Midas Touch
Senior Member
- Jan 23, 2008
- 188
- 200
Yaani Wazenji muda wao ni sasa hata DC wa Iringa ni Mzenji.....Ushakula nguruwe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani Wazenji muda wao ni sasa hata DC wa Iringa ni Mzenji.....Ushakula nguruwe?
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji33][emoji33][emoji33][emoji33][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji108][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Wala mama asilaumiwe kwa udini, huenda hajui hata hilo jina kapewa tu na yeye kalikubali.walitengwa sana kwa miongo mingi, wacha sasa wabalance, maaana hii inchi ni yetu sote lazima ijengwe na watanzania wote.
Hongera sana Rais wetu Mama Samia.
Tupo pamoja na wewe.
Hakuna gaidi anayeitwa JacksonSasa kati ya wewe na Latifa unafikiri nani gaidi🙄
Kama wakristo walivyoula awamu ya mwendazakeAwamu hii waislamu wanaula
Mmmh! Wanadamu hatujawahi kuridhika kwa lolote!!!! IKINYESHA MVUA TWATAKA JUA NA LIKIWAKA JUA TWAHITAJI MVUA# katiba mpya
# katiba mpya
# katiba mpya
Raisi apunguziwe majukumu kwa kweli, naona Ni mwendo wa tengua teua Kila wiki!
yaani haya maigizo yako ni kwa sababu Tu kateuliwa mtu wa dini tofauti na yako?Nakiri kusema tuna safari ndefu sana. Mungu tusaidie. Mungu tusaidie. Mungu tusaidie. Wewe pekee waijuwa kesho yetu sisi watanzania. Tuna watu wana akili sana hili taifa ila wote wamefunga vinywa vyao. Je kesho yetu itakuwaje. Wewe wajuwa Baba. Zaidi twawaombea hekima na akili walio ktk madaraka. Amen.
Tunataka Hadi 2025 ushungi Kila ofisi.
Subirini Hamza mwingine atokee ndiyo upangu pakavu tiamchuzi utakapo ishiaExctly, na Wakristo wanamchukia Rais sababu ya dini yake tu, wanataka teuzi zote wateuliwe wao tu, hata Gwajima taperi, hizo kelele zake zotee,sababu Rais Ni muislamu, walitaka awe kafiri mwenzao hapo sawa,
Samia tunae Hadi mwaka 2035, asiyetaka ahame nchi, na akitoka muislamu,anaingia Tena muislamu
Mbaya zaidi anateua wapemba tupu# katiba mpya
# katiba mpya
# katiba mpya
Raisi apunguziwe majukumu kwa kweli, naona Ni mwendo wa tengua teua Kila wiki!
Mtu mwenye ushungi hajui mambo ya biashara? Sura nacho ni kigezo za mtu anayejua biashara? Amekuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu muda mrefu huoni kuwa huo uzoefu ndio unambeba? Mods thread za namna hii zinapandikiza udini, zio za ku-entertain.Ukicheki sura nikama hajui biashara yoyote sijui Shungi ndo limembeba?? Hii mambo ya fifte fifte itatukosti
Mtu aliteuliwa naibu mkurugenzi na amekuwa kwenye nafasi hiyo kwa miaka zaidi ya mi3, leo unasema kwamba hajui biashara ... kiufupi UNADHARAU sanaUkicheki sura nikama hajui biashara yoyote sijui Shungi ndo limembeba?? Hii mambo ya fifte fifte itatukosti
Haswa wapembaAwamu hii waislamu wanaula
Nami sijui nibadili dini nianze kuitwa Rashid bin Said?
No ninaukweli Sana! Ikifika 2025 mtanikumbuka. Uteuzi mwingi wasasa unafanyika kihisia zaidi kuliko uwezo. Assad alisema vizuri 70% ya viongozi wetu hawana uwezo. Mtaalam wa biashara ukimwona tuu unamwelewa pia Kuwa msaidizi nitofauti na kuiongoza.Mtu aliteuliwa naibu mkurugenzi na amekuwa kwenye nafasi hiyo kwa miaka zaidi ya mi3, leo unasema kwamba hajui biashara ... kiufupi UNADHARAU sana
Kwa hiyo magufuli alikosea kumteua naibu mkurugenzi?No ninaukweli Sana! Ikifika 2025 mtanikumbuka. Uteuzi mwingi wasasa unafanyika kihisia zaidi kuliko uwezo. Assad alisema vizuri 70% ya viongozi wetu hawana uwezo. Mtaalam wa biashara ukimwona tuu unamwelewa pia Kuwa msaidizi nitofauti na kuiongoza.
Rais huwa hateui manaibu wakurugenzi Kaka dah!! Lkn enzizake hatayeye alikosea (alikuwa nimtu)Kwa hiyo magufuli alikosea kumteua naibu mkurugenzi?
nitajie mwanamke mfanyabiashara bora afrika especially mwislam?? dini yake haitoi sana nafasi kwamwanamke kujua biashara nahiyo ni fact!! Haoneshi Kama mtu sharp na exposed angeweza kuwa mkurugenzi afya huko sio biashara ilojaa wajanja,wahuni,maharamia,matapeli wakimataifaMtu mwenye ushungi hajui mambo ya biashara? Sura nacho ni kigezo za mtu anayejua biashara? Amekuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu muda mrefu huoni kuwa huo uzoefu ndio unambeba? Mods thread za namna hii zinapandikiza udini, zio za ku-entertain.