Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Rais Samia hafanyi uteuzi au kazi zake kwa muongozo wa Mange Kimambi.Naona Kuna huyo aliyekuwa anatukanwa na Kigogo Twitter kuwa Hana sifa za kuwa Director wa IT TISS ,Mama kampiga chini anaenda wizara ya utalii.. Sijui ndio Mange kimambi effect
Bado haijazibwaNafasi ya zuhura imezibwa?
Ndiyo kazi anayowezaTengua teua
Ova
Wapi ngedere? Wapi tumbili?Ndugu zangu Watanzania,
Habari ndio hiyo wenye kupata wamepata na wenye kuhamishwa wamehamishwa.
Ila tu fahamu ya kuwa msemaji wa serikali wa sasa ameondolewa kwenye nafasi yake na atapangiwa kazi nyingine.
Kazi iendelee mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti
Lucas Hebel Mwashambwa.mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa piliView attachment 3018202View attachment 3018205
Inafikirisha sana, ameteua na kutengua hadi anakera.Kwa mwendo huu, inawezekana kila Mtanzania akaonja uteuzi wa utumishi wa umma katika awamu ya Sa100.
Wivu na chuki zako binafsi zitakuuwa mwaka huuWapi ngedere? Wapi tumbili?
Yule chawa wa kiha safari hii akasake uchawi mwingine kule ujiji.
Taja tija ya hizi teuzi za mara kwa mara, ni nchi gani nyingine kutwa Rais anateua kama yetu? kwa nini nafasi zisitangazwe watu wakafanya interview tukapata watu waliotayari kutumikia taifa kwa kueleza mipango yao?Kaa kwa kutulia dogo.kinachoangaliwa ni kuleta tija na ufanisi mahali pa kazi.pia Watanzania ni lazima tujuwe kuwa ukipewa kazi basi fanya kwa bidii na siyo kuleta mazoea kazini.
Ndugu zangu Watanzania,
Habari ndio hiyo wenye kupata wamepata na wenye kuhamishwa wamehamishwa.
Ila tu fahamu ya kuwa msemaji wa serikali wa sasa ameondolewa kwenye nafasi yake na atapangiwa kazi nyingine.
Kazi iendelee mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti
Lucas Hebel Mwashambwa.mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa piliView attachment 3018202View attachment 3018205
Lucas Hebel Mwashambwa sikuhiz huweki tena number itakua washaisevu tiari watu wa idara zinazohusika na propaganda za mitandaoniNdugu zangu Watanzania,
Habari ndio hiyo wenye kupata wamepata na wenye kuhamishwa wamehamishwa.
Ila tu fahamu ya kuwa msemaji wa serikali wa sasa ameondolewa kwenye nafasi yake na atapangiwa kazi nyingine.
Kazi iendelee mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti
Lucas Hebel Mwashambwa.mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa piliView attachment 3018202View attachment 3018205
Tena hizi teuzi za hovyo zina gharama kubwa sn kwa walipa kodiInafikirisha sana, ameteua na kutengua hadi anakera.
Kama wewe ni mchapa kazi na mbunifu na mwenye mipango mizuri ya kazi,hata ukikaa tu siku moja ofisini watu watajuwa tu kuwa hapa alipita kiongozi mchapa kazi aliyeacha alama.
Kwanza anateua watu ambao hata hawajuiDu, kumbe hata mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha ufundi cha Arusha naye huteuliwa na Rais?
Tuseme ukweli, hizi nafasi za teuzi naona ni nyingi sana hata zitamchosha Muheshimiwa Rais wetu
Kwa mtazamo wangu hizi za kawaida wangeweza kupewa madaraka wasaidizi wake kama Makamu wa Rais wa kwanza (kama anavyo teua makamu wa pili kule Zanzibar), nyingine ziangukie kwa Waziri mkuu na hata mawaziri.
Naacha nafasi ili na wewe uweke namba yako ndugu yangu mtanzania.kwani wewe hutaki namba yako waisevu?Lucas Hebel Mwashambwa sikuhiz huweki tena number itakua washaisevu tiari watu wa idara zinazohusika na propaganda za mitandaoni
Nani kasema anfanya kazi Kwa Muongozo wa mange kimambi?Rais Samia hafanyi uteuzi au kazi zake kwa muongozo wa Mange Kimambi
Serikali ya Rais Samia ipo kazini Muda wote na jicho lake lipo kila sehemu na kila mahali
Najuwa lengo lako lilikuwa ni huyo mkurugenzi wa Moshi maana una chuki naye binafsi sana .umemchafua sana lakini umegonga mwamba dua zako mbayaIli kufanikisha azma ya kura za ushindi ,mama ondoa wafuatao:
1. Mkuu wa mkoa wa Manyara
2. DC Hai
3. DC Chunya
4. RC Pwani
5. Pangua safu ya makatibu wote wa ccm wilaya na mikoa
6. Wakurugenzi, Meru, Moshi MC, Arusha Jiji,
Ni muumini wa 👇Najuwa lengo lako lilikuwa ni huyo mkurugenzi wa Moshi maana una chuki naye binafsi sana .umemchafua sana lakini umegonga mwamba dua zako mbaya