Uteuzi Juni 15, 2024: Mobhare Matinyi, aliyekuwa Msemaji Mkuu wa Serikali apangiwa majukumu mengine, nafasi yake yachukuliwa na Thobias Makoba

So the desert storm is real
 
Consistency kwenye utendaji inatoka wapi sasa kama kila siku tunateua na kutengua.

Matarijio unayotoa wapi wakati unarotate watu wale wale kutoka huku unapeleka kule.

Incompetency ni Incompetency tu hakuna namna nyingine.
Unemteua mtu ukitarajia ufanisi kiasi Fulani,dalili ya huo ufanisi hakuna,umuache tu!?..tengua,teua mwingine,huu siyo wakati wa Nyerere,mtu anakalia kiti toka uko la kwanza mpaka la Saba,akiboronga anahamishwa
 
Unemteua mtu ukitarajia ufanisi kiasi Fulani,dalili ya huo ufanisi hakuna,umuache tu!?..tengua,teua mwingine,huu siyo wakati wa Nyerere,mtu anakalia kiti toka uko la kwanza mpaka la Saba,akiboronga anahamishwa
Uteuzi siyo kucheza kamali, kama hujui. Mtu anateuliwa kwenye nafasi kutokana na vigezo vinavyojulikana, siyo kwa "matarajio".

Kwani hawa "hawahamishwi", au hata hujui unacho andika?
 
Leta maneno 😁
 
Naona Ikulu ina pigwa deki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…