Pascal Ndege
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 2,977
- 1,897
Tunataka Bandari yetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ivi huyu edwini mhede si ndio mtendaji mkuu wa wakala wa mabasi yaendayo haraka(DART) mbna watu wanapewa vyeo vingi vingi ivi sijui watu wengine wameishaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amewateua wafuatao:
1. Amemteua Bw. Omar Issa kuwa Mkuu (Chancellor) wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST)...
Kwani mmechanganyikiwa?!!!Shikaaaa haoo kamata ....wakamate haoooo....
...
Inafikirisha sana.Inabidi tupate elimu ya URAIA vizuri.
- Mambo ya Muungano na yapi?
- Hao wa upande wa pili, wanawekwa kwenye sehemu sahihi zinazoruhusiwa kimuungano?
- Nani ni mkaguzi na msimamizi wa hilo kwa huku Jamhuri?
Kule SMZ, ni strictly kwa wao tu!
Kwani mmechanganyikiwa?!!!
Kamata huyooo......
Duuu! Kazi ipo.Kamata huyooo......
huyoo, huyoooooooo!!
We katafute haki, mie nafukuza uwendawazimu
Hilooooooo
Sasa hawa watazima mjadala gani? Zena anatukosea sana watanzaniaRais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa nafasi kadhaa, amemteua Prof. Abel Makubi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mifupa (#MOI) akichukua nafasi ya Dkt. Respicious Boniface ambaye amemaliza muda wake
Omar Issa ameteuliwa kuwa Mkuu wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) akichukua nafasi ya Gharib Bilal (Makamu wa Rais Mstaafu) ambaye amemaliza muda wake
Amemteua Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee kuwa Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC) akichukua nafasi ya Balozi Dkt. Marten Lumbanga aliyemaliza muda wake
Dkt. Edwin Mhende ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB Plc kwa kipindi cha pili
View attachment 2649635
View attachment 2649639
Prof. Abel Makubi
View attachment 2649640
Dkt. Respicious Boniface
Subirini mondi na zchu wawafanyieni jambo nyie msahau kila kituKazi anayoijua kuifanya huyu mama.
Inabidi tupate elimu ya URAIA vizuri.
- Mambo ya Muungano na yapi?
- Hao wa upande wa pili, wanawekwa kwenye sehemu sahihi zinazoruhusiwa kimuungano?
- Nani ni mkaguzi na msimamizi wa hilo kwa huku Jamhuri?
Kule SMZ, ni strictly kwa wao tu!
nafsi yangu inaumia sana!Mmeacha Uteuzi wa Bandari!
Kamata haoo, shikaaa haooo, wana ona haya haoooo
Wamasai
Bandari
....na 2025 kwishney. Sijui watarudisha nini kwa Waarabu. Haki ya ngai.