DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
🤣🤣🤣🤣Naomba kukumbushwa yale mambo ya muungano tafadhali!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Naomba kukumbushwa yale mambo ya muungano tafadhali!
Wanateuliwa watu wanaojitambua Na wenye akili timamuMna uhakika mama yupo humu jamiiforum?
Mbona mpaka sasa Lucas wangu hajatajwa🤔
Mwenendo gani? Mmetengenezewa mada za wiki nzima, hii plus usajiri w Yanga na Simba kazi kwisha, siku zinasonga, hii ni tecinik hadi mwisho wa Dunia, kucheza na akili za wajingaWamefaulu kushuka zengwe na Kidata kuondolewa.
Mimi nasubiria mwenendo wa makusanyo TRA
Ujinga upi hapo? Lengo lipi?Mwenendo gani? Mmetengenezewa mada za wiki nzima, hii plus usajiri w Yanga na Simba kazi kwisha, siku zinasonga, hii ni tecinik hadi mwisho wa Dunia, kucheza na akili za wajinga
Huyu ni balozi pia kwa cheo chake hapo ikulu amekulia sana sema upigaji hata jpm alimtimua na kumvua ubalozi ndio maana anaitwa kidata tu kama amedata vileKidata kumbe ni mmoja wa wale jamaa zetu
Yule ni Waziri mzigo,jinsia ndio inambeba tuuKijaji na kwenda kote Korea hakuna alichojifunza huko chenye manufaa kibiashara?