendelea kuujadili hapa nikuendekeza unafiki na chuki binfsi.
Nalog off! Maana siyo kuwa pumba hizi.
 
Halafu kila siku wako busy kuhide posts zetu zilizoshiba kisa tu zinapiga penye ukweli.

All in all huu Uzi ni wa kinafiki na kuendelea kuujadili hapa nikuendekeza unafiki na chuki binfsi.
Nalog off! Maana siyo kuwa pumba hizi.
Mkuu huyu diwani ni kutoka ccm
 
Halafu kila siku wako busy kuhide posts zetu zilizoshiba kisa tu zinapiga penye ukweli.

All in all huu Uzi ni wa kinafiki na kuendelea kuujadili hapa nikuendekeza unafiki na chuki binfsi.
Nalog off! Maana siyo kuwa pumba hizi.
Wewe ndo utopolo zaidi yake, tuambie hizo ajira alizotoa Diwani ni Kwa mujibu wa sheria ipi? Cheo cha Katibu wa Diwani kimeanza lini nchi hii? Msemaji wa Diwani analipwa toka fungu gani na majukumu yake yameandikwa kwenye mwongozo gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…