Pre GE2025 Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa tenguzi hizi mbili, naona mwisho mbaya wa Mh. Samia 2025
Sasa hao wawili wans athari gani kwenye jamii?

Kwamba Nape ama January ndiyo wawe na ushawishi wa kumkwamisha Rais asishinde?

Nani atawasikiliza na kuwaamini hao wanaoleta mafarakano kwenye jamii kwa kuwaona wananchi mapunguani.

Samia bado yupo sana hadi 2030 atakapostaafu kwa mujibu wa katiba.

Hakuna mkubwa zaidi ya Chama kama unabisha hao wamewekwa benchi na hakuna kitakachokwama.
 
Wajinga mtashangilia. Ila hao Vijana wawili ndio wanajua mbinu za uchaguzi ukiondoa wakongwe akina kinana na Makamba senior. Wanarudishwa kwenye majukumu yao ya siri pale masaki hadi mama hashinde 2025 ndipo watarudishwa tena kwenye hizo kazi za kuzurula.


Kizimkazi sasa Hivi anawaza uchaguzi tu na lazima aipange safu yake vyems ili hata akipiga la mkono muone ni kisigino na goli la kideoni. Narudia tena wajinga shangilieni ile ilikuwa staged wenye Akili kubwa wanajua.
 
Mama alifikiro Mwendazake aliwaonea? Aliona ni makapi mambwa koko yaliyo jificha kwa migongo ya majina ya baba zao sasa huu si uzalendo wabaki na ubunge wao wa kuchaguliwa na wananchi tu tamaa mbele mauti nyuma
 
Ndio mwanzo wa mwisho hivyo, haitasaidia chochote hata mjitulize vipi!
 
Magu aliyaona haya mapemaa, ye akawarudisha.
 
britanicca nakuaminia. Kuanzia leo hata ukiandika kuwa mende anatoa maziwa nitakuamini.

Uliandika wiki moja iliyopita kuwa mama akimaliza ziara ya Katavi Nape na Makamba wataondolewa. Na imetokea.

Kabla ya hapo ulitabiri uteuzi wa DGCI Mombo.
Yule Yuko jikoni na ndiye mhariri WA mikeka. Since enzi za jiwe mwamba katutonya mengi.
 
Lakini KM baadhi ya maamuzi atahitaji Baraka za waziri.. waziri ana nafasi kubwa hata kama si mtendaji.
 
Ndio mwanzo wa mwisho hivyo,haitasaidia chochote hata mjitulize vipi!
Kwahiyo uteuzi na utenguzi ni kujituliza?

Sio kuimarisha utendaji wa Chama na Serikali Sikivu ya CCM katika kuwaletea wananchi na waTanzania wote Maendeleo πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…