Uteuzi Julai 2, 2024: Kidata aondolewa TRA, Jafo na Ashatu wabadilishana Wizara

Uteuzi Julai 2, 2024: Kidata aondolewa TRA, Jafo na Ashatu wabadilishana Wizara

Watu wanadhani ni ishu ya Kariakoo, toka lini teuzi za Samia za asubuhi na jioni zina sababu za kiutendaji na ufanisi ? JPM ndio alikuwa anajaribu kutoa sababu za pangua huyu pangua yule. Lini Samia kasema nimekutoa kwa saab umeharibu hiki na kile ?

Sasa mtu wa ZRA ndio anaijua Kariakoo ?

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kahama, au Geita au Meneja TRA wa Mkoa wa Namanga au wa Mgagala Rangi Tatu anasimamia mapato makubwa kuliko ZRA ya Unguja na Pemba. Ana qualifications gani huyo wa ZRA za kuwazidi hawa wa TRA ?

Mtu wa ZRA hajaletwa TRA kuboresha TRA.

1/ Kaletwa ku divert pesa ya TRA kwenda serikali ya Zanzibar.

2 / Kaletwa ili aidhinishe na kujaza vijana wa Zanzibar kwenye nafasi za Watanganyika TRA

3/ Kaletwa kusamehe kodi za miradi mikubwa ya Wawekezaji na business partners wa Samia

4 / Kaletwa ku swindle pesa za TRA kwenda CCM kwenye uchaguzi na kwenye akaunti za Ikulu ambazo huwa haziguswi na CAG.

WATANGANYIKA tuamke ndugu zangu
Hata kama boss wa TRA ange kuwa m bongo tena mzaramo, haizuii pesa kwenda zenj, wakati wa jpm, pesa ndani lienda usukukani, na kwa kqbila lake, kwani boss wa TRA alikuwa msukuma? Kuwa na Rais kutoka zenj, anaweza akafanya chochotechochote,
 
Watu wanadhani ni ishu ya Kariakoo, toka lini teuzi za Samia za asubuhi na jioni zina sababu za kiutendaji na ufanisi ? JPM ndio alikuwa anajaribu kutoa sababu za pangua huyu pangua yule. Lini Samia kasema nimekutoa kwa saab umeharibu hiki na kile ?

Sasa mtu wa ZRA ndio anaijua Kariakoo ?

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kahama, au Geita au Meneja TRA wa Mkoa wa Namanga au wa Mgagala Rangi Tatu anasimamia mapato makubwa kuliko ZRA ya Unguja na Pemba. Ana qualifications gani huyo wa ZRA za kuwazidi hawa wa TRA ?

Mtu wa ZRA hajaletwa TRA kuboresha TRA.

1/ Kaletwa ku divert pesa ya TRA kwenda serikali ya Zanzibar.

2 / Kaletwa ili aidhinishe na kujaza vijana wa Zanzibar kwenye nafasi za Watanganyika TRA

3/ Kaletwa kusamehe kodi za miradi mikubwa ya Wawekezaji na business partners wa Samia

4 / Kaletwa ku swindle pesa za TRA kwenda CCM kwenye uchaguzi na kwenye akaunti za Ikulu ambazo huwa haziguswi na CAG.

WATANGANYIKA tuamke ndugu zangu
Watu wanadhani ni ishu ya Kariakoo, toka lini teuzi za Samia za asubuhi na jioni zina sababu za kiutendaji na ufanisi ? JPM ndio alikuwa anajaribu kutoa sababu za pangua huyu pangua yule. Lini Samia kasema nimekutoa kwa saab umeharibu hiki na kile ?

Sasa mtu wa ZRA ndio anaijua Kariakoo ?

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kahama, au Geita au Meneja TRA wa Mkoa wa Namanga au wa Mgagala Rangi Tatu anasimamia mapato makubwa kuliko ZRA ya Unguja na Pemba. Ana qualifications gani huyo wa ZRA za kuwazidi hawa wa TRA ?

Mtu wa ZRA hajaletwa TRA kuboresha TRA.

1/ Kaletwa ku divert pesa ya TRA kwenda serikali ya Zanzibar.

2 / Kaletwa ili aidhinishe na kujaza vijana wa Zanzibar kwenye nafasi za Watanganyika TRA

3/ Kaletwa kusamehe kodi za miradi mikubwa ya Wawekezaji na business partners wa Samia

4 / Kaletwa ku swindle pesa za TRA kwenda CCM kwenye uchaguzi na kwenye akaunti za Ikulu ambazo huwa haziguswi na CAG.

WATANGANYIKA tuamke ndugu zangu
Mtoa mada anaumizwa sana na Zanzibar ni ka nchi hata milion hawafik ety kuja kujaza nafas za kaz za wa tanganyika😂😂😂 ukiwa na akili hizi nakihurumia kizaz chako
 
Watu wanadhani ni ishu ya Kariakoo, toka lini teuzi za Samia za asubuhi na jioni zina sababu za kiutendaji na ufanisi ? JPM ndio alikuwa anajaribu kutoa sababu za pangua huyu pangua yule. Lini Samia kasema nimekutoa kwa saab umeharibu hiki na kile ?

Sasa mtu wa ZRA ndio anaijua Kariakoo ?

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kahama, au Geita au Meneja TRA wa Mkoa wa Namanga au wa Mgagala Rangi Tatu anasimamia mapato makubwa kuliko ZRA ya Unguja na Pemba. Ana qualifications gani huyo wa ZRA za kuwazidi hawa wa TRA ?

Mtu wa ZRA hajaletwa TRA kuboresha TRA.

1/ Kaletwa ku divert pesa ya TRA kwenda serikali ya Zanzibar.

2 / Kaletwa ili aidhinishe na kujaza vijana wa Zanzibar kwenye nafasi za Watanganyika TRA

3/ Kaletwa kusamehe kodi za miradi mikubwa ya Wawekezaji na business partners wa Samia

4 / Kaletwa ku swindle pesa za TRA kwenda CCM kwenye uchaguzi na kwenye akaunti za Ikulu ambazo huwa haziguswi na CAG.

WATANGANYIKA tuamke ndugu zangu
Mna kiherehere sana huyu ni mbara na kafanya sana kazi tra bara mpaka mwinyi kamvuta kule
 
Watu wanadhani ni ishu ya Kariakoo, toka lini teuzi za Samia za asubuhi na jioni zina sababu za kiutendaji na ufanisi ? JPM ndio alikuwa anajaribu kutoa sababu za pangua huyu pangua yule. Lini Samia kasema nimekutoa kwa saab umeharibu hiki na kile ?

Sasa mtu wa ZRA ndio anaijua Kariakoo ?

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kahama, au Geita au Meneja TRA wa Mkoa wa Namanga au wa Mgagala Rangi Tatu anasimamia mapato makubwa kuliko ZRA ya Unguja na Pemba. Ana qualifications gani huyo wa ZRA za kuwazidi hawa wa TRA ?

Mtu wa ZRA hajaletwa TRA kuboresha TRA.

1/ Kaletwa ku divert pesa ya TRA kwenda serikali ya Zanzibar.

2 / Kaletwa ili aidhinishe na kujaza vijana wa Zanzibar kwenye nafasi za Watanganyika TRA

3/ Kaletwa kusamehe kodi za miradi mikubwa ya Wawekezaji na business partners wa Samia

4 / Kaletwa ku swindle pesa za TRA kwenda CCM kwenye uchaguzi na kwenye akaunti za Ikulu ambazo huwa haziguswi na CAG.

WATANGANYIKA tuamke ndugu zangu
Na mtakwisha kweli kweli
 
Kaondolewa Kidata, kateuliwa mzanzibari kuwa kamishina wa TRA ili pesa ichotwe na kupelekwa Zanzibar.

Kidata hajakusanya Kodi kwa kutumia sheria yake mwenyewe, alikuwa akitekeleza sheria zilozotungwa na bunge. Kumtumbua ni kumuonea tu.


Tanganyika imegeuzwa kuwa shamba la bibi.
Mwenda ni Mtaganyika, mzaliwa wa Kyeka na Meya Mstaafu wa Kinondoni na Mtumishi wa muda mrefu wa TRA
 
Huyo jamaa ni kweli aliwahi kuwa diwani wa mikocheni na meya wa manispaa ya Kinondoni kati ya 2010 hadi 2015 lakini kama ni Mzanzibari atakuwa kawekwa hapo kimkakati.
 
Mwenda ashawahi kua diwani mikocheni na meya wa kinondoni, ni mtumishi wa TRA muda mrefu tu, ni mchapa kazi sana amezaliwa kyela kijiji kinaitwa tenende
 
Watu wanadhani ni ishu ya Kariakoo, toka lini teuzi za Samia za asubuhi na jioni zina sababu za kiutendaji na ufanisi ? JPM ndio alikuwa anajaribu kutoa sababu za pangua huyu pangua yule. Lini Samia kasema nimekutoa kwa saab umeharibu hiki na kile ?

Sasa mtu wa ZRA ndio anaijua Kariakoo ?

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kahama, au Geita au Meneja TRA wa Mkoa wa Namanga au wa Mgagala Rangi Tatu anasimamia mapato makubwa kuliko ZRA ya Unguja na Pemba. Ana qualifications gani huyo wa ZRA za kuwazidi hawa wa TRA ?

Mtu wa ZRA hajaletwa TRA kuboresha TRA.

1/ Kaletwa ku divert pesa ya TRA kwenda serikali ya Zanzibar.

2 / Kaletwa ili aidhinishe na kujaza vijana wa Zanzibar kwenye nafasi za Watanganyika TRA

3/ Kaletwa kusamehe kodi za miradi mikubwa ya Wawekezaji na business partners wa Samia

4 / Kaletwa ku swindle pesa za TRA kwenda CCM kwenye uchaguzi na kwenye akaunti za Ikulu ambazo huwa haziguswi na CAG.

WATANGANYIKA tuamke ndugu zangu
kwanza ule mkeka hauna usawa wa kidini. hata sijaelewa.
 
Hivi huwa wanalipwa kwa kushauri tu?na wanashauri kitu gani cha maana?
"Kulipwa", hilo halina mashaka; tena kulipwa pengine zaidi ya mshahara waliokuwa wakiupata kwenye nyadhifa walizo ondolewa.

Kisicho fahamika ni hicho cha "wana shauri kitu gani..."

Kuna maoni kwamba hawa huwa wanabaki kuwa wasoma magazeti. Sasa sijui kama ushauri wao huwa wanaupata huko huko kwenye magazeti au vipi!

Nadhani kuna haja ya kuliwekea mada hili jambo humu JF, ili wenye kujua watusaidie kuhusu habari za hawa "washauri" huko Ikulu na kwingineko serikalini.

Maoni yangu ni kuwa hawa hawana tofauti kubwa na wastaafu; tofauti muhimu tu ni kwamba hawa bado wanafaidi mishahara na marupurupu ya serikali.
Lakini ni kazi ngumu hii, kwa sababu kwa upande mmoja hawana tofauti sana na kuwa wafungwa. Hawana uhuru wa kusema chochote kisicho kubaliwa na wanaye mshauri.
 
Kidata kutenguliwa sawa..lakini kwa ukwasi alionao hata angekaa miaka 10 Bila ajira hawezi kuishi kimasikini
Kuna jizi lingine kwa muda mfupi aliokaa katika kitengo fulani nyeti lilikwapua trillioni 1.5,yaani mijizi hii we acha tu.
 
Ukiona anaambiwa umeamishwa kuwa utaenda ikulu kuwa mshauri wa Rais ujue huyo ni mtu smart sema amekuwa suspended kiuprofesa ili kulinda hadhi yake
Mkuu 'Soaiod', umenichanganya kweli kweli na maneno uliyo andika hapa. Nimejitahidi kuyaelewa bila mafanikio. Sijui uli maanisha nini?
Labda nijaribu kudadavua, ili ujue ni wapi nilipo kwama kuelewa:

Kuhamishiwa ikulu kuwa mshauri = huyo ni mtu 'smart'.
Kama huyu ni mtu 'smart', kwa nini aondolewe kwenye nafasi yake anayo itumikia? Hizo nafasi hazihitaji watu 'smart'?

"... amekuwa 'suspended' kiuprprofesa... "? Hapa sielewi kabisa una maana gani.

" ... amekuwa 'suspended'ili kulinda hadhi yake"!

Ikulu kunatakiwa kuwepo watu 'smart', hili linajulikana vizuri. Lakini kwa nini wawe ni watu ambao ni 'suspended', tena ikionekana kuwa kama adhabu, na kulinda hadhi yao, dhidi ya nini? Walifanya makosa mahala kwingine?

Inawezekana nikawa nimekuuliza maswali usiyo kuwa na uwezo wa kuyajibu.
Potelea mbali; hii ndiyo JF yetu.
 
Masamaki unamkumbuka? Au una dementia?

Usibabaishwe na jina Mwenda, wapo wazanzibari wanaitwa Mwita , Masanja n.k
Ila huyu ni Mnyakyusa wa Kyela na Meya mstaafu wa Kinondoni na Mtumishi wa zamani wa TRA
 
Watu wanadhani ni ishu ya Kariakoo, toka lini teuzi za Samia za asubuhi na jioni zina sababu za kiutendaji na ufanisi ? JPM ndio alikuwa anajaribu kutoa sababu za pangua huyu pangua yule. Lini Samia kasema nimekutoa kwa saab umeharibu hiki na kile ?

Sasa mtu wa ZRA ndio anaijua Kariakoo ?

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kahama, au Geita au Meneja TRA wa Mkoa wa Namanga au wa Mgagala Rangi Tatu anasimamia mapato makubwa kuliko ZRA ya Unguja na Pemba. Ana qualifications gani huyo wa ZRA za kuwazidi hawa wa TRA ?

Mtu wa ZRA hajaletwa TRA kuboresha TRA.

1/ Kaletwa ku divert pesa ya TRA kwenda serikali ya Zanzibar.

2 / Kaletwa ili aidhinishe na kujaza vijana wa Zanzibar kwenye nafasi za Watanganyika TRA

3/ Kaletwa kusamehe kodi za miradi mikubwa ya Wawekezaji na business partners wa Samia

4 / Kaletwa ku swindle pesa za TRA kwenda CCM kwenye uchaguzi na kwenye akaunti za Ikulu ambazo huwa haziguswi na CAG.

WATANGANYIKA tuamke ndugu zangu
Vipi iwapo kaja kuboresha na kuleta ufanisi
 
Watu wanadhani ni ishu ya Kariakoo, toka lini teuzi za Samia za asubuhi na jioni zina sababu za kiutendaji na ufanisi ? JPM ndio alikuwa anajaribu kutoa sababu za pangua huyu pangua yule. Lini Samia kasema nimekutoa kwa saab umeharibu hiki na kile ?

Sasa mtu wa ZRA ndio anaijua Kariakoo ?

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kahama, au Geita au Meneja TRA wa Mkoa wa Namanga au wa Mgagala Rangi Tatu anasimamia mapato makubwa kuliko ZRA ya Unguja na Pemba. Ana qualifications gani huyo wa ZRA za kuwazidi hawa wa TRA ?

Mtu wa ZRA hajaletwa TRA kuboresha TRA.

1/ Kaletwa ku divert pesa ya TRA kwenda serikali ya Zanzibar.

2 / Kaletwa ili aidhinishe na kujaza vijana wa Zanzibar kwenye nafasi za Watanganyika TRA

3/ Kaletwa kusamehe kodi za miradi mikubwa ya Wawekezaji na business partners wa Samia

4 / Kaletwa ku swindle pesa za TRA kwenda CCM kwenye uchaguzi na kwenye akaunti za Ikulu ambazo huwa haziguswi na CAG.

WATANGANYIKA tuamke ndugu zangu
Alipotoka TRA kuhamishiwa ZRA ulikuwa mfukoni kwa babako?
 
Mtoa mada anaumizwa sana na Zanzibar ni ka nchi hata milion hawafik ety kuja kujaza nafas za kaz za wa tanganyika😂😂😂 ukiwa na akili hizi nakihurumia kizaz chako

enheeee.....hapo hapo ndio Watanganyika siku zote tunapokosea

Tunadhani kwa vile Tanganyika ni kuuuuubwa sana basi haiwezi kuwa affected na Zanzibar.....

Hivi kukiwa na nafasi za kazi 400 TRA kwa mfano, unataka kunambia Zanzibar ni ndogo sana kiasi kwamba hakuna vijana 400 Zenji wanaoweza kupatikana kujaza nafasi 400 huku Bara ?

Na hizo nafasi 400 za Watanganyika zikuchukuliwa na Wazanzibar tunaona ni poa tu, hamna shida ????

Na kwenye ya ardhi ni hivyo hivyo, tunadhani tuna eneo kuuubwa, infinite, tena linapanuka, kwa hiyo ikimegwa na wakapewa maswaiba wa Samia na Wazanzibar ni poa tu, ardhi ya Tanganyika haina mwisho... Hiyo ndio illusion ya Mtanganyika, ambayo nadhani hata Nyerere alikuwa nayo. Aisee Tanganyika tuna wazimu.
 
Back
Top Bottom