Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Latifa Mohamed Khamisi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Biashara Tanzania (TANTRADE)
Anachukua nafasi ya Edwin Rutegaruka aliyeteuliwa kuwa Balozi. Kabla ya uteuzi huo alikuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TANTRADE
View attachment 1909697
Acha kutumwagia 'upupu'! Watu tupo kwenye simanzi kwa sababu ya tukio baya la jana Dar es Salaam, tozo na mambo mengine!asante,toa ... weka ....,maisha yanaendelea
Ushakula nguruwe?Awamu hii waislamu wanaula
Unamaanisha kitu gani mkuu?
Miaka Mia tano baada ya Nabii Issa pale Maka hapakuwa mtu aliyejua kusoma wala kuandika isipokuwa mtu mmoja aitwaye Aboubakari
Mtu Mohamed hakujua kusoma wala kuandika pale Maka
Qurani ilikuwa ikiandikwa na Aboubakar wakati huo
Uislam ni imani iliyokuja miaka Mia tano baada ya Yesu Kristu
UHINDU na Imani za kihindi zina miaka mingi kuliko ukristo na uislam
Sasa Kafiri ni yule asiyejua historia za dini hizi yaani uislam na ukristo au Kafiri unamaanisha kitu gani?
Afghanistan wale Talibani ni waislam au wakristo?
Alshabab ni waislam au wakristo?
Yule wa jana Salender ni muislam au mkristo?
Isis na Mujahdina ni waislam au wakristo?
Unafahamu kwanini hawa watu wana tabia hizo
Njoo inbox ufundishwe mambo, Mambo wanayofanya waislam Leo, Kanisa katoliki lilishayafanya sana hapo kale, Kanisa liliua, Kanisa lilitesa wote waliolipinga
Kanisa lilisema dunia ni tambarare kama meza, Waliopinga kanisa walidhibitiwa
Ukijua historia ya hizi dini utaanzisha kanisa lako au msikiti wako na utajiita Mtume, shekhe au Nabii
Sent using Jamii Forums mobile app
Udini ni ukichaa ndani ya vichwa vya wapumbavu......Awamu hii waislamu wanaula
Waafrika tuna safari ndefu sana ya KUJITAMBUA VYEMA NA KUITAMBUA DUNIA......Wacha weee,na udini wako binadamu wenzio unawaona kama mavi vile.
Amekua mkurugenzi msaidizi cheo cha pili baada ya mkurugenzi mkuu,hyo CV wala hukutaka ila macho y'all ya moyoni yakaangalia jina na akili yako ikaingiza udini ndani yake.
Ila ni kawaida mbona,Wacha twende hvyohvyo na wapuuzi wachache kama nyinyi
a leading shithole country .....TanzaniaWe are confused as a nation; likitokea baya linashangiliwa, teuzi inapingwa, mtu akikataa chanjo hata kama sio mwanasayansi anaonekana hero, nadhani watanzania tunatakiwa ku-update vichwa vyetu, wakati serikali ikifanya haraka kuondoa Tozo.
Naona ana asili ya akina Hamza
Kunywa maji kwanza kisha upumzike kidogo.Amemtoa kafiri gani?
TiyariKunywa maji kwanza kisha upumzike kidogo.