Uteuzi: Dkt. Leonard Akwilapo ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU)

Uteuzi: Dkt. Leonard Akwilapo ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka viongozi walioteuliwa ni kama ifuatavyo:

(i) Dkt. Leonard Douglas Akwilapo ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU). Dkt. Akwilapo ni Katibu Mkuu Mstaafu, anachukua nafasi ya Prof. Penina Mlama ambaye amemaliza muda wake;

(ii) Prof. Zacharia Babubu Mganilwa ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Usimamizi wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima. Prof. Mganilwa ni Mhadhiri Mwandamizi Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), anachukua nafasi ya Dkt. Naomi Katunzi ambaye amemaliza muda wake;

(iii) Dkt. Mwamini Madhebehi Tulli ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Taasisi ya Uhasibu Arusha (IAA). Dkt. Tulli ameteuliwa kwa kipindi cha pili;

(iv) Mhandisi Dkt. Richard Joseph Masika ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji. Mhandisi Dkt. Masika anachukua nafasi ya Prof. Henry Mahoo ambaye amemaliza muda wake;

(v) Balozi Salome Thaddaus Sijaona ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU). Balozi Sijaona ameteuliwa kwa kipindi cha pili;

(vi) Prof. Joseph Nicolao Otieno ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala. Prof Otieno ni Mhadhiri Mwandamizi Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), anachukua nafasi ya Prof. Hamisi Malebo ambaye amemaliza muda wake;

Pia soma: Uteuzi Septemba 16, 2024: Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi akiwemo Katibu wa Bunge

(vii) Bi. Janet Reuben Lekashingo ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Madini. Bi Lekashingo alikuwa Kamishna wa Tume ya Madini, anachukua nafasi ya Prof. Idris Kikula ambaye amemaliza muda wake;

(viii) Bi. Asha Dachi Mbaruk ameteuliwa kuwa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Magazeti Tanzania (TSN). Kabla ya uteuzi huu, Bi Mbaruk alikuwa akikaimu nafasi hiyo; na

(ix) Bi. Mariam Salehe Mgaya ameteuliwa kuwa Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Uhamasishaji Uwazi na Uwajibikaji kwenye Rasilimali Madini, Mafuta na Gesi Asilia (TEITI). Kabla ya uteuzi huu, Bi. Mgaya alikuwa akikaimu nafasi hiyo.

IMG_20241030_195630_232.jpg
IMG_20241030_195629_671.jpg
 
Mimi ninakupongeza na ninakuombea mafanikio mema Prof. Joseph Nicolao Otieno wa Baraza la tiba asili.

Tunaomba sasa tuzione tiba asili za Kitanzania zilozosajiliwa na TMDA kwa wingi zaidi hali ya sasa hairidhishi.
Made-in-Tanzania-Medicines.png


Maana sasa hali ni hii, ni dawa tatu tu ndio zinatoka Tanzania zinazaloshwa na Prince Pharmaceuticals. Tatu tu kwa kweli!!!
Marketshare-of-Traditional-medicine-TZ.png

Tunaweza kutumia njia nyingi kufikia mafanikio, mojawapo ni kuweka mfumo utakaotumia shuhuda (anecdotal reports) kuelekeza tafiti zifanyike kwa dawa ipi kwa kuanzia.

Wazo la mimi ilikuwa kuweka mfumonwa kimtandao unaowakutanisha waganga na wateja wao na wateja wataweza kuacha shuhuda na maoni yao, waganga watajibu maswali na kutoa maelekezo yao. Mwisho wa siku wachache watakaong'ara wanapewa wachunguzi kesi na timu ya madaktari na wafamasia/wanasayansi kuifanyia vipimo dawa husika hadi kuithibitisha. Mengi zaidi tuwasiliane.

Source ya picha na ripoti kamili hapa:
 
Wakuu,

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka viongozi walioteuliwa ni kama ifuatavyo:

(i) Dkt. Leonard Douglas Akwilapo ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU). Dkt. Akwilapo ni Katibu Mkuu Mstaafu, anachukua nafasi ya Prof. Penina Mlama ambaye amemaliza muda wake;

(ii) Prof. Zacharia Babubu Mganilwa ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Usimamizi wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima. Prof. Mganilwa ni Mhadhiri Mwandamizi Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), anachukua nafasi ya Dkt. Naomi Katunzi ambaye amemaliza muda wake;

(iii) Dkt. Mwamini Madhebehi Tulli ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Taasisi ya Uhasibu Arusha (IAA). Dkt. Tulli ameteuliwa kwa kipindi cha pili;

(iv) Mhandisi Dkt. Richard Joseph Masika ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji. Mhandisi Dkt. Masika anachukua nafasi ya Prof. Henry Mahoo ambaye amemaliza muda wake;

(v) Balozi Salome Thaddaus Sijaona ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU). Balozi Sijaona ameteuliwa kwa kipindi cha pili;

(vi) Prof. Joseph Nicolao Otieno ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala. Prof Otieno ni Mhadhiri Mwandamizi Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), anachukua nafasi ya Prof. Hamisi Malebo ambaye amemaliza muda wake;

Pia soma: Uteuzi Septemba 16, 2024: Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi akiwemo Katibu wa Bunge

(vii) Bi. Janet Reuben Lekashingo ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Madini. Bi Lekashingo alikuwa Kamishna wa Tume ya Madini, anachukua nafasi ya Prof. Idris Kikula ambaye amemaliza muda wake;

(viii) Bi. Asha Dachi Mbaruk ameteuliwa kuwa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Magazeti Tanzania (TSN). Kabla ya uteuzi huu, Bi Mbaruk alikuwa akikaimu nafasi hiyo; na

(ix) Bi. Mariam Salehe Mgaya ameteuliwa kuwa Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Uhamasishaji Uwazi na Uwajibikaji kwenye Rasilimali Madini, Mafuta na Gesi Asilia (TEITI). Kabla ya uteuzi huu, Bi. Mgaya alikuwa akikaimu nafasi hiyo.

Kwa teuzi hizi nani atafunsha vyuoni?
 
Wakuu,

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka viongozi walioteuliwa ni kama ifuatavyo:

(i) Dkt. Leonard Douglas Akwilapo ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU). Dkt. Akwilapo ni Katibu Mkuu Mstaafu, anachukua nafasi ya Prof. Penina Mlama ambaye amemaliza muda wake;

(ii) Prof. Zacharia Babubu Mganilwa ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Usimamizi wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima. Prof. Mganilwa ni Mhadhiri Mwandamizi Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), anachukua nafasi ya Dkt. Naomi Katunzi ambaye amemaliza muda wake;

(iii) Dkt. Mwamini Madhebehi Tulli ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Taasisi ya Uhasibu Arusha (IAA). Dkt. Tulli ameteuliwa kwa kipindi cha pili;

(iv) Mhandisi Dkt. Richard Joseph Masika ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji. Mhandisi Dkt. Masika anachukua nafasi ya Prof. Henry Mahoo ambaye amemaliza muda wake;

(v) Balozi Salome Thaddaus Sijaona ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU). Balozi Sijaona ameteuliwa kwa kipindi cha pili;

(vi) Prof. Joseph Nicolao Otieno ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala. Prof Otieno ni Mhadhiri Mwandamizi Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), anachukua nafasi ya Prof. Hamisi Malebo ambaye amemaliza muda wake;

Pia soma: Uteuzi Septemba 16, 2024: Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi akiwemo Katibu wa Bunge

(vii) Bi. Janet Reuben Lekashingo ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Madini. Bi Lekashingo alikuwa Kamishna wa Tume ya Madini, anachukua nafasi ya Prof. Idris Kikula ambaye amemaliza muda wake;

(viii) Bi. Asha Dachi Mbaruk ameteuliwa kuwa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Magazeti Tanzania (TSN). Kabla ya uteuzi huu, Bi Mbaruk alikuwa akikaimu nafasi hiyo; na

(ix) Bi. Mariam Salehe Mgaya ameteuliwa kuwa Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Uhamasishaji Uwazi na Uwajibikaji kwenye Rasilimali Madini, Mafuta na Gesi Asilia (TEITI). Kabla ya uteuzi huu, Bi. Mgaya alikuwa akikaimu nafasi hiyo.

Qualifications zao ni nzuri, issue ni ku-deliver kinachokusudiwa
 
Mgombea ubunge mtarajiwa wa jimbo la Masasi CCM 2025.

Amekuwa victim wa kifo Cha Magufuli, alikuwa msimamizi bwa PHD ya Magufuli UDSM.

mwendazake angekuwa hai angekuwa mbali sana!!!
Ila kakumbukwa Tena baada bya kustaafu,na kuisha kwa muda wa ukatibu Mkuu!!
 
Wakuu,

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka viongozi walioteuliwa ni kama ifuatavyo:

(i) Dkt. Leonard Douglas Akwilapo ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU). Dkt. Akwilapo ni Katibu Mkuu Mstaafu, anachukua nafasi ya Prof. Penina Mlama ambaye amemaliza muda wake;

(ii) Prof. Zacharia Babubu Mganilwa ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Usimamizi wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima. Prof. Mganilwa ni Mhadhiri Mwandamizi Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), anachukua nafasi ya Dkt. Naomi Katunzi ambaye amemaliza muda wake;

(iii) Dkt. Mwamini Madhebehi Tulli ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Taasisi ya Uhasibu Arusha (IAA). Dkt. Tulli ameteuliwa kwa kipindi cha pili;

(iv) Mhandisi Dkt. Richard Joseph Masika ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji. Mhandisi Dkt. Masika anachukua nafasi ya Prof. Henry Mahoo ambaye amemaliza muda wake;

(v) Balozi Salome Thaddaus Sijaona ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU). Balozi Sijaona ameteuliwa kwa kipindi cha pili;

(vi) Prof. Joseph Nicolao Otieno ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala. Prof Otieno ni Mhadhiri Mwandamizi Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), anachukua nafasi ya Prof. Hamisi Malebo ambaye amemaliza muda wake;

Pia soma: Uteuzi Septemba 16, 2024: Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi akiwemo Katibu wa Bunge

(vii) Bi. Janet Reuben Lekashingo ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Madini. Bi Lekashingo alikuwa Kamishna wa Tume ya Madini, anachukua nafasi ya Prof. Idris Kikula ambaye amemaliza muda wake;

(viii) Bi. Asha Dachi Mbaruk ameteuliwa kuwa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Magazeti Tanzania (TSN). Kabla ya uteuzi huu, Bi Mbaruk alikuwa akikaimu nafasi hiyo; na

(ix) Bi. Mariam Salehe Mgaya ameteuliwa kuwa Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Uhamasishaji Uwazi na Uwajibikaji kwenye Rasilimali Madini, Mafuta na Gesi Asilia (TEITI). Kabla ya uteuzi huu, Bi. Mgaya alikuwa akikaimu nafasi hiyo.

Hii nafasi ya TEITI nilibahatika kuwepo kwenye interview, tullitwa wa 9. Tukabaki 6, hapo ndio ikawa imeisha nakuja kuona tu mtu kateuliwa. Ila huyo alieteuliwa alikuwepo pia na alikuwa anakaimu hiyo nafasi. Ila tulikujua tu yeye ndio atapawa lakini hatukujua kama itakuwa kwa njia ya uteuzi. Niliperform sana hii sababu nimebobea haswa kwenye hiyo sekta.
 
Back
Top Bottom