pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Lucas wako kazi yake ni kusifia wanaume wenzie tu 🤣 🤣 🤣Mna uhakika mama yupo humu jamiiforum?
Mbona mpaka sasa Lucas wangu hajatajwa🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lucas wako kazi yake ni kusifia wanaume wenzie tu 🤣 🤣 🤣Mna uhakika mama yupo humu jamiiforum?
Mbona mpaka sasa Lucas wangu hajatajwa🤔
Aliyeteuliwa sio mtu wa znz, ni mtu bara 100%.Kaondolewa Kidata, kateuliwa mzanzibari kuwa kamishina wa TRA ili pesa ichotwe na kupelekwa Zanzibar.
Kidata hajakusanya Kodi kwa kutumia sheria yake mwenyewe, alikuwa akitekeleza sheria zilozotungwa na bunge. Kumtumbua ni kumuonea tu.
Tanganyika imegeuzwa kuwa shamba la bibi.