kingmagoha
Member
- Oct 9, 2020
- 15
- 16
Hahahaaaaaa nimecheka mpaka nimepaliwatbc watarusha tukio live??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaaaa nimecheka mpaka nimepaliwatbc watarusha tukio live??
300,000Hivi diwani huwa analipwa sh ngapi kwa mwezi labda tuanzie hapo
Ndio ngazi ipi hiyo ya mshahara ie TGS or TGTS or TGTHS ambazo zipo halmashauri na ni ngazi ipi? Kati ya A,B,C D,E,F, G au H300,000
bila shakatbc watarusha tukio live??
kuna kitu hujaelewaAma kweli wahenga walisema, hujafa hujaumbika: Kutoka msemaji mkuu wa mgombea urais wakati wa kampeni, mpaka kwenda kuwa mpigia chapuo issue za diwani wa mbagala 🤔😢😢😪
Vp hao Wasaidizi nao kawapa kila mtu V8 lake!? Sema mapema nataka kumtonya mapema PM!!Hii ndio awamu ya sasa nchini Tanzania ambapo kila kiongozi anayo mamlaka ya Uteuzi kwenye eneo lake, kama ambavyo Mh Diwani amefanya.
Bado haijafahamika kama wateule hawa wataapishwa lini ili waanze kulitumikia rasmi Taifa.
Kapoteza kila kitu baada ya Chadema kukataliwa na wananchi?Mleta mada stress zitakuua.
Mungu bariki wazungu.Hii ndio awamu ya sasa nchini Tanzania ambapo kila kiongozi anayo mamlaka ya Uteuzi kwenye eneo lake, kama ambavyo Mh Diwani amefanya.
Bado haijafahamika kama wateule hawa wataapishwa lini ili waanze kulitumikia rasmi Taifa.
Naona ajifunza aje kuwa Rais.Hii ndio awamu ya sasa nchini Tanzania ambapo kila kiongozi anayo mamlaka ya Uteuzi kwenye eneo lake, kama ambavyo Mh Diwani amefanya.
Bado haijafahamika kama wateule hawa wataapishwa lini ili waanze kulitumikia rasmi Taifa.
460,000 (laki nne na sitini mshahara kwa mwezi), posho za vikao pia huwa wanalipwa kiinua mgongo baada ya miaka mitano.Hivi diwani huwa analipwa sh ngapi kwa mwezi labda tuanzie hapo
Ni wapi Ambapo unaweza kusema Chadema ilikataliwa na wananchi ?Kapoteza kila kitu baada ya Chadema kukataliwa na wananchi?
We hujui?Ni wapi Ambapo unaweza kusema Chadema ilikataliwa na wananchi ?