pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Haiwezekani uunganishe uongozi wa zao la msimu kama tumbaku na zao la kudumu kama kahawaHizi bodi haziwezi kuungwa ikawa moja!!?? Mara mkonge bodi, tumbaku bodi, pamba bodi, chai bodi, kahawa bodi ... Haziwezi kuungwa ikawa bodi moja ya mazao ya kimkakati ikaisha !!??
Angemuondoa na Mgalatia Mpango ili column ienee vizuri!Awape tu hao hao mana wakristo wakipewa ni wezi balaa.
Ile EPA waliiba wakashirikisha mpaka makasisi wetu tena wakazipitishia Mkombozi Bank.
Nikiona malumbano ya kidini huwa ninawahurumia sana maana hizi dini Kuu zimeanzishwa na kikundi kimoja ndiyo maana Agano la Kale na Msahafu vinafanana, wote wanamuamini Mungu, zimeanzia Middle East, wote wanavaa kanzu (RC na wa madina).Dini ya kuoana wanaume kwa wanaume wanaumia kweeelii,
Yaani mmoja kwa mia moja na bado roho zinawauma!?,
Ndio maana papa nae akalalamika juzi kwa kuwala wenzeni viboga halafu eti munajifanya mumesoma
Faramampinho basatardi
Kudadeki mutanyooka tu safari hii
Haswaaa, ilmu ahera imelala pale....Wana ilmu...
Siyo elimu, ilmu.....Mzanzibar Hana Ukanda Ila Udini Mwingi, Ila Ni Vile Wanzibar Wenzake Elimu Hawana Na Uwezo Pia Hawana
Sent using Jamii Forums mobile app
Zikiungwa zote itakuwa ni treniHizi bodi haziwezi kuungwa ikawa moja!!?? Mara mkonge bodi, tumbaku bodi, pamba bodi, chai bodi, kahawa bodi ... Haziwezi kuungwa ikawa bodi moja ya mazao ya kimkakati ikaisha !!??
Si ajabu juyu mwenyekiti anaijua chai ya kwenye kikombe tu, ingekuwa jambo la mbolea iwapo hawa wenyeviti wa bodi wawe na uelewa a mazao yalito chini ya bodi hizo, kwa mfano Mnyakyusa unampa uenyekiti wa bodi ya Karafuu na kuwaacha Wapemba wanaojua karafuu kindakindaki...Huyu Mwenyekiti ahakikishe MNADA wa Chai unakuja Tanzania...wakulima wa Chai tunataka kuona tija ikiwemo bei nzuri ya majani ya chai kwa sasa bei ya majani mabichi iko chini sana sababu ya gharama kubwa za usafirishaji TZ kwenda MOMBASA then nje.
Mnada wa Chai uletwe Tanzania na sio CHAI yetu yote tuuzie Kenya tunawanufaisha wakenya na ku-export ajira badala ya kutengeneza ajira.
Mheshimiwa Rais tunaomba huyu Mwenyekiti awekewe lengo kuhakikisha chai mnada wake unakuwa hapa nchini ili tupate tija.
Umesema kweli, na msema kweli ni mpenzi wa munguAwape tu hao hao mana wakristo wakipewa ni wezi balaa.
Ile EPA waliiba wakashirikisha mpaka makasisi wetu tena wakazipitishia Mkombozi Bank.
Kila zao na mambo yake na masoko yake...Hizi bodi haziwezi kuungwa ikawa moja!!?? Mara mkonge bodi, tumbaku bodi, pamba bodi, chai bodi, kahawa bodi ... Haziwezi kuungwa ikawa bodi moja ya mazao ya kimkakati ikaisha !!??
Mkuu mi ni mkulima mdogo wa Chai nina acre 10 Nditu Tukuyu, tulitamani tung'oe chai tupande MAPARACHICHI kwa sababu wenzetu waliolima MAPARACHICHI ya kisasa HASS wananufaika kwa bei nzuri...ila sheria zinazozuia kung'oa chai zimetugharimu hatuwezi kuondoa CHAI tupande MAPARACHICHI...haya yote yanaletelezwa na bei duni ya CHAI..........please Mheshimiwa Rais huyu Mwenyekiti wa BODI YA CHAI mpe malengo ahakikishe MNADA WA CHAI unakuja TZ badala ya chai yetu nyingi mno kuiuzia Mnada wa Mombasa.Si ajabu juyu mwenyekiti anaijua chai ya kwenye kikombe tu, ingekuwa jambo la mbolea iwapo hawa wenyeviti wa bodi wawe na uelewa a mazao yalito chini ya bodi hizo, kwa mfano Mnyakyusa unampa uenyekiti wa bodi ya Karafuu na kuwaacha Wapemba wanaojua karafuu kindakindaki...
Kimsingi Wakristo wajinga Wana chuki kwa sababu ni Mzanzibar, Muislam afu mwanamke ndio maana wana Nongwa.Exactly, yaani ndio nimegundua Sasa kuwa kumbe wanamchukia Samia Sababu ya dini yake tu Hawa kenge wachache,
Wakae wakijua akitoka Samia 2040 baada ya katiba mpya, anaefuata Ni January Makamba au majaliwa Kassim,
Tushajifunza wakipewa Madaraka wanakuwa makatili sana
Sio tu kuunganishwa, nini wajibu wa bodi wakati kuna menejiment kamili, na bado juu kuna wizara, Ni matumizi mabaya ya fedha.Hizi bodi haziwezi kuungwa ikawa moja!!?? Mara mkonge bodi, tumbaku bodi, pamba bodi, chai bodi, kahawa bodi ... Haziwezi kuungwa ikawa bodi moja ya mazao ya kimkakati ikaisha !!??
zamu yenu kulia. pole sana. kumbe na sisi wa madrasa tulikuwa na wasomi ila walikuwa hawaonekani. umesahau mawaziri na manaibu tulikuwa kama 4 kama sijakosea, ila kwenu mawaziri walikua zaidi ya 30.Udini jamani huyu mama sio mkabila ila ni mdini
phd za pichu hizoKuna watu wanajifanya wasomi,, wakati hata simple task kuongea ung'eng'e inawatoa kamasi,, kuna waziri wa elimu wa Madagascar, yaani huyo mama eti ana PHD alafu anaongea broken English,, ha ha ha... [emoji23][emoji23]
Ndio ni muislamu.Another Muslim????πππππ