UTEUZI: Latifa Mohamed Khamisi ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu TANTRADE

UTEUZI: Latifa Mohamed Khamisi ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu TANTRADE

Kazi kwelikweli, iko Safari ndefu ya kuuchapa mguu na bahati mbaya wengi tu wajinga wa kutupwa...
 
Hongera kwake.
, sasa ni muda wa kuchapa kazi, usibabaishwe na majungu na fitina,
puuza chapa kazi kwa masilahi ya nchi.
Rais amekuamini inatosha na unatosha.
 
Wazee wa Bakwata Wanaupiga Mwingi Mnooo
walitengwa sana kwa miongo mingi, wacha sasa wabalance, maaana hii inchi ni yetu sote lazima ijengwe na watanzania wote.
Hongera sana Rais wetu Mama Samia.
Tupo pamoja na wewe.
 
# katiba mpya
# katiba mpya
# katiba mpya

Raisi apunguziwe majukumu kwa kweli, naona Ni mwendo wa tengua teua Kila wiki!
Ametengua nani? Si umeambiwa nafasi ilikua wazi au ulitaka asiwepo mkurugenzi mkuu?
 
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Latifa Mohamed Khamisi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Biashara Tanzania (TANTRADE)

Anachukua nafasi ya Edwin Rutegaruka aliyeteuliwa kuwa Balozi. Kabla ya uteuzi huo alikuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TANTRADE

View attachment 1909697
Mbona hana PhD? au zama zao kwishney? Steve Nyerere piga jaramba uwaziri nafasi moja ipo wazi
 
Wacha weee,na udini wako binadamu wenzio unawaona kama mavi vile.

Amekua mkurugenzi msaidizi cheo cha pili baada ya mkurugenzi mkuu,hyo CV wala hukutaka ila macho y'all ya moyoni yakaangalia jina na akili yako ikaingiza udini ndani yake.

Ila ni kawaida mbona,Wacha twende hvyohvyo na wapuuzi wachache kama nyinyi
Ni coincidence tu imetokea but angetokea Nafasi hiyo ya yupo Mkristo halafu mwanaume believe me asingepewa.
 
Bibi ushungi
Ninegundua wakristu wana udini na dhihaka zaidi Kwa waislamu kuliko the other way round

watanzania wenzangu, maichukulie Poa sana hizi sentiments za udini

Na mitandao ya jamii ndio kinara wa hizi propaganda
 
Unamaanisha kitu gani mkuu?

Miaka Mia tano baada ya Nabii Issa pale Maka hapakuwa mtu aliyejua kusoma wala kuandika isipokuwa mtu mmoja aitwaye Aboubakari

Mtu Mohamed hakujua kusoma wala kuandika pale Maka

Qurani ilikuwa ikiandikwa na Aboubakar wakati huo

Uislam ni imani iliyokuja miaka Mia tano baada ya Yesu Kristu

UHINDU na Imani za kihindi zina miaka mingi kuliko ukristo na uislam

Sasa Kafiri ni yule asiyejua historia za dini hizi yaani uislam na ukristo au Kafiri unamaanisha kitu gani?

Afghanistan wale Talibani ni waislam au wakristo?

Alshabab ni waislam au wakristo?

Yule wa jana Salender ni muislam au mkristo?

Isis na Mujahdina ni waislam au wakristo?

Unafahamu kwanini hawa watu wana tabia hizo

Njoo inbox ufundishwe mambo, Mambo wanayofanya waislam Leo, Kanisa katoliki lilishayafanya sana hapo kale, Kanisa liliua, Kanisa lilitesa wote waliolipinga

Kanisa lilisema dunia ni tambarare kama meza, Waliopinga kanisa walidhibitiwa

Ukijua historia ya hizi dini utaanzisha kanisa lako au msikiti wako na utajiita Mtume, shekhe au Nabii

Sent using Jamii Forums mobile app
Moja ya sifa ya mwanadamu ni uwezo wake wa kutunga hadithi. Dini ni moja ya manifestation ya uwezo huo.
 
Si alikuwa naibu wake? Angetoka nje pia si ingekuwa haijakaa poa kama naibu ana uezo jamani? Si promotion within? Kwa nini ionekane kitu tata?
 
Unamaanisha kitu gani mkuu?

Miaka Mia tano baada ya Nabii Issa pale Maka hapakuwa mtu aliyejua kusoma wala kuandika isipokuwa mtu mmoja aitwaye Aboubakari

Mtu Mohamed hakujua kusoma wala kuandika pale Maka

Qurani ilikuwa ikiandikwa na Aboubakar wakati huo

Uislam ni imani iliyokuja miaka Mia tano baada ya Yesu Kristu

UHINDU na Imani za kihindi zina miaka mingi kuliko ukristo na uislam

Sasa Kafiri ni yule asiyejua historia za dini hizi yaani uislam na ukristo au Kafiri unamaanisha kitu gani?

Afghanistan wale Talibani ni waislam au wakristo?

Alshabab ni waislam au wakristo?

Yule wa jana Salender ni muislam au mkristo?

Isis na Mujahdina ni waislam au wakristo?

Unafahamu kwanini hawa watu wana tabia hizo

Njoo inbox ufundishwe mambo, Mambo wanayofanya waislam Leo, Kanisa katoliki lilishayafanya sana hapo kale, Kanisa liliua, Kanisa lilitesa wote waliolipinga

Kanisa lilisema dunia ni tambarare kama meza, Waliopinga kanisa walidhibitiwa

Ukijua historia ya hizi dini utaanzisha kanisa lako au msikiti wako na utajiita Mtume, shekhe au Nabii

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu hawaamini ya kwamba katika kuueneza ukristo watu wengi Sana waliuawa, wakristo wa enzi hizo waliwaua wayahudi wengi Sana kwa kuwatuhumu ya kwamba walimuua yesu, crussad watu hawaijui. Uislamu na ukristo umeangamiza watu wengi Sana katika kuenea kwake, sijui ndiyo mungu aliwatuma kuua watu wengine
 
Unamaanisha kitu gani mkuu?

Miaka Mia tano baada ya Nabii Issa pale Maka hapakuwa mtu aliyejua kusoma wala kuandika isipokuwa mtu mmoja aitwaye Aboubakari

Mtu Mohamed hakujua kusoma wala kuandika pale Maka

Qurani ilikuwa ikiandikwa na Aboubakar wakati huo

Uislam ni imani iliyokuja miaka Mia tano baada ya Yesu Kristu

UHINDU na Imani za kihindi zina miaka mingi kuliko ukristo na uislam

Sasa Kafiri ni yule asiyejua historia za dini hizi yaani uislam na ukristo au Kafiri unamaanisha kitu gani?

Afghanistan wale Talibani ni waislam au wakristo?

Alshabab ni waislam au wakristo?

Yule wa jana Salender ni muislam au mkristo?

Isis na Mujahdina ni waislam au wakristo?

Unafahamu kwanini hawa watu wana tabia hizo

Njoo inbox ufundishwe mambo, Mambo wanayofanya waislam Leo, Kanisa katoliki lilishayafanya sana hapo kale, Kanisa liliua, Kanisa lilitesa wote waliolipinga

Kanisa lilisema dunia ni tambarare kama meza, Waliopinga kanisa walidhibitiwa

Ukijua historia ya hizi dini utaanzisha kanisa lako au msikiti wako na utajiita Mtume, shekhe au Nabii

Sent using Jamii Forums mobile app
Unamaanisha kitu gani mkuu?

Miaka Mia tano baada ya Nabii Issa pale Maka hapakuwa mtu aliyejua kusoma wala kuandika isipokuwa mtu mmoja aitwaye Aboubakari

Mtu Mohamed hakujua kusoma wala kuandika pale Maka

Qurani ilikuwa ikiandikwa na Aboubakar wakati huo

Uislam ni imani iliyokuja miaka Mia tano baada ya Yesu Kristu

UHINDU na Imani za kihindi zina miaka mingi kuliko ukristo na uislam

Sasa Kafiri ni yule asiyejua historia za dini hizi yaani uislam na ukristo au Kafiri unamaanisha kitu gani?

Afghanistan wale Talibani ni waislam au wakristo?

Alshabab ni waislam au wakristo?

Yule wa jana Salender ni muislam au mkristo?

Isis na Mujahdina ni waislam au wakristo?

Unafahamu kwanini hawa watu wana tabia hizo

Njoo inbox ufundishwe mambo, Mambo wanayofanya waislam Leo, Kanisa katoliki lilishayafanya sana hapo kale, Kanisa liliua, Kanisa lilitesa wote waliolipinga

Kanisa lilisema dunia ni tambarare kama meza, Waliopinga kanisa walidhibitiwa

Ukijua historia ya hizi dini utaanzisha kanisa lako au msikiti wako na utajiita Mtume, shekhe au Nabii


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu asante kwa hoja nzito!
 
Back
Top Bottom