halfcastmangi
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 605
- 1,644
Aliyatimba.Nape alisema nn
Mama katufurahisha kuliko kawaida, kaonyesha uthubutu afagie wote wanaokwamisha maendeleo πΉπΉπΉMimi naweka ahadi jamaniii ikifika siku hiyo hata kama nikiwa nimekufa ππ
Ndo nataka jua mkuuWw fahamu tuu kuwa aliyakanyaga
Alipo anabubujikwa haamini anachokionaNgoja aanguke kilio chenye maumivu kwanza huko alipo π
Alitoa siri ya ccm kuiba kuraNdo nataka jua mkuu
Msigwa bado haaminiki ni kama mgeni bado analala sebuleniHuu uzi Mchungaji: MSIGWA na Upendo Peneza,watakuwa waliufungua kwa kasi ya 5G_.Ila ndiyo hivyo tena. ..na wavute subira....japo ni dalili mbaya mno kwa matarajio yao na makubaliano waliyoafikiana na CCM....Hata Nancy Sumari_( Mr.Politician)CCM walimjaza maneno matamu matamu...akiwa kwenye mkeka wa Dr.Slaa enzi hizo wa Ubunge wa viti maalumu( CHADEMA),binti akakengeuka ghafula....na mwisho CCM wakamtupilia kusikojulikana mpaka leo hii....sijui yuko wapi/hai??!!!@.
Ana bubujikwa na ushuzi oooh sorry machoziNdugu yangu Lucas Mwashambwa usiache kutoa maoni tafadhali.
Aondoe yale yote yalio zoelea uongozi hayawajibiki hapa Samia amefanya vyema hongera kwake.Mama katufurahisha kuliko kawaida, kaonyesha uthubutu afagie wote wanaokwamisha maendeleo πΉπΉπΉ
Wii leo kausingizi katakuwa katramu
Wii πΉπΉπΉAna bubujikwa na ushuzi oooh sorry machozi
Mimi kaniudhi tu kumtoa Jerry Silaa kwenye ile wizara ya ardhi! Maelekezo ya Msoga haya!Mama katufurahisha kuliko kawaida, kaonyesha uthubutu afagie wote wanaokwamisha maendeleo πΉπΉπΉ
Wii leo kausingizi katakuwa katramu
Itabidi akina Dina marios wamuonee huruma tuu aisee π kwanza hapo nape atajifanya amesahau kama alitoa hy ahadi πDuh nape katoka kuahidi 10m kwenye tuzo za Dina marios halafu anakitana na hii habari! So sad kwakweli
Hapa atakuwa kawakuna wengi πAsante! Bi mkubwa Kwa kuondoa hizi takataka. Kwa hili la kuwaweka nje January Makamba na Nape mnauye!!
Taratibu tunaanza kuwa na Imani na wewe huenda mbeleni utatufuta MACHOZI
May God Bless you Mother!
Mwenyezi Mungu akulinde, aku2nze na akusimamie
Mama ameweza, ameweza tena.!!Aondoe yale yote yalio zoelea uongozi hayawajibiki hapa Samia amefanya vyema hongera kwake.
Kilichomponza unakijua?? πΉπΉMimi kaniudhi tu kumtoa Jerry Silaa kwenye ile wizara ya ardhi! Maelekezo ya Msoga haya!
Watapewa kazi maalum yenye posho ndefu kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa.Hatimaye wataalamu wa magoli ya mkono na offside wamewekwa benchi.
Mambo ni motooo ndani ya CCM.
Urais 2025 kutawaka moto.