Majungu ya Makamba na Nape amabao ni mawakala wa MAFISADI.Kipindi hiki tutaona mengi😂😂 Hadi maji yatapanda mlima.
Huyu mama alikurupukaga kumtoa kabudi na lukuvi ona sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majungu ya Makamba na Nape amabao ni mawakala wa MAFISADI.Kipindi hiki tutaona mengi😂😂 Hadi maji yatapanda mlima.
Huyu mama alikurupukaga kumtoa kabudi na lukuvi ona sasa.
Hutokuja kuona huyu anatolewa hapo kwani hakuna Mtu anayejua Kuandika vyema Proposals za kupata Hela kwa Wazungu ambazo Mama anazipata kwa haraka kama Nchemba na Mama anamkubali hasa kwa hilo.Mwigulu Nchemba amesalimikaje , au britanicca alitudanganya
Stenographer huwa anakuwa vyema juu?Sasa kwa nini aliwatoa? Mbona anarudi kule kule kwa timu Magufuli
Mbona alipoteuliwa Makamba hukusema hiv?Kazi anafanya saa ngapi kazi kuteua tu
Binafsi naona rais anaweka watu sasa kumsaidia kiukweli ukweli. Nadhani mwanzoni alikuwa kwenye panic mode na kulishwa maneno. Hongera sana kwa Rais.Sasa ni rasmi Samia amekiri alidanganya sana Kuhusu JPM. Wale wote JPM aliwatafuta wamerudishwa. Kabudi, Makonda, Lukuvi, Hapi Asante mama kwa kukataa Fitna za akina Nape na Makamba
Alishasema kasemehewaMwigulu Nchemba amesalimikaje , au britanicca alitudanganya
Nilipoona tu Wiki iliyopita Rais anamsifia katika Ukumbi fulani nikajua kuna Bomu alishaliandaa na alikuwa Anamzuga tu Kinafiki na leo kamaliza Shughuli. Ogopa sana Rais akikusifia kwani huwa ni Kinyume chake.Hatimaye ummy wamekula kichwa
Sasa kwa nini aliwatoa? Mbona anarudi kule kule kwa timu Magufuli
Hawa mawaziri wangekuwa watu wenye fani husika, vinginevyo ni washkaji wanapeana michongo ya kusurvive tuNilipoona tu Wiki iliyopita Rais anamsifia katika Ukumbi fulani nikajua kuna Bomu alishaliandaa na alikuwa Anamzuga tu Kinafiki na leo kamaliza Shughuli. Ogopa sana Rais akikusifia kwani huwa ni Kinyume chake.