Uteuzi Juni 15, 2024: Mobhare Matinyi, aliyekuwa Msemaji Mkuu wa Serikali apangiwa majukumu mengine, nafasi yake yachukuliwa na Thobias Makoba

Uteuzi Juni 15, 2024: Mobhare Matinyi, aliyekuwa Msemaji Mkuu wa Serikali apangiwa majukumu mengine, nafasi yake yachukuliwa na Thobias Makoba

Ndugu zangu Watanzania,

Habari ndio hiyo wenye kupata wamepata na wenye kuhamishwa wamehamishwa.

Ila tu fahamu ya kuwa msemaji wa serikali wa sasa ameondolewa kwenye nafasi yake na atapangiwa kazi nyingine.

Kazi iendelee mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti

Lucas Hebel Mwashambwa.mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa piliView attachment 3018202View attachment 3018205
Wapi ngedere? Wapi tumbili?
Yule chawa wa kiha safari hii akasake uchawi mwingine kule ujiji.
 
Kaa kwa kutulia dogo.kinachoangaliwa ni kuleta tija na ufanisi mahali pa kazi.pia Watanzania ni lazima tujuwe kuwa ukipewa kazi basi fanya kwa bidii na siyo kuleta mazoea kazini.
Taja tija ya hizi teuzi za mara kwa mara, ni nchi gani nyingine kutwa Rais anateua kama yetu? kwa nini nafasi zisitangazwe watu wakafanya interview tukapata watu waliotayari kutumikia taifa kwa kueleza mipango yao?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Habari ndio hiyo wenye kupata wamepata na wenye kuhamishwa wamehamishwa.

Ila tu fahamu ya kuwa msemaji wa serikali wa sasa ameondolewa kwenye nafasi yake na atapangiwa kazi nyingine.

Kazi iendelee mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti

Lucas Hebel Mwashambwa.mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa piliView attachment 3018202View attachment 3018205
Ndugu zangu Watanzania,

Habari ndio hiyo wenye kupata wamepata na wenye kuhamishwa wamehamishwa.

Ila tu fahamu ya kuwa msemaji wa serikali wa sasa ameondolewa kwenye nafasi yake na atapangiwa kazi nyingine.

Kazi iendelee mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti

Lucas Hebel Mwashambwa.mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa piliView attachment 3018202View attachment 3018205
Lucas Hebel Mwashambwa sikuhiz huweki tena number itakua washaisevu tiari watu wa idara zinazohusika na propaganda za mitandaoni
 
Naona maza kaamua kusafisha Ikulu. Kuna wale washauri binafsi wa Ikulu ambao raisi anateua akiingia na anaweza kuwatoa kirahisi pia.

Lakini anaweza kweli kubadilisha kuholela hivyo ata wale ambao wanafika hapo kwa njia za usalama.

Hii ni shambles kwa TISS kama raisi hata huko Ikulu anaweza fanya anavyotaka.
 
Du, kumbe hata mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha ufundi cha Arusha na vingine vya ngazi hiyo nao huteuliwa na Muheshimiwa Rais?
Tuseme ukweli, hizi nafasi za teuzi naona ni nyingi sana hata zitamchosha Muheshimiwa Rais

Nafikiri hizi nafasi za kawaida wangeweza kupewa tu madaraka wasaidizi wake kama Makamu wa Rais wa kwanza (kama anavyo teua makamu wa pili kule Zanzibar), nyingine ziangukie kwa Waziri mkuu na hata mawaziri.
Pengine uwajibikaji ungeongezeka kwani kila aliyeteua angefuatilia watu wake na kufanya jicho la ufuatiliaji kuwa karibu zaidi na wateuliwa...
 
Du, kumbe hata mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha ufundi cha Arusha naye huteuliwa na Rais?
Tuseme ukweli, hizi nafasi za teuzi naona ni nyingi sana hata zitamchosha Muheshimiwa Rais wetu
Kwa mtazamo wangu hizi za kawaida wangeweza kupewa madaraka wasaidizi wake kama Makamu wa Rais wa kwanza (kama anavyo teua makamu wa pili kule Zanzibar), nyingine ziangukie kwa Waziri mkuu na hata mawaziri.
Kwanza anateua watu ambao hata hawajui
 
Ili kufanikisha azma ya kura za ushindi ,mama ondoa wafuatao:
1. Mkuu wa mkoa wa Manyara
2. DC Hai
3. DC Chunya
4. RC Pwani
5. Pangua safu ya makatibu wote wa ccm wilaya na mikoa
6. Wakurugenzi, Meru, Moshi MC, Arusha Jiji,
 
Ili kufanikisha azma ya kura za ushindi ,mama ondoa wafuatao:
1. Mkuu wa mkoa wa Manyara
2. DC Hai
3. DC Chunya
4. RC Pwani
5. Pangua safu ya makatibu wote wa ccm wilaya na mikoa
6. Wakurugenzi, Meru, Moshi MC, Arusha Jiji,
Najuwa lengo lako lilikuwa ni huyo mkurugenzi wa Moshi maana una chuki naye binafsi sana .umemchafua sana lakini umegonga mwamba dua zako mbaya
 
Najuwa lengo lako lilikuwa ni huyo mkurugenzi wa Moshi maana una chuki naye binafsi sana .umemchafua sana lakini umegonga mwamba dua zako mbaya
Ni muumini wa 👇
 

Attachments

  • downloadfile-6.jpg
    downloadfile-6.jpg
    91.7 KB · Views: 4
Back
Top Bottom