Uteuzi: Dkt. Leonard Akwilapo ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU)

Uteuzi: Dkt. Leonard Akwilapo ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU)

Mgombea ubunge mtarajiwa wa jimbo la Masasi CCM 2025.

Amekuwa victim wa kifo Cha Magufuli, alikuwa msimamizi bwa PHD ya Magufuli UDSM.

mwendazake angekuwa hai angekuwa mbali sana!!!
Ila kakumbukwa Tena baada bya kustaafu,na kuisha kwa muda wa ukatibu Mkuu!!
Kama ni kweli Masasi itang’ara. Wana Masasi wamepigika sana kwa huyu Dogo. Ugomvi kila kona, majungu ndio maisha yao. Jamaa anapigia figisu hadi walimu wa msingi. Eeh Mungu tuletee huyu Kiongozi, amekuwa kiongozi wa kwanza kutoka Mtwara kukumbuka alikotoka. Ana mapenzi ya dhati na ndugu zake.
 
Kama ni kweli Masasi itang’ara. Wana Masasi wamepigika sana kwa huyu Dogo. Ugomvi kila kona, majungu ndio maisha yao. Jamaa anapigia figisu hadi walimu wa msingi. Eeh Mungu tuletee huyu Kiongozi, amekuwa kiongozi wa kwanza kutoka Mtwara kukumbuka alikotoka. Ana mapenzi ya dhati na ndugu zake.
Masasi kiujumla ni pagumu sana kwa kazi ya ubunge.

Watu wanaokubalika hawapati nafasi.Alianza kufanyiwa figusi miaka ya nyuma Eduard Mmavele.

Shida ya Mwambe Geofray anakifanya mjuaji sana!!

Japokuwa kajitahidi sana this time kwenye issue ya miundombinu!!!
 
Masasi kiujumla ni pagumu sana kwa kazi ya ubunge.

Watu wanaokubalika hawapati nafasi.Alianza kufanyiwa figusi miaka ya nyuma Eduard Mmavele.

Shida ya Mwambe Geofray anakifanya mjuaji sana!!

Japokuwa kajitahidi sana this time kwenye issue ya miundombinu!!!
Tatizo la Mwambe ni kujiganya mjuaji wa kila kitu. Na kufanya ugomvi wa visasi. Sasa Mbunge unaagizaje walimu wahamishwe kisa hawakukuunga mkono kwwnye kura za maoni. Anataka Masasi yote tumpende? Hata Yesu hakupendwa na watu wote. Sembuse yeye. Akija huyo jamaa atafurahisha wengi. Ila Tatizo hajaonesha nia bado.
 
Masasi kiujumla ni pagumu sana kwa kazi ya ubunge.

Watu wanaokubalika hawapati nafasi.Alianza kufanyiwa figusi miaka ya nyuma Eduard Mmavele.

Shida ya Mwambe Geofray anakifanya mjuaji sana!!

Japokuwa kajitahidi sana this time kwenye issue ya miundombinu!!!
Naamini kama huyu Dr akiamua itakuwa rahisi kwake. Anakubalika sana na pia ni kichwaaaa! Wanafunzi wa kemia UD tunamfahamu vizuri.
 
Back
Top Bottom