Yaan bora wangempa Gwajima DorthKwanza Huyo Mama anapewaje wizara nyeti kama hiyo wakati upstairs hayuko vizuri?
Aliebet huu mkeka umekosea vibaya mno. Huyo mama angepelekwa kwenye chama huko UWT ndo panamfaa na sio serikalini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan bora wangempa Gwajima DorthKwanza Huyo Mama anapewaje wizara nyeti kama hiyo wakati upstairs hayuko vizuri?
Aliebet huu mkeka umekosea vibaya mno. Huyo mama angepelekwa kwenye chama huko UWT ndo panamfaa na sio serikalini
Shida bao la mkono na vyombo dolaBado sisi Raia kupitia sanduku la kura 25/10/2025 kufanya utenguzi wa Rais na makamu wake pia wabunge wote wenye sugu mikononi za kushangilia kila kitu ndiooooo na kuteua (kuchagua) wengine.
Hapa umeongeaKwanza Huyo Mama anapewaje wizara nyeti kama hiyo wakati upstairs hayuko vizuri?
Aliebet huu mkeka umekosea vibaya mno. Huyo mama angepelekwa kwenye chama huko UWT ndo panamfaa na sio serikalini
Huyu jenista uwezo wake mdogo sana, kuendelea kumpa wizara ni kudhalilisha TaifaYaan bora wangempa Gwajima Dorth
Spot on.Tufike hatua tukubaliane kuwa hata mtenguzi na mteuzi anatakiwa kuwekwa kando maana hajui anachokifanya kama kipindi kile kina Kabudi na Lukuvi aliwatoa wamemfurahisha kipi tena akaona wanafaa.
Pia kama taifa tukubalini kuwa taifa linajiendesha tu kwa sasa halina kiongozi kabisa pale juu.
Hawa mafala wanataka kututoa kwenye mjadala wa CHADEMA na afande awadh haji
Labda tuandamane maana hawasikiiTatizo lake ni moja huyu mama mambo yote ya hovyo yanayoendelea afya, malalamiko yote na vilio vyote watu wanakupigia magoti mrudishe ‘Dorothy Gwajima’ hapo anakumudu.
Anaenda toa poyoyo mmoja na kufanya replacement ya poyoyo mwingine.
Ukitaka kujuwa ulafi wa wanasiasa hakuna atakayekataa uteuzi, ndio kwanza Kabudi ataanza rasmi kuwa chawa wa mama na kuanza kutowa mijicho upya kama gong'ole.Kipindi hiki tutaona mengi😂😂 Hadi maji yatapanda mlima.
Huyu mama alikurupukaga kumtoa kabudi na lukuvi ona sasa.