Uteuzi: Mhandisi Cyprian John Luhemeja ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya NARCO

Uteuzi: Mhandisi Cyprian John Luhemeja ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya NARCO

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) Mhandisi Cyprian John Luhemeja ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Ranchi ya Taifa (NARCO)

Aidha, Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Sauda Kassim Memo kuwa Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na Macrice Daniel Mbodo kuwa Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania (TPC)

30995E8F-DD4F-4621-8338-CA8D0FBF7347.jpeg
 
Marko 4:25…. “Kwa maana aliye na kitu ataongezewa na asiye na kitu atanyang’anywa hata kile kidogo alichonacho”
 
Vitu vya ajabu sana hivi! Luhemeja bado ni mtendaji ndani ya serikali sasa anakwenda kumsimamia mtendaji mwenzake ndani ya serikali hii hii!

Pathetic! Hivi nchi imeishiwa kabisa watu au wasomi wenye uwezo!
 
Marko 4:25…. “Kwa maana aliye na kitu ataongezewa na asiye na kitu atanyang’anywa hata kile kidogo alichonacho”
Ila mkuu neno hili halina maana hii uliyoandika hapa au kuendana na mada hapa
 
Kazi za sa100

Kuteua na kusafiri.

#MaendeleoHayanaChama
 
Vitu vya ajabu sana hivi! Luhemeja bado ni mtendaji ndani ya serikali sasa anakwenda kumsimamia mtendaji mwenzake ndani ya serikali hii hii!

Pathetic! Hivi nchi imeishiwa kabisa watu au wasomi wenye uwezo!
Nchi hii imelaaniwa! Huoni watu wanasema hadharani wanalamba asali!
 
Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) Mhandisi Cyprian John Luhemeja ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Ranchi ya Taifa (NARCO)

Aidha, Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Sauda Kassim Memo kuwa Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na Macrice Daniel Mbodo kuwa Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania (TPC)

View attachment 2238549
Kwanini Rais Samia kila akienda nje ya nchi anafanya teuzi akiwa huko? Kwanini asifanye hizo teuzi akiwa nyumbani?
 
Nchi hii imelaaniwa! Huoni watu wanasema hadharani wanalamba asali!
Ni aibu kubwa na udhalilishaji! Haiwezekani mtendaji mkuu wa taasisi moja ya umma kumsimamia mtendaji mkuu mwenzake wa taasisi nyingine ya umma!
 
Wewe hukumbuki Dkt Allan Kijazi alikuwa DG/CEO wa TANAPA na wakati huo huo Katibu Mkuu wa Wizara ya Mali asili na Utalii. TANAPA ina automous egencies 8 zente ma DG na Boards.

Hivyo alikuwa ana wasimamia ma DG wenzake na kama Ex-official anaweza kuhudhuria Bodi zote kama PS na kwa TANAPA anaenda kama CEO akiwasiliziza Members ambao amewateua yeye na Waziri wake
 
Sijui Ni upuuzi gani huu inafanyika ktk nch hii Nani anashuri upuuzi huu mpk anamliza muda wake asiyejuwa kusoma n
 
Vitu vya ajabu sana hivi! Luhemeja bado ni mtendaji ndani ya serikali sasa anakwenda kumsimamia mtendaji mwenzake ndani ya serikali hii hii!

Pathetic! Hivi nchi imeishiwa kabisa watu au wasomi wenye uwezo!
Na hawajamfuatilia vizuri.
Jamaa ni bomu!
 
Kwa kweli mama anapiga mrefu tena kwa kasi zaidi ya upepo wa cocobeach na kazi iendeleeer
 
..uteuzi huu unaanza tarehe 01 Juni,2022
....uteuzi huu unaanza mara moja..yaani tarehe ya tangazo...
Which is Which..kwa sauti ya yule mwalimu wa lile tangazo la Haki Elimu...
 
Back
Top Bottom