UTEUZI: Mustafa Hamisi Umande ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Chai

Ni 3000 sio buku
 
kama yupo humu JF natumain tutapata chai za kutosha kwenye kila nyuzi
 
Hizi bodi haziwezi kuungwa ikawa moja!!?? Mara mkonge bodi, tumbaku bodi, pamba bodi, chai bodi, kahawa bodi ... Haziwezi kuungwa ikawa bodi moja ya mazao ya kimkakati ikaisha !!??
Utakuwa umeunda syndicate moja ya hatari sana
 
Wale jamaa wanakuaga wezi mno....

Naona watoto wao wanalia humu maana wamebanwa sana na jana wamepewa onyo

Wanapenda kutetea wizi sana maana imo kwenye damu
Maajabu sana mtangulizi aliwajaza wakawa wanaupiga mno na furaha kibao ila sasa bado uchu unawatoka na bado mpaka waseme hatuibi tenaaaaa [emoji23][emoji23]
 
Udini jamani huyu mama sio mkabila ila ni mdini
Wala nguruwe mna chuki Sana kwanini????

Yaani mnatamani sekta zote muongoze nyinyi?!! Aisee hatari Sana,

Na chuki yenu kwa Samia ni kwasababu ni muislamu tu,
Na akitoka Samia mwaka 2035, anaingia January Makamba, tumejifunza mkiongoza Nchi mnakuwa makatili Sana Kama Taliban
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…