Pre GE2025 Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mambo yanafanyika usiku kwa usiku,ukiamka unarudisha gari la wizara unabaki na la Ubunge
 
Msigwa bado haaminiki ni kama mgeni bado analala sebuleni
 
Asante! Bi mkubwa Kwa kuondoa hizi takataka. Kwa hili la kuwaweka nje January Makamba na Nape mnauye!!

Taratibu tunaanza kuwa na Imani na wewe huenda mbeleni utatufuta MACHOZI

May God Bless you Mother!
Mwenyezi Mungu akulinde, aku2nze na akusimamie
Hapa atakuwa kawakuna wengi πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…